Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yupo pale kupingana na Waziri? Yeye ni mtekelezaji wa maagizo toka serikalini na kikawaida ni jambo lilikubaliwa kwa maslahi ya wanasiasa na siyo wastaafu.Kwanini asingejiondoa kwenye hiyo nafasi ya ukurugenzi, kuendelea kuwepo hapo ina mana alikubaliana na mambo aliyoletewa kuyasimamia kuhusu mafao ya watumishi.
Huyu dada angekuwa ni mtu anayejielewa angeachia tu ile nafasi ya ukurugenzi lakini akawa kiherehere kwa kutetea ujingaPHD ya mkorogo, huwezi kuwa na ujasiri wa kutetea ushetani kama ule, hata kama ulikuwa unatumwa na wanasiasa duh! Ona walivyokuruka utabaki na aibu yako mama!.waliokuwa wanakutuma Jiwe na Jennister(Double J) wanaendelea kupeta tena watakuwa wanakuponda kweli na PHD yako ya mkorogo, unaweka njaa mbele kuliko maslahi ya wengi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siko kwenye hizo complication zenu za kichadema! kudandia kila kinachopita mbele yenu. Ona wenzako mpaka sasa hawaoni kuwa wanatetea suala la fastjet na wanasema bila haya waruhusiwe kurusha ndege na suala la usalama lifumbiwe macho!
Aliekua mkurugenzi wa Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa mifuko ya hifadhi ya jamii ametenguliwa cheo chake baada ya sakata la Pension.
Ushauri:Rais tusaidie wabunge wote wa CCM ambao hawakuwatetea wananchi kuhusu mafao wasirudi bungeni tena 2020. Maana kila ujinga wao ni kusupport
Kiongozi usitetee upuuzi wa yule dada, kwa hilo sikubaliani na wewe, it is better to resign a job kuliko kuendelea kutekeleza ujinga wa wajinga nadhani elimu zetu bado hazijatukombowa na haziwezi kutukomboa. unamkumbuka Mafuru aliyekuwa msajili wa Hazina mbona alipingana na jiwe wazi wazi issue ya fixed account yeye huyo dada alishindwa nini?Kwani yupo pale kupingana na Waziri? Yeye ni mtekelezaji wa maagizo toka serikalini na kikawaida ni jambo lilikubaliwa kwa maslahi ya wanasiasa na siyo wastaafu.
Mkuu upo? Naona umeamua kujipa kalikizo kidogo!!Jina la Irene Kisaka na uteuzi wake kuwa Mkurugenzi mbona linanikumbusha mbali Sana..
This is polishing a turd the likes of which I haven't seen before. Load of bollocks.Mfano unamhusu mkurugenzi. Najua masikio yako yanapenda kuambiwa kuwa rais ni mtu mbaya. Hili halishangazi! Ila kama rais angeingilia wakati wabunge wanapitisha wewe ungekuwa wa kwanza kusema analiendesha bunge kwa rimoti. Kwangu mimi rais amefanya vizuri sana kwani ameacha maji yafuate mkondo wake ili wengi tujue ni wapi kwenye ubovu na wapi kwenye ubora. Kwa hali hii wabunge waliopitisha hiyo sheria keshokutwa watatafakari kabla ya kupitisha mambo mengine.
Waambie nitatangazwa baadaye kidogo!Una haraka gani? Ni kweli uteuzi wake umetenguliwa na Rais Magufuli. Mkurugenzi mkuu mpya wa mifuuko ya hifadhi ya jamii utatangazwa baadae .tbc taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunajadili chochote ni sawa lakini kwa hoja, tena tukitumia akili na siyo kwa kufuata mkondo kama nyumbu! Wewe kila kitu unafuata mkondo bila kuwa na hoja za msingi. Kwako wewe mwenye akili ni yule anayesema Magufuli ni mbaya. Sasa kama kusema ukweli ni kuvugwa basi acha nivurugwe lakini jua hii ni awamu nyingine siyo ile uliyokuwa umezoea!Umevurugwa ww, naona unazuia risasi kwa debe. Ushapotea kwenye game. Kajikite kwenye mada moja ili usionekane unarukia kila kinachopita mbele yako. Huku mitandaoni kunajadiliwa chochote, kwani ni utashi wa kila mtu. Huku ni kama ukumbi wa disco, unacheza mziki wowote unaokufurahisha. Kama unataka kuspecialize nenda kwenye wizara huko kila wizara imejikita kwenye eneo moja tu.
Mimi sitetei alichokifanya, bali sikubaliana kuhusu kubebeshwa lawama za kikokotoo cha mafao. Yeye kazi yake ni kupendekeza kwa waziri na kama waziri akikataa basi hapo ndipo tungepima ni kwa nini hakujiuzulu.Kiongozi usitetee upuuzi wa yule dada, kwa hilo sikubaliani na wewe.