Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
unakumbuka wapi mzee babaJina la Irene Kisaka na uteuzi wake kuwa Mkurugenzi mbona linanikumbusha mbali Sana..
Wacha na yeye aonje joto ya jiweHuyu dada alikuwa anajichanganya sana alivyokuwa anatetea asilimia 25 as if yeye hatastaafu.
Labda wakurugenzi kwenye nchi za watu wenye akili zao ila sio hapa.Uyo kwa vyovyote vile katolewa kafara kufichania ovu iliyokuwepo kwasababu hili jambo sio laleo na kwasababu hata ingetokea toka mwanzo angegoma bado angeambiwa kakiuka maagizo halali.Hivi ndugu mbona unajitoa ufahamu. Unajua kazi ya mkurugenzi? Kwa kifupi mkurugenzi anakuwa ndiyo injini ya shirika.. kwa kutumia wataalam wake anawajibika kutoa maamuzi sahihi. Haijalishi kama aliyapitisha kwa rais au nani lakini baadae yakionekana hayana manufaa YEYE ndiye mwajibikaji!
Nenda kanywe nae chai.Masikini Irene isaka dah napenda yule Dada kwakweli aje nimliwaze
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Magufuri huyu mdada nina wasiwasi na udokta wake kama ajaonga tamu shuleni ni bahati sana..!View attachment 979879
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2018 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka.
Mapema leo Rais Magufuli alifanya kikao cha wazi na Viongozi waTUCTA, watendaji wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF na NSSF) na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA) kujadili masuala yahusuyo Mafao ya wafanyakazi hususani KIKOKOTOO na Rais Magufuli alifikia hitimisho kwamba Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika).
Pia soma
> Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika) - JamiiForums
Asante, yule waziri na mibunge ya ccm ingetakiwa iwajibishweNadhani Mhagama angekuwa wa kwanza halafu team yake.
Wapi huko mkuu?Jina la Irene Kisaka na uteuzi wake kuwa Mkurugenzi mbona linanikumbusha mbali Sana..
Asingetetea angetumbuliwa tu Jiwe aeleweki labda uwe Kama Bashite uwe unalia Lia tuSanaaaa! Nilijiuliza anawezaje kujitokezana kutetea kitu kama kile
Watamliwazaje mzee baba😔😔watamliwaza
Huyu na yeye ni wa kufurushwa, yaani hili limama lina roho mbaya kama sura ilivyo, nakumbuka huyu mama akiwa mwenyekiti wa kamati ya bunge wafanyakazi tulikaa naye tukamweleza dukuduku letu kuhusu fao la kujitoa, alivyo pata uwaziri yeye akawa wa kwanza kutuchinjia baharini baada wafanyakaziJENISTER MHAGAMA MUST GO..
kabla hakujacha..
Wewe unaumwa. Waziri anasain regulations yeye hazitengenezi. Regulations zinatengenezwa na idara wenye sheria. Mfano, Sheria ya ardhi ikitungwa, regulations zake zinatengenezwa na Kamishana wa Ardhi hivyo waziri wa ardhi huperekewa kusain tu.Nyie watu mkoje? Hivi hili swali si lilitetewa bungeni? Yaani sijui hamna akili ama huwa mnajitoa akili. Irene kwani alikuwa anapanga mwenyewe bila ya kupitisha kwa wenye mamlaka ya kutunga kanuni?
Kikokotoo hutengenezwa na Waziri mwenye dhamana, mkurugenzi wa SSRA hahusiki!