mkuu tema mate chini, unasema ana roho ya huruma?!.Huo ndo uzuli wa huyu mzee mwenzangu japo ana mapungufu yake kama binadam lakini moyo wa huruma anao
ngoja niishie hapa!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu tema mate chini, unasema ana roho ya huruma?!.Huo ndo uzuli wa huyu mzee mwenzangu japo ana mapungufu yake kama binadam lakini moyo wa huruma anao
Mfiwa iyo huruma kaianza liniNao ni wafiwa? Maana huyu ni mfiwa, moto umeua watoto wake
Kwanini uyo mwalimu alikamatwaRais wa wanyonge
Kwani utawalani hakuna waislamu?!
Magufuli siku hizi kawa sheria??
Sheria zinasema wazi kwamba watuhumiwa na washitakiwa wanastahili dhamana!
Sasa huyu magufuli katokea wapi tena?
Ndio kutaka kusema kwamba bila yeye watu hawawezi kuachiliwa?
Taasisi za dini zinasajiliwa na dola!Kuwa na Waislam utawalani bado haiondoi Ukweli wa Bakwata kama Taasisi ya Dini kuegemea kwenye Dola.
Unatumia kigezo gani kusema hazina mashiko? Tuwekee hapa hati ya mashitaka ili tujiridhishe comrade.
Leta ushahidi comrade maneno matupu ya nini? Hatupo kwenye vijiwe vya kahawa hapa ukisema jambo leta na ushahidi wake mbona ni rahisi tu.Mmewabambikia wengi sana na wengine mmewaachia kwa mgongo wa DPP.
Sero ya tanzania unawekwa kwa usalama wako? Kama ni kwa usalama wao kwanini wasiwaweke Sheraton kwa gharama zao? MadnessMahabusu watu huwekwa si tu kwa kuwa wana tuhuma, wengine ni kwa ajili ya usalama wao. Magufuli hawatumii vema washauri wake, mara nyingi hutoa maagizo bila kupima athari kwa upande wa pili. Matokeo yake ni kuwaweka njia panda watendaji wake wasiwe na uhakika na nini mkuu atasema wakitekeleza hili au lile kwa mujibu wa sheria na kanuni.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nimemjibia DPP!
Leta ushahidi comrade maneno matupu ya nini? Hatupo kwenye vijiwe vya kahawa hapa ukisema jambo leta na ushahidi wake mbona ni rahisi tu.
Taasisi za dini zinasajiliwa na dola!
Bakwata ni taasisi ya ccm tu siyo waislam kama ni ya wislam umesikia nani aliyenyanyua kauliyake kuwatetea mashekheBAKWATA Inajaribu kuingilia mambo ya Taasisi nyingine za waislamu ambazo nazo zipo kisheria, wakipinga hilo, BAKWATA inaenda kwa "handlers" wake yaani Serikaki ya CCM kuwashughulikia kinyume cha haki
Mbona hajaamuru wale masheikh waa uamsho wawe nje? hii nayo si kuingilia kazi za watu ? usawa!!Rais Magufuli amelitaka Jeshi la polisi kumtoa mahabusu mmiliki wa shule ya Waislamu iliyoungua moto huko Kyerwa mkoani Kagera wakati wakiendelea na upelelezi.
Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo ufanyike yeye akiwa nje.
Juzi IGP Sirro aliagiza kukamatwa kwa mkuu huyo wa shule, afisa elimu na wakaguzi wa elimu kama sehemu ya upelelezi.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama
Huo ndo ushahidi comrade??!Wale mlio waambie waombe msamaha na kurudisha walicho kwiba ndio muwasamehe ,walikuwa ni kina nani ?.
Angeamuru wale masheikh wa uamsho wawe nje usingehoji kuwa anaingilia kazi za watu?Mbona hajaamuru wale masheikh waa uamsho wawe nje? hii nayo si kuingilia kazi za watu ? usawa!!!!
Uonevu wa kijinga kabisaRais Magufuli amelitaka Jeshi la polisi kumtoa mahabusu mmiliki wa shule ya Waislamu iliyoungua moto huko Kyerwa mkoani Kagera wakati wakiendelea na upelelezi.
Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo ufanyike yeye akiwa nje.
Juzi IGP Sirro aliagiza kukamatwa kwa mkuu huyo wa shule, afisa elimu na wakaguzi wa elimu kama sehemu ya upelelezi.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama