Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Kama rais wa TanzaniaSorry, ameagiza kama Rais wa nchi au kama mgombea wa urais?
Sasa si wahukumiweHao makosa yao yako dhahiri!
Tumia ubongo basi jamaa, yani wahujumu uchumi wa nchi wamekuwa adui wa magufuli ni sio adui wawatanzania.kazi ya kichwa mnatumia matako.Huyu huwa hajielewi,hata ruge na seth wangeachiwa ili upelelezi uendelee ila adui zake unatupwa ndani bila upelelezi
Kama Rais wa Tanzania!Sorry, ameagiza kama Rais wa nchi au kama mgombea wa urais?
Mnafki anatafuta huruma ya waislamu, mbona mmiliki wa scolastica hakutoa agizo kama hilo?Rais Magufuli amelitaka Jeshi la polisi kumtoa mahabusu mmiliki wa shule ya Waislamu iliyoungua moto huko Kyerwa mkoani Kagera wakati wakiendelea na upelelezi.
Rais Magufuli amesema siyo rahisi mzee huyo anayemiliki shule kuwahujumu watoto anaowalea hivyo ni vema uchunguzi wa kina wa tukio hilo ufanyike yeye akiwa nje.
Juzi IGP Sirro aliagiza kukamatwa kwa mkuu huyo wa shule, afisa elimu na wakaguzi wa elimu kama sehemu ya upelelezi.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama
Huo ndo uzuli wa huyu mzee mwenzangu japo ana mapungufu yake kama binadam lakini moyo wa huruma anaoRais wa Tanzania, Dkt. @MagufuliJP
ameliagiza jeshi polisi kumuachia Mwalimu Mkuu wa Shule Msingi Islamic Byamungu, Kagera, ambaye anashikiliwa baada ya wanafunzi 10 kufariki kwa ajali ya moto. Amesema kumshikilia wakati uchunguzi ukiendelea kumuongezea uchungu zaidi.
Chanzo: swahili Times
Watoto 10 wamepoteza maisha baada ya Shule ya Msingi Byamungu Islamic iliyoko Kata ya Itera wilayani Kyerwa mkoani Kagera, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Septemba 14, 2020.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa umri wa wanafunzi waliofariki ni kati ya miaka sita hadi 12.
Bweni lililoungua ni la wanafunzi wa kiume ambapo majeruhi 6 wamepelekwa Hospital ya Nyakahanga.
View attachment 1571239
Una ushahidi bwashee?Magufuli angekuwa na huruma asingewabambikizia kesi wanaomkosoa
Kwanini wasiipingeSasa kwanini wanaipinga bakwata?
Sasa kwanini wanaipinga bakwata?
Akina Nusrat nao atatangaza lini waachiwe?
Wataje tuwajue comradeHiyo roho ya huruma na utu kaianza lin? Au kwakua anaomba kura? Ameweka watu wangapi mahabusu bila ushahidi kwa chuki?
Hao makosa yao yako dhahiri!
Una ushahidi bwashee?
Kwani utawalani hakuna waislamu?!Kwa sababu BAKWATA imeacha kusimamia maslahi ya waislamu, wanasimamia maslahi ya watawala na matumbo yao
Uyu Rwegamalila ni mjomba wako?Atangaze pia kumuachia Rwegamalila.
Watakujibu watu wa mahakama!Kama ndivyo ni kwa nini mna endelea kuwashikilia kwa Miezi miwili sasa bila ya Hukumu ?.
Nusrat Hanje na Twaha Mwaipaya wapo gerezani zaidi ya miezi miwili kwa kinachodaiwa ‘Kuharibu wimbo wa Taifa’
Sasa kwanini wanaipinga bakwata?