Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

Siasa tengeneza tatizo kisha litataue!!
Huyo dada katolewa kafara tuu
 
Mfano wako uko juu chini,chini juu Anza upya
Kama unapata shida kuona kosa lake ngoja nikupe mfano huu: Umempa mkandarasi mkataba wa kujenga nyumba. Baadae ukakabidhiwa nyumba yako na kuichukua. Baada ya siku mbili nyumba ikapasuka ufa! Je mkandarasi hatawajibika kwa sababu tu wewe ulikubali kuipokea ile nyumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2018 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka.

Mapema leo Rais Magufuli alifanya kikao cha wazi na Viongozi waTUCTA, watendaji wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF na NSSF) na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA) kujadili masuala yahusuyo Mafao ya wafanyakazi hususani KIKOKOTOO na Rais Magufuli alifikia hitimisho kwamba Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika).
Pia soma
> Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika) - JamiiForums

Irene Charles Isaka, Director General, Social Security Regulatory Authority - JamiiForums

Huyu dada nilikuwa namfananisha na aliens na nikawa namuwazia maneno yale alokuwa akiongea aiza ni kwa utashi wake ama kwa kutetea tumbo lake hayawezi kuongewa na mtanzania aliyesomesha na mashangazi ba kununuliwa uniform na bibi wadogo na kuoewa nauli na ndg maana ni kama hajazaliwa vile kwa maneno yale nilifikia kumuwazia pengine alishushwa na mvua ya elmino maana sio ya kuwazungumzia wazee wanaostaafu wa tanzania!!!!!!!
 
Yeye ndo alimtuma usishangae anampa shavu zaidi ya alilonalo sasa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
.
Siasa siasa jamani, zitatupeleka tukostahili. Haingii akilini jambo sensitive kama hili , limedumu muda mrefu ,kwa kupewa baraka za wahusika, halafu ghafla mambo yanabadilika kwa kutupiana mpira.
Ee Mungu wa wote tusaidie.
 
Mazee sioni mantiki kwenye hoja yako.Rais aliacha maji yafuate mkondo na baade akaingilia. Rais hawezi kuwa kila mahali akifanya kila kitu. Hufanyia kazi yale anayoletewa na yale yenye uharaka! BTW mimi nimefurahi jinsi alivyojipa muda kushughulikia kwani imekuwa ni somo tosha kwa wengi.

Of course you don't.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi na elimu ya alietunga hiyo sheria pamoja na aliesaini?
Mwanasiasa siku zote hata awe PHD holder huwa hana tofauti na mtu aliyeishia darasa la pili B, na huwa wanafanya hivi kwa kulinda maslahi yao binafsi na sio kwa maslahi ya wengi, lakini mtaalamu mwenye PHD ukafanya ujuha kwa kulinda maslahi ya wanasiasa aisee huo ni u.pumbavu wa hali ya juu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2018 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka.

Mapema leo Rais Magufuli alifanya kikao cha wazi na Viongozi waTUCTA, watendaji wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF na NSSF) na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA) kujadili masuala yahusuyo Mafao ya wafanyakazi hususani KIKOKOTOO na Rais Magufuli alifikia hitimisho kwamba Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika).
Pia soma
> Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika) - JamiiForums

Irene Charles Isaka, Director General, Social Security Regulatory Authority - JamiiForums
Kwi! Kwi! Kwi!
 
Siasa za maji taka!!Mama ndiyo alitunga hiyo sheria mbovu??!

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna siasa za maji taka kilichomponza Irene ni kiherehere chake cha kila mara kujitia kudadavuwa kikokotoo ni kukitetea, na elewa kati ya waziri na Irene mtaalam wa mahaesabu na mshawishi mkuu ktk mipango yote ya kutengeneza formula ya calculation ni Irene na ndio sababu alikuwa akitetea mno katika mahojiano,
Magufuli yuko sawa,
Huwezi kupewa unga maji mwiko halafu usonge ugali mbichi kisha ulalamike eti alaumiwe na alie leta maji mwiko na sifuria, utaonekana juha,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.
Nchi hii imejaa wajinga kweli kweli!
 
Nyie watu mkoje? Hivi hili swali si lilitetewa bungeni? Yaani sijui hamna akili ama huwa mnajitoa akili. Irene kwani alikuwa anapanga mwenyewe bila ya kupitisha kwa wenye mamlaka ya kutunga kanuni?

Kikokotoo hutengenezwa na Waziri mwenye dhamana, mkurugenzi wa SSRA hahusiki!

Likely muhagama amepiga maneno ya kumzuga rais sana pale kwenye kikao lakini yeye alipaswa kutumbuliwa mwanzo
Mtu analipwa mshahara wa 442,000/= anafanya kazi kwa miaka 32 mwisho siku anakuja kupata pencheni yake Tshs 2,000,000/= ukitoa alizochangia mfanyakazi mwenyewe Tshs milioni 8. Kuna haja gani mtu kuomba ajira serikalini?? huu ni uuaji wa kiwango cha juu zaidi.
 
This is a harsh punishment for her. Pigo kwa young ladies who were looking up to her.
Lady leaders, be humble and dont stop learning to lead, communicate as a leaders, learn surroundings and situations, seek opinion and advise. Ask for help.

My self I am not a leader but I've never stopped to learn leading children and house helpers.Contradiction nhaa!
 
Hakuna siasa za maji taka kilichomponza Irene ni kiherehere chake cha kila mara kujitia kudadavuwa kikokotoo ni kukitetea, na elewa kati ya waziri na Irene mtaalam wa mahaesabu na mshawishi mkuu ktk mipango yote ya kutengeneza formula ya calculation ni Irene na ndio sababu alikuwa akitetea mno katika mahojiano,
Magufuli yuko sawa,
Huwezi kupewa unga maji mwiko halafu usonge ugali mbichi kisha ulalamike eti alaumiwe na alie leta maji mwiko na sifuria, utaonekana juha,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi akili yako inakubali kwamba mkuu wa nchi alikuwa haelewi kabisa kinachoendelea kuhusu kikokotoo na amekuja kuelewa kwenye kikao cha leo?
 
This is a harsh punishment for her. Pigo kwa young ladies who were looking up to her.
Lady leaders, be humble and dont stop learning to lead, communicate as a leaders, learn surroundings and situations, seek opinion and advise. Ask for help.

My self I am not a leader but I've never stopped to learn leading children and house helpers.Contradiction nhaa!

It's not hush, but it's a wake-up call for her.

Fiscal implications means financial implications, she will have to dwell on that to understand.

She didn't understand the financial implications which the pensioners will incur following her actions.

She was the regulator with all muscles and tools from the government machinery and she didn't use them appropriately.

Then, you will have to take responsibility for your actions.

To you and other ladies, you have to understand the implications of not performing and using your knowledge and not used by outsiders.

Top positions are not just for seating but performing and using your knowledge

That's all.
 
Back
Top Bottom