Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Magufuli hafai kabisa kuwe kwenye nafasi ya urais. Ni mtu wa ajabu sana, hivi yeye anadhani ni rais wa CCM? anadhani kodi zinazoendesha serikali ni za wana CCM pekee? Mtu wa hovyo kabisa.
CCM wengi siyo walipa kodi kabsa, kodi inalipwa na wananchi wote tena wengi ni wapinzani
 
Kuanza kampeni kabla ya wakati umesaidia kujua madhaifu yake likiwemo hilo la kuwakomoa wananchi kwa kisingizio kuwa walimchagua mpinzani
 
Kusema kuwa hapeleki maendeleo kwa makusudi hilo ni kosa kisheria kwani pesa za walipa kodi zimeenda wapi,?
 
Kwa kweli nimetazama hiyo video nimecheka ila sio kwa mazuri bali jinsi raiya wanavyonagwa kwa ubaguzi wa kichama.
Eti bakini na huyo Bwege wenu awajengee stand 🤣🤣🤣
ile ni dharau kubwa kwa upinzani na imeonyesha kuwa hataki mfumo wa vyama vingi na amedhani maendeleo ni Hisani ya CCM ni pesa binafsi toka mfukoni mwake ni Aibu kubwa, akina mwinyi kikwete wakiona vile roho zinawaenda mbiyo sana
 
Utawala huu wa kidikteta sasa unaishi kwa zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM umekariri kuwa maendeleo ni Hisani za CCM utazani ni pesa binafsi za CCM, haitaki kutambua kuwa maendeleo ni ya lazima kwa walipa kodi ambao wengi siyo wanachama wapenzi wa CCM.
 
Lissu na wagombea wenzio ole wenu mshindwe kulisemea hili kwenye kampeni, tena ikibidi unganisheni video clips mtembee nazo kila mahali.

Wasukuma ni watu wa upendo sana sijui msukuma gani mbaguzi hivi huyu!
 
Lissu na wagombea wenzio ole wenu mshindwe kulisemea hili kwenye kampeni, tena ikibidi unganisheni video clips mtembee nazo kila mahali.

Wasukuma ni watu wa upendo sana sijui msukuma gani mbaguzi hivi huyu!
Kwao ni Rwanda wakahamia Burundi baadae chato hizo Tabia za ubaguzi siyo za huko kwenu usukumani ni Tabia na wahutu na watusi
 
Sasa ni lazima uipende CCM kwa nguvu ndipo uletewe maendeleo hata kama unalipa kodi
 

Mbona hizo changamoto, kwa tafsiri ya upinzani, ni "maendeleo ya vitu"! Upinzani unataka kuleta " maendeleo ya watu". Hivyo basi, tunawasubiri kwenye majukwaa, wakati wa kampeni, watwambie Sera zao za "maendeleo ya watu" na jinsi zitakavyotelezwa.
 
Useless dude! Look here same day same dude similar issue, contradicting statements. Ina maana tatizo la stand ya mabasi Kilwa ni la Mbunge wa upinzani, Bwege, wakati tatizo kama hilo (kutokujengwa choo cha umma kwenye soko), wilayani Kibiti, wilaya jirani ya mkoa jirani (Lindi) ni la DC na DED? Siyo kwa kuwa kuna mbunge wa upinzani katika jimbo hilo tena, maana mbunge wa Kibiti ni wa CCM, Sick!
 

Attachments

  • VID-20200730-WA0040.mp4
    13.3 MB
Mbona hizo changamoto, kwa tafsiri ya upinzani, ni "maendeleo ya vitu"! Upinzani unataka kuleta " maendeleo ya watu". Hivyo basi, tunawasubiri kwenye majukwaa, wakati wa kampeni, watwambie Sera zao za "maendeleo ya watu" na jinsi zitakavyotelezwa.
Pesa za walipa kodi ndizo hutekeleza maendeleo lakini CCM huwakomoa kwa kuzuia maendeleo kwa makusudi ni aina ya matumizi mabaya ya madaraka na pesa za walipa kodi acheni ubaguzi wa maendeleo
 
Kodi alipe mwananchi asiye na chama lakini analazimishwa kuipenda CCM kwa nguvu ndipo aletewe maendeleo hiyo ni dharau kubwa
 
Sijui Kwanini asingekuwa huyu badala ya yule!
 
Kwa kweli nimetazama hiyo video nimecheka ila sio kwa mazuri bali jinsi raiya wanavyonagwa kwa ubaguzi wa kichama.
Eti bakini na huyo Bwege wenu awajengee stand [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo safari nzima ya uncle ilikua ni full comedy, usisahau ile "jogoo hoyeeeeeeeeee"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…