johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Magufuli amelitaka Jeshi la polisi kumtoa mahabusu mmiliki wa shule ya Waislamu iliyoungua moto huko Kyerwa mkoani Kagera wakati wakiendelea na upelelezi.
Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo ufanyike yeye akiwa nje.
Juzi IGP Sirro aliagiza kukamatwa kwa mkuu huyo wa shule, afisa elimu na wakaguzi wa elimu kama sehemu ya upelelezi.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama
Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo ufanyike yeye akiwa nje.
Juzi IGP Sirro aliagiza kukamatwa kwa mkuu huyo wa shule, afisa elimu na wakaguzi wa elimu kama sehemu ya upelelezi.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama