Rais Magufuli ataka Polisi kumwachia mmiliki wa shule ya Waislamu Byamungu iliyoungua Kyerwa wakati wakiendelea na upelelezi

Rais Magufuli ataka Polisi kumwachia mmiliki wa shule ya Waislamu Byamungu iliyoungua Kyerwa wakati wakiendelea na upelelezi

Rais wa wanyonge
Kwanini uyo mwalimu alikamatwa

1. Kama ni kwa ajili ya usalama je atampa walinzi wakumlinda.

2.kama anakosa la kujibu kwanini wamuachie Kati ni mtuhumiwa.

Kwanini walimkamata????

Au Kiki
Au uoga wa maaskari
Au

Haki huinua Taifa
 
Kwa mamlaka aliyonayo anaweza kugeuza hata aliyehukumiwa kunyongwa achilia mbali kesi ipo mahakamani
Magufuli siku hizi kawa sheria??

Sheria zinasema wazi kwamba watuhumiwa na washitakiwa wanastahili dhamana!

Sasa huyu magufuli katokea wapi tena?

Ndio kutaka kusema kwamba bila yeye watu hawawezi kuachiliwa?
 
kwa hili, I strongly support the president, sijui hawa watu JPM aliwaokota wapi? Mmiliki wa shule unaweza kuhujumu shule yako uliyoianzisha kama kitega uchumi?
Siku hizi uwezo wa kufikiri wa siro umeshuka kwa kasi, JPM fikiria kutafuta replacement.
 
Unatumia kigezo gani kusema hazina mashiko? Tuwekee hapa hati ya mashitaka ili tujiridhishe comrade.

Mmewabambikia wengi sana na wengine mmewaachia kwa mgongo wa DPP.
 
Mmewabambikia wengi sana na wengine mmewaachia kwa mgongo wa DPP.
Leta ushahidi comrade maneno matupu ya nini? Hatupo kwenye vijiwe vya kahawa hapa ukisema jambo leta na ushahidi wake mbona ni rahisi tu.
 
Mahabusu watu huwekwa si tu kwa kuwa wana tuhuma, wengine ni kwa ajili ya usalama wao. Magufuli hawatumii vema washauri wake, mara nyingi hutoa maagizo bila kupima athari kwa upande wa pili. Matokeo yake ni kuwaweka njia panda watendaji wake wasiwe na uhakika na nini mkuu atasema wakitekeleza hili au lile kwa mujibu wa sheria na kanuni.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sero ya tanzania unawekwa kwa usalama wako? Kama ni kwa usalama wao kwanini wasiwaweke Sheraton kwa gharama zao? Madness
 
Leta ushahidi comrade maneno matupu ya nini? Hatupo kwenye vijiwe vya kahawa hapa ukisema jambo leta na ushahidi wake mbona ni rahisi tu.

Wale mlio waambie waombe msamaha na kurudisha walicho kwiba ndio muwasamehe ,walikuwa ni kina nani ?.
 
BAKWATA Inajaribu kuingilia mambo ya Taasisi nyingine za waislamu ambazo nazo zipo kisheria, wakipinga hilo, BAKWATA inaenda kwa "handlers" wake yaani Serikaki ya CCM kuwashughulikia kinyume cha haki
Bakwata ni taasisi ya ccm tu siyo waislam kama ni ya wislam umesikia nani aliyenyanyua kauliyake kuwatetea mashekhe

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hii inaonesha taasisi nyingi hazina uhuru wa kujiendesha
Screenshot_20200916-133710.png
 
Rais Magufuli amelitaka Jeshi la polisi kumtoa mahabusu mmiliki wa shule ya Waislamu iliyoungua moto huko Kyerwa mkoani Kagera wakati wakiendelea na upelelezi.

Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo ufanyike yeye akiwa nje.

Juzi IGP Sirro aliagiza kukamatwa kwa mkuu huyo wa shule, afisa elimu na wakaguzi wa elimu kama sehemu ya upelelezi.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama
Mbona hajaamuru wale masheikh waa uamsho wawe nje? hii nayo si kuingilia kazi za watu ? usawa!!
 
Mbona hajaamuru wale masheikh waa uamsho wawe nje? hii nayo si kuingilia kazi za watu ? usawa!!!!
Angeamuru wale masheikh wa uamsho wawe nje usingehoji kuwa anaingilia kazi za watu?
 
Rais Magufuli amelitaka Jeshi la polisi kumtoa mahabusu mmiliki wa shule ya Waislamu iliyoungua moto huko Kyerwa mkoani Kagera wakati wakiendelea na upelelezi.

Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo ufanyike yeye akiwa nje.

Juzi IGP Sirro aliagiza kukamatwa kwa mkuu huyo wa shule, afisa elimu na wakaguzi wa elimu kama sehemu ya upelelezi.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama
Uonevu wa kijinga kabisa
 
Back
Top Bottom