Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.


Huu ndiyo ujinga mkubwa wa watanzania hata kama wamesoma, LAZIMA watafanya kazi kwa mazoea, sasa sijuwi walijifunza nini huko mashuleni kwao.
 
Tunajadili chochote ni sawa lakini kwa hoja, tena tukitumia akili na siyo kwa kufuata mkondo kama nyumbu! Wewe kila kitu unafuata mkondo bila kuwa na hoja za msingi. Kwako wewe mwenye akili ni yule anayesema Magufuli ni mbaya. Sasa kama kusema ukweli ni kuvugwa basi acha nivurugwe lakini jua hii ni awamu nyingine siyo ile uliyokuwa umezoea!

Nenda kachimbe viazi ww peasant. Ww unapima hoja umekuja na marking scheme humu ndani? Nani kasema rais ni mbaya? Au unachomeka ili ionekane anayeandamwa ni rais tu humu ndani? Ni nani asiyejadiliwa humu ndani? Kaa kushoto hoja zimekuzidi kimo ww dogo.
 
Huyu ndie aliesemaga kwa kua Michango ya Wanachama ni 20% na wakistaafu watapatiwa kwanza 25% ambayo imeshapita Michango yao basi hawana haja ya kulalamika. Toka siku ile najaribu kupiga hesabu zangu ili nmuelewe lakini nimeshindwa.
huyo mama I kisaka hajui ADDITIONAL MATHEMATICS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sitetei alichokifanya, bali sikubaliana kuhusu kubebeshwa lawama za kikokotoo cha mafao. Yeye kazi yake ni kupendekeza kwa waziri na kama waziri akikataa basi hapo ndipo tungepima ni kwa nini hakujiuzulu.

Wanasiasa ndiyo hupeleka mawazo yao kwa wataalamu na wataalamu hutengeneza mambo kutokana na mahitaji ya wanasiasa. Ukiwa mjamaa utatengenezewa jambo la kijamaa na ukiwa bepari utatengenezewa jambo la kibepari hata kama mtaalamu ni yule yule mmoja!!
Kama unakumbuka Mafuru wakati yuko Hazina pale kama msajili alikataa wazi wazi issue ya Rais kukataa Taasisi za Serikali kufungua fixed account kwenye Benki za Biashara, mafuru aliuambia umma kwa taasisi ya serikali kufungua fixed account kwenye benki ya biashara sio kosa, sasa hawa ndo wasomi tunaowataka aina ya kina Mafuru, ni watu ambao wanasimamia kile wanachokiamini sio huyu dada mwenye PHD ya mkorogo.
 
Nenda kachimbe viazi ww peasant. Ww unapima hoja umekuja na marking scheme humu ndani? Nani kasema rais ni mbaya? Au unachomeka ili ionekane anayeandamwa ni rais tu humu ndani? Ni nani asiyejadiliwa humu ndani? Kaa kushoto hoja zimekuzidi kimo ww dogo.
Thank you so much. Laiti ungejua kulima viazi kunavyonipa maisha mazuri na sina frustration kama zako baada ya mirija yako ya ufisadi kukatwa! Na bado... mwaka ujao utaishi kwa kulamba vidonda kama inzi!
 
Huyo mama is so arrogant halafu anaongea upupu mwingi tofauti na hiyo PhD tunayoambiwa anayo. Hatakiwi kupewa position ambayo inahitaji akili na umakini kufanya maamuzi, wamtafutie cheo cha kimihemko mihemko labda ubunge wa kuteuliwa
 
Back
Top Bottom