macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mfano ni relevant
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano ni relevant
Anayetumia regulations kwenye majukumu yake ya kila siku ndiye mwenye kuwajibika nayo. Kati ya Waziri na mkurugenzi unaweza kujua nani anahitaji regulations kwa matumizi ya siku kwa siku.Kati ya hao wawili anayesaini na aliyezitunga nani kisheria huhesabika ndiye kazitunga hizo "Regulations"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] signature kama kiatu
Mzee kachujaMzee unaandika kimbea mbea na kishabiki shabiki Sana. Sikuizi nakuona Kama fala tu.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisheria hizo "Regulations" ni mali ya nani kati ya Waziri mwenye dhamana na Mkurugenzi wa SSRA?Anayetumia regulations kwenye majukumu yake ya kila siku ndiye mwenye kuwajibika nayo. Kati ya Waziri na mkurugenzi unaweza kujua nani anahitaji regulations kwa matumizi ya siku kwa siku.
Nashindwa KUUA nani tena mkuu?Wewe nawe ni mlevi mkuu,kwahiyo unashindwa hata kuua kwamba kutia saini ni kuidhinisha? Kutengeneza kanuni ni jukumu la waziri kupitia wizara yake,ukisikia waziri anatunga kanuni hatumaanishi anajifungia chumbani na kuzitunga bali wanatunga wengine yeye anakuja kumalizia tu kwa kuziingiza katika matumizi.
Mteteeni kivingine lakini sio kumchomoa katika hili!
Apambane na shobo dundo zake sasaHuyu dada alikuwa anajichanganya sana alivyokuwa anatetea asilimia 25 as if yeye hatastaafu.
Hoja dhaifu.Wewe unaumwa. Waziri anasain regulations yeye hazitengenezi. Regulations zinatengenezwa na idara wenye sheria. Mfano, Sheria ya ardhi ikitungwa, regulations zake zinatengenezwa na Kamishana wa Ardhi hivyo waziri wa ardhi huperekewa kusain tu.
Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.
Atakwambia cha zamani ......waliopo kwenye viyoyozi wote wanafikiSasa anakuja kua mtumishi wa kawaida si tumuulize kikotoo kipi kinafaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dada alikuwa anajichanganya sana alivyokuwa anatetea asilimia 25 as if yeye hatastaafu.