Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Huyo ndiye JPM halisi wengine wote fotokopi. Hati Maendeleo hayana vyama-wakati mtu anaonyesha ubaguzi wazi wazi. Tumuache yeye na Joni Mchungaji na Mzee Mgaya wanataka kutuamunisha kuwa maendeleo hayana vyama.
Huu ni ubaguzi. Kazi ya mbunge sio kupeleka maendeleo jimboni bali kazi yake ni kuwasemea wananchi. Maendeleo hupelekwa na serikali ilyopo madarakani.
Maana hata kama jimbo ni la upinzani bado wana lipa kodi.
Kuna mahali Mh Rais hukosea maana juna maeneo wabunge ni wa Ccm lakini wakusha pata kura hawaonekani majimboni hadi uchaguzi ukaribie.
Wengine wa Ccm ndio hao majangili. Lakini Mh Rais hawazungumzii. Hii ni aibu na anatakiwa awaombe radhi Wapinzani
 



Wakuu, MAENDELEO HAYANA CHAMA

Rais Magufuli akiwa safarini kutoka Mtwara, ameombwa na mwanakijiji Jimbo la Kilwa kwamba hawana Stendi ya Magari hivyo anaomba wajengewe. Rais Magufuli amejibu kwamba siku nyingine waangalie wawakilishi wanaowachagua ili waweze kufanya vile yeye anavyowaagiza. Mbunge wa jimbo hili aliyemaliza muda wake ni Seleman Bungara aka Bwege Mzee wa ''Umesikia Wapi'' ambaye alikuwa anatokea chama cha wananchi CUF Habari

Rais amezidi kusema kwamba miradi kama hiyo ni ya wabunge na Madiwani ndiyo wanapaswa kuisimamia hivyo kuwataka wabaki na Bwege wao


Rais Magufuli amesema haya...

Nilikuja hapa nikasema nichagulieni watu nitakaokuwa nawaagiza wanafanya ninayoyataka mkasema hapana, Mkamchagua Bwege basi shauri yenu na bwege wenu mwambie awatengenezee stendi

Kazi ya Stendi ni ya madiwani, wabunge. Ukikosea kuchagua, nafuu ukosee kuoa au kuolewa. Ukikosea kuchagua ni tatizo kubwa.


Na hili ndugu zangu niwaombe, muwe waangalifu katika kuchagua. Mchague watu ambao watakuwa kwa ajili ya watu masikini.

Tunatuma hapa fedha za road fund, tunatuma fedha hapa za halmashauri, zimeshindwa kweli kujenga stendi?

Lakini kwa sababu mnanichagulia, wao wenyewe mastendi unategemea mimi mwenyewe nifanyeje? Huo ndiyo ukweli sitaki kuwaficha mlikosea kuchagua.


Sasa katika uchaguzi wa mwaka huu mjipange vizuri, mchague mtu ambaye mtakuwa mmempa stendi akikataa nitamfukuza hata kwenye chama. Lakini leo nitamfukuza huyo aliyeko kwenye chama sijui hata yuko kwenye chama gani, nitamchukulia hatua gani?


Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali na kuwahamasisha wananchi kukemea vikali kauli hizi za kibaguzi. Wamedai kuwa kitendo cha kuhamasisha ubaguzi na kuingilia mamlaka ya wananchi katika kuchagua mtu wamtakaye kinakiuka misingi ya Katiba yetu.
Uchaguzi ujao hata nyinyi watz msikosee tena kuchagua rais hasiyejali kwamba mnalipa kodi na mnastahili kupewa ruzuku ya pesa za maendeleo.

Kwenye karatasi ya kupiga kura ukiona rangi ya kijani na njano, iruke ASAP
 
CCM wapo wengi Bungeni(ndiyo wenye majimbo mengi) , maana yake kama majimbo yao yote yangekuwa na maendeleo, Taifa lingekuwa mbali sana kiuchumi. Tunalia umasikini kila siku, changamoto ni zile zile maji, barabara, afya,elimu halafu anakuja hapa kuleta porojo za kijinga.
Watu wanahangamia kwa kukosa maarifa , fikiria kama kiongozi hana maarifa , raia wake watakuwa na hali gani
 
MH Magufuli, nimeamua nije huku Jf nikupe za uso.Wanakilwa tunataabika sana, hao unaowaita watu sahihi, kwetu si watu sahihi.Wabunge wengi tulio waamini na kuwapa nafasi ktk Majimbo ya kilwa ambao ni wanasisiemu kindakindaki hawakuwa na msaada wowote kwetu sisi raia wa wilaya ya Kilwa.Tukiwachagua huwa wanaenda mazima, hawarudi hadi uchaguzi ukaribie. Kwanini tusichague vyama vingine ambavyo vinawatu wenye uwezo wa kutesemea maono yetu!!

Ni wachumia matumbo(Wabunge waliowahi kuhudumu Kilwa-CCM) hawapo kwaajili ya kutetea maslahi ya wana Kilwa.
#MwanaGiningi nipo njiani naja kuikomboa Kilwa yangu.

Nimekuwa nikichukizwa sana na misemo ya Watz wenzetu ambao hutusema sisi ni wa mwisho kwa kila jambo, inatia hasira!! Ila Mwanaginingi nakuja, nitaifanya kilwa iwe kama ile Kilwa iliyotukuka karne ya 15 kurudi nyuma, KILWA ambayo ilikuwa na dorali yake. Kilwa94

Mwanaginingi (mkombozi) nakuja.
 



Wakuu, MAENDELEO HAYANA CHAMA

Rais Magufuli akiwa safarini kutoka Mtwara, ameombwa na mwanakijiji Jimbo la Kilwa kwamba hawana Stendi ya Magari hivyo anaomba wajengewe. Rais Magufuli amejibu kwamba siku nyingine waangalie wawakilishi wanaowachagua ili waweze kufanya vile yeye anavyowaagiza. Mbunge wa jimbo hili aliyemaliza muda wake ni Seleman Bungara aka Bwege Mzee wa ''Umesikia Wapi'' ambaye alikuwa anatokea chama cha wananchi CUF Habari

Rais amezidi kusema kwamba miradi kama hiyo ni ya wabunge na Madiwani ndiyo wanapaswa kuisimamia hivyo kuwataka wabaki na Bwege wao


Rais Magufuli amesema haya...

Nilikuja hapa nikasema nichagulieni watu nitakaokuwa nawaagiza wanafanya ninayoyataka mkasema hapana, Mkamchagua Bwege basi shauri yenu na bwege wenu mwambie awatengenezee stendi

Kazi ya Stendi ni ya madiwani, wabunge. Ukikosea kuchagua, nafuu ukosee kuoa au kuolewa. Ukikosea kuchagua ni tatizo kubwa.


Na hili ndugu zangu niwaombe, muwe waangalifu katika kuchagua. Mchague watu ambao watakuwa kwa ajili ya watu masikini.

Tunatuma hapa fedha za road fund, tunatuma fedha hapa za halmashauri, zimeshindwa kweli kujenga stendi?

Lakini kwa sababu mnanichagulia, wao wenyewe mastendi unategemea mimi mwenyewe nifanyeje? Huo ndiyo ukweli sitaki kuwaficha mlikosea kuchagua.


Sasa katika uchaguzi wa mwaka huu mjipange vizuri, mchague mtu ambaye mtakuwa mmempa stendi akikataa nitamfukuza hata kwenye chama. Lakini leo nitamfukuza huyo aliyeko kwenye chama sijui hata yuko kwenye chama gani, nitamchukulia hatua gani?


Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali na kuwahamasisha wananchi kukemea vikali kauli hizi za kibaguzi. Wamedai kuwa kitendo cha kuhamasisha ubaguzi na kuingilia mamlaka ya wananchi katika kuchagua mtu wamtakaye kinakiuka misingi ya Katiba yetu.

Ina maana kampeni zimeanza?
 
Naona watu mnadonoa maneno machache mpate cha kuongea.
Aliposema "stendi ni kazi ya madiwani na wabunge....na fedha za road fund hutumwa", naona hapajaonekana.
Hivi unadhani ujenzi wa stendi ni sasa na ujenzi wa darasa,Hamna Halmashauri yoyote hapa Nchini ilishawahi kujenga stendi kwa fedha za ndani,pia hela za road fund zinaenda ni TARURA nazo ni za Barbara napo unaweza ombea 3B ukaletewa milioni 500 au 1B hii nchi waliopo ndani ya serikali ndio wanajua hizii hadaa za kisiasa.
Yani full comedy,Mkapa ambaye kila mtu anamtukuza Leo kama kiongozi making kuliko wrote ukimtoa Nyerere kwa hili la kumleta Jiwe alichemka vibaya sana.
 
CCM wapo wengi Bungeni(ndiyo wenye majimbo mengi) , maana yake kama majimbo yao yote yangekuwa na maendeleo, Taifa lingekuwa mbali sana kiuchumi. Tunalia umasikini kila siku, changamoto ni zile zile maji, barabara, afya,elimu halafu anakuja hapa kuleta porojo za kijinga.
Point sana hii
 



Wakuu, MAENDELEO HAYANA CHAMA

Rais Magufuli akiwa safarini kutoka Mtwara, ameombwa na mwanakijiji Jimbo la Kilwa kwamba hawana Stendi ya Magari hivyo anaomba wajengewe. Rais Magufuli amejibu kwamba siku nyingine waangalie wawakilishi wanaowachagua ili waweze kufanya vile yeye anavyowaagiza. Mbunge wa jimbo hili aliyemaliza muda wake ni Seleman Bungara aka Bwege Mzee wa ''Umesikia Wapi'' ambaye alikuwa anatokea chama cha wananchi CUF Habari

Rais amezidi kusema kwamba miradi kama hiyo ni ya wabunge na Madiwani ndiyo wanapaswa kuisimamia hivyo kuwataka wabaki na Bwege wao


Rais Magufuli amesema haya...

Nilikuja hapa nikasema nichagulieni watu nitakaokuwa nawaagiza wanafanya ninayoyataka mkasema hapana, Mkamchagua Bwege basi shauri yenu na bwege wenu mwambie awatengenezee stendi

Kazi ya Stendi ni ya madiwani, wabunge. Ukikosea kuchagua, nafuu ukosee kuoa au kuolewa. Ukikosea kuchagua ni tatizo kubwa.


Na hili ndugu zangu niwaombe, muwe waangalifu katika kuchagua. Mchague watu ambao watakuwa kwa ajili ya watu masikini.

Tunatuma hapa fedha za road fund, tunatuma fedha hapa za halmashauri, zimeshindwa kweli kujenga stendi?

Lakini kwa sababu mnanichagulia, wao wenyewe mastendi unategemea mimi mwenyewe nifanyeje? Huo ndiyo ukweli sitaki kuwaficha mlikosea kuchagua.


Sasa katika uchaguzi wa mwaka huu mjipange vizuri, mchague mtu ambaye mtakuwa mmempa stendi akikataa nitamfukuza hata kwenye chama. Lakini leo nitamfukuza huyo aliyeko kwenye chama sijui hata yuko kwenye chama gani, nitamchukulia hatua gani?


Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali na kuwahamasisha wananchi kukemea vikali kauli hizi za kibaguzi. Wamedai kuwa kitendo cha kuhamasisha ubaguzi na kuingilia mamlaka ya wananchi katika kuchagua mtu wamtakaye kinakiuka misingi ya Katiba yetu.
Mh. Rais,Jimbo la Nyamagana Jijini Mwanza lilikuwa na Mbunge kutoka CCM Mabula lakini ukifika Nyamagana ndo Jimbo linaongoza kwa barabara mbovu, stand ya Nyegezi imeahimdikana kujengwa na hatima yake hatuijui. Mbunge wa Nyamagana alomaliza muda wake Bwana Mabula ni bwege kuliko bwege wa Kilwa halafu cha ajabu katembeza rushwa na kuongoza kwenye kura za maoni
 
Back
Top Bottom