Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Kama hao mashekh ni magaidi si wapelekwe mahakamani.Hawajasamehewa, wamekiri makosa, wameadhibiwa kurejesha peasa waliyoihujumu serikali na wamelipushwa faini. Bahati mbaya hakuna sheria ya plea bargain kwa Magaidi.
Kinashindikana nini kupelekwa mahakamani?
sisiemu na bakwata lao moja ujinga mtupu