Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
كلب واحد
Uislam hauko hivyo unavyotaka wewe, kama leo wakristo wanachanga kwa ajili ya kujenga mskiti unaona sawa, iko siku wataomba na sehemu ya mskiti wafanye biashara bado utaona sawa tu! Watu hatutakiwi kubaguana ila kiimani kuna baadhi ya vitu haviko sawa, hivyo hatuwezi kuwa sawa. Amini unavyoamini ila kwangu mimi sio sawa. Hata mafundisho tumetofautiana. Hela aliyochanga mkristo kwenda kujenga mskiti sio sawa hata kidogo.
كلب واحد
Uislam hauko hivyo unavyotaka wewe, kama leo wakristo wanachanga kwa ajili ya kujenga mskiti unaona sawa, iko siku wataomba na sehemu ya mskiti wafanye biashara bado utaona sawa tu! Watu hatutakiwi kubaguana ila kiimani kuna baadhi ya vitu haviko sawa, hivyo hatuwezi kuwa sawa. Amini unavyoamini ila kwangu mimi sio sawa. Hata mafundisho tumetofautiana. Hela aliyochanga mkristo kwenda kujenga mskiti sio sawa hata kidogo.
Pesa iliyochangwa inakwenda kujenga msikiti.Nn Alhaj we?uislamu hauangalii cheo cha mtu,ikiwa Mtume mwenyew kuna mambo aliwekwa sawa na Mungu itakuwa hao unaowataja?hii ndio sababu ya tofauti kubwa kati ya uislamu na dini nyinginezo
Kama Magufuli anadhani imani ni rahisi kihivyo siku moja akialikwa msikitini akawaambie waislamu watoe sadaka ya kujenga kanisa kisha aone kama atapata senti hata moja!, Labda kutoka kwa watu kama shehe Alhadi!
Hizo ni poor assumptions za kwako binafsi.كلب واحد
Uislam hauko hivyo unavyotaka wewe, kama leo wakristo wanachanga kwa ajili ya kujenga mskiti unaona sawa, iko siku wataomba na sehemu ya mskiti wafanye biashara bado utaona sawa tu! Watu hatutakiwi kubaguana ila kiimani kuna baadhi ya vitu haviko sawa, hivyo hatuwezi kuwa sawa. Amini unavyoamini ila kwangu mimi sio sawa. Hata mafundisho tumetofautiana. Hela aliyochanga mkristo kwenda kujenga mskiti sio sawa hata kidogo.
Kwa Mungu sisi wote ni watenda dhambi na tumepungukiwa utukufu ndio maana kila dini inamkumbusha mtu juu ya umuhimu wa kutubu kadri awezavyo.Tatizo siyo mm mkuu swala n muongozo na kanuni za dini inakataza hyo kitu hvyo kanuni za dini zimekiukwa mkuu waliowekwa madarakani kuusimamia umma wa kiislam wamelifumbia macho hili
YATUPASA KUPAZA SAUTI KWA VILE HATUNA UWEZO WA KUFIKISHIA KILIO HIKI
HAKI NA BATILI HAVITANGAMANI
Kuwa wamoja kama taifa haimaanishi tuingiliane namna tunavyoendesha mambo ya imani zetu!Tungekuwa ni watu wa chuki kama mawazo yako yalivyo tusingedumu kama taifa tangu 1961.
Mkuu sikujua kumbe we n mkatoliki halafu unataka kuwasemea umma wa kiislamuHizo ni poor assumptions za kwako binafsi.
Wakristo haswa wakatoliki huwa tunakuwa na ardhi nyingi tunayoitumia kujenga kanisa shule za sekondari za msingi na masuala mengine ya kimaendeleo.
Rais ni mtu mwerevu aliyefanya maamuzi kwa kuzingatia mahitaji ya wasaidizi wake katika masuala ya kiroho, sidhani kama ni uamuzi wake binafsi.
Even though hakuna muunganiko wa kiimani baina ya wakristo na waislam, zaidi ya kuwa wote ni watanzania, ila kila dini ina mambo yake, hata kama wana maeneo yao, hio haijaalishi hata waislam nao wana maeneo yao.Hizo ni poor assumptions za kwako binafsi.
Wakristo haswa wakatoliki huwa tunakuwa na ardhi nyingi tunayoitumia kujenga kanisa shule za sekondari za msingi na masuala mengine ya kimaendeleo.
Rais ni mtu mwerevu aliyefanya maamuzi kwa kuzingatia mahitaji ya wasaidizi wake katika masuala ya kiroho, sidhani kama ni uamuzi wake binafsi.
Kwasisi waislam ibada ni zaidi ya jengo, ndio maana hata ukiwa popote palipo safi unaweka msala unaswali.Kwa hiyo Sheikh siku ukipitia Chamwino kwa bahati mbaya, uko radhi kuswali uwanjani ila siyo kwenye Msikiti ambao hela za ujenzi wake zimetokana na michango ya Wakristo, Wakatoliki na walaji wakuu wa mbuzi katoliki!
Binafsi sina imani na Shekhe Alhadi, muhuni wa Makadara, nimeshangaa kuja Dar namkuta ni shekhe![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Kama Magufuli anadhani imani ni rahisi kihivyo siku moja akialikwa msikitini akawaambie waislamu watoe sadaka ya kujenga kanisa kisha aone kama atapata senti hata moja!, Labda kutoka kwa watu kama shehe Alhadi!
Haya mambo yanataka moyo aisee, juzi wametuvunjia UDOM leo wanatusaidia kujenga kwingine, kama kweli wanatupenda wasingetuvunjia UDOMRais Magufuli leo amekabidhi mchango wa fedha za ujenzi wa msikiti zilizochangishwa jana katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Immakulata.
Fedha hizo zimekabidhiwa kwa Shekhe wa Wilaya Suleiman Matitu na Katibu wa Rais ndugu Ngusa.
Chanzo: East Africa Radio
Hao wanaotuchangia leo ndio waliotuvunjia UDOM msidhano tumesahauChadema wapendeni waislamu!
Masjid Bikira Maria bin ImmakulataRais Magufuli leo amekabidhi mchango wa fedha za ujenzi wa msikiti zilizochangishwa jana katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Immakulata.
Fedha hizo zimekabidhiwa kwa Shekhe wa Wilaya Suleiman Matitu na Katibu wa Rais ndugu Ngusa.
Chanzo: East Africa Radio
Nongwa zote hizi kisa ni kuchangishana pesa ya ujenzi wa msikiti kanisani?. Pole sana.Kuwa wamoja kama taifa haimaanishi tuingiliane namna tunavyoendesha mambo ya imani zetu!
Kama unawapenda sana waislamu mbona ulikuwa ukipinga uwepo wa mahakama ya kadhi nchini?
Hakuna cha kanuni mkuu. Waislam kama wewe wanafanya kazi na rais mkatoliki.Mkuu sikujua kumbe we n mkatoliki halafu unataka kuwasemea umma wa kiislamu
Hilo haliwezekani sisi wenye dini yetu tunakueleza kanuni zmekiukwa wewe mkatoliki unasema hazijakiukwa sasa sijui unahitaji nini juu ya swala hili
Hivi unajua sharti za swala ya Ijumaa? Au unajisemea tu ili uonekane umesema?Hakuna cha kanuni mkuu. Waislam kama wewe wanafanya kazi na rais mkatoliki.
Unataka waendelee kukosa ibada za ijumaa kisa pesa hazipaswi kutoka kwa mkristo?
Achana na roho ya kimaskini mkuu.
Hao waliomshauri rais mpaka kufukiza hatua ya kujenga msikiti hapo Chamwino ni waislam kama wewe sasa usijidai wewe kuwa unaujua uislam kuliko wao.Hivi unajua sharti za swala ya Ijumaa? Au unajisemea tu ili uonekane umesema?