Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
nafikiri hakuwa na namna ilikuwa lazima atetee sheria iliyopitishwa ni kazi yake, nahisi asingeitetea pia ingekula kwake.Labda kama ndiye aliyependekeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaumwa. Waziri anasain regulations yeye hazitengenezi. Regulations zinatengenezwa na idara wenye sheria. Mfano, Sheria ya ardhi ikitungwa, regulations zake zinatengenezwa na Kamishana wa Ardhi hivyo waziri wa ardhi huperekewa kusain tu.
JENISTER MHAGAMA MUST GO..
kabla hakujacha..
Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.
Linakukumbusha wapi we Mzee?Jina la Irene Kisaka na uteuzi wake kuwa Mkurugenzi mbona linanikumbusha mbali Sana..
Nasikia eti ni mjane, itakuwa alikuwa chakula ya wakubwa, na mpemba Dau labda alimpigia chapuo kwa JK ili ateuliwe.
Nazani hate makonda atakokotwaKikokotozi bado kinaendelea kukokota watu ni swala la muda tu😀
Bunge lilitunga sheria ambayo haina fomula ila waziri alipaswa kutunga kanuni ambazo zina fomula ikiwepo kikokotozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli kabisa! Ni vizuri umetambua hiliHuyu mdada katolewa kafara tuu. Wamemwonea tuu. Ndio shida ya nafasi za uteuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli kabisa! Ni vizuri umetambua hiliHuyu mdada katolewa kafara tuu. Wamemwonea tuu. Ndio shida ya nafasi za uteuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano unamhusu mkurugenzi. Najua masikio yako yanapenda kuambiwa kuwa rais ni mtu mbaya. Hili halishangazi! Ila kama rais angeingilia wakati wabunge wanapitisha wewe ungekuwa wa kwanza kusema analiendesha bunge kwa rimoti. Kwangu mimi rais amefanya vizuri sana kwani ameacha maji yafuate mkondo wake ili wengi tujue ni wapi kwenye ubovu na wapi kwenye ubora. Kwa hali hii wabunge waliopitisha hiyo sheria keshokutwa watatafakari kabla ya kupitisha mambo mengine.Mfano irrelevant. Wapinzani walipiga kelele toka mwanzo. Unapokea nyumba mbovu, tena baada ya wataalamu (bunge) wako kupitia ubora wa nyumba na kusema wameridhika na ubora, wakati huo huo kuna wataalamu wengine (wapinzani) wanasema hiyo nyumba haina ubora, kwakuwa unaongozwa na upofu wa itikadi unaamua kuwasikiliza na kukubali kwa kuweka saini kwakuwa unawakubali hao wengi wajinga. Matokeo yake siku chache aibu inakukuta kwamba hiyo nyumba(sheria) kweli ni mbovu. Hapa wakulaumiwa ni rais na wabunge wa ccm. Ni sheria nyingi mbovu hupitishwa na wabunge wengi wajinga wa ccm.