Rais Magufuli awataka TRA kuacha kubambikia wafanyabiashara kodi, asema wanakadiria kodi kubwa ili wapewe rushwa!

Rais Magufuli awataka TRA kuacha kubambikia wafanyabiashara kodi, asema wanakadiria kodi kubwa ili wapewe rushwa!

Hiyo TRA ni yakufumua yote isukwe upya na damu changa. Kuna wazee waume kwa wake wamejazana mule hao ndo vinara wa rushwa wazoefu. walinisababisha nikafunga biashara yangu
Wapo pia vijana wengi wanapenda short cuts za kimaisha nao wanaweza kula rushwa.
 
Wapo pia vijana wengi wanapenda short cuts za kimaisha nao wanaweza kula rushwa.
Kwanini msiwaroge.??

Watanzania acheni kulia lia.

Mtu akikudhurumu mpige picha kisiri au chukua majina Yake nenda hapo Pemba au tanga wilaya ya lushoto Kijiji flani hivi.

Lazima waisome namba kwa kufa au kuteseka kwa kula haki za watu.


Msiwe mnategemea serikali kwa kila kitu. Mambo mengine fanyeni kwa uwezo wenu ili kutia adabu. Mtu anakuomba rushwa na ni haki yako. Wewe mpe kiroho Safi halafu mfanyie unyama.

Maisha yenyewe mafupi haya. Mtie adabu haswa.
 
RAIS ungezuia pia uonevu kwenye maofisi ya umma.
 
Vita kati ya wafanyabiashara na TRA haitaisha kamwe kwa sababu zifuatazo.
1. Wafanya biashara wengi hasa wadogo na wa kati hawajui sheria za kodi.
2. Wafanyabiashara wengi hasa wadogo na wakubwa hawana rekodi sahihi za mapato, matumizi na faida. Yaani hawana vitabu vya hesabu. Jambo hili linasababisha ugumu katika kukokotoa kodi.
3. Mfumo wa TRA wa sasa wa EFD ni dhaifu. Una rekodi mauzo tu, hauruhusu wafanya biashara kuweka matumizi. Hauwezi kukadiria kodi kwa mauzo tu.
4. Mianya ya ukwepaji kodi ni mingi kutokana na mfumo wa biashara kuwa holela. Huwezi ku control wachuuzi kwa mamilioni waliopo sasa hivi.
5. Mfumo wa kodi una shida. Kuna ubaguzi baina ya wafanyabiashara. Mangi hama efd wala si VAT registered, mchuuzi wa barabarani hana efd wala si VAT registerd, lakini mwenye duka kubwa ana efd ni VAT registered. Wote wanauza biadhaa zinazofanana. Huyu mwenye EFD na VAT registered wakifuata sheria watakuwa ghali kuliko hao ambao si VAT registerd na hawatauza.
6. Huduma nyingi za kibiashara hazina risiti. Kwa mfano wewe kama una duka, ukinunua bidhaa kariakoo, unazipeleka mbagala utakodi kirikuu. Ila mwenye kirikuu hatakupa risiti. How do you account for that transanction. Same kwa nyanya na nyama kama una hotel. au ukioanda dala dala kwenda kuchukua mzigo hupati risiti ya TRA.


Nini kifanyike.
1. Badala ya ku categorise wafanya biashara kwa volume ya mauzo hawa ndo wawe VAT register au la. Classification ifanywe kwa aina ya bidhaa. Kwa mfano bidhaa za kila siku ambazo zinauzwa kwa mangi maduka ya aina hiyo yasiwe VAT registered. Lakini bidhaa zingine zote bila kujali ukubwa wa biashara wawe VAT registered.

2. Mfumo wa EFD utoe uwezo wa kurekodi matumizi ya biashara. Ili jioni unapopeleka taarifa uingize na matumizi ya siku hiyo. Kwa mfano uweke manunuzi ya mzigo uliofanya siku hiyo, pamoja na matumizi mengi kama usafiri, vibarua etc.
3. Kodi ikokotolewe kutokana na hesabu za mfumo ulioboreshwa.
4. Kutoa elimu ya kutosha. Kuwe na mtihani kabisa, kabla mtu hajapata leseni ya biashara ihakikishwe kuwa amesoma nankuelewa mfumo wa kodi kulingana na aina ya biashara anayotaka kufanya. Elimu elimu elimu.
Nakuunga mkono mkuu ila kwenye ushauri uliutoa ningeongezea bidhaa za vyakula ambavyo ni muhimu kama unga, mchele, maharage nk, visiwe na VAT

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Toka wameanza kuambiwa waache kubambikia watu kodi kama mpaka leo hawajaacha basi hawataacha milele.
Mkuu hizo ni siasa!!wao TRA, wanafuata miongozo iliyopo, kwani mala nyingi ndio wanaitumia, bora angesema kabisa, mfano, bwana kama mauzo yako kwa siku ni 20,000 -100, 000 kodi yako itakuwa 50, 000 kwa mwaka!!!(THUBUTU),
 
Rais Magufuli ameitaka TRA kuacha kuwabambikia kodi wafanyabiashara na badala yake watoe makadirio ya haki.

Rais Magufuli amesema tabia ya kubambika kodi inawafanya wafanyabiashara washindwe kulipa na kutafuta njia za kukwepa kabisa kulipa.
Rais Magufuli amesema baadhi ya watumishi wa TRA wamekuwa na tabia ya kutoa makadirio makubwa na baadae kuomba wapewe rushwa ili wayapunguze.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Kwaiyo saivi anajifanya mwema kwetu
 
Rais Ni msikivu, na amewaunga mkono wabunge NAPE NAUYE na Konstantin Kanyasu. Kwa hiyo Yule Waziri aliyetetea task force za kunyanyasa wafanyabiashara, kapigwa za uso
 
Vita kati ya wafanyabiashara na TRA haitaisha kamwe kwa sababu zifuatazo.
1. Wafanya biashara wengi hasa wadogo na wa kati hawajui sheria za kodi.
2. Wafanyabiashara wengi hasa wadogo na wakubwa hawana rekodi sahihi za mapato, matumizi na faida. Yaani hawana vitabu vya hesabu. Jambo hili linasababisha ugumu katika kukokotoa kodi.
3. Mfumo wa TRA wa sasa wa EFD ni dhaifu. Una rekodi mauzo tu, hauruhusu wafanya biashara kuweka matumizi. Hauwezi kukadiria kodi kwa mauzo tu.
4. Mianya ya ukwepaji kodi ni mingi kutokana na mfumo wa biashara kuwa holela. Huwezi ku control wachuuzi kwa mamilioni waliopo sasa hivi.
5. Mfumo wa kodi una shida. Kuna ubaguzi baina ya wafanyabiashara. Mangi hama efd wala si VAT registered, mchuuzi wa barabarani hana efd wala si VAT registerd, lakini mwenye duka kubwa ana efd ni VAT registered. Wote wanauza biadhaa zinazofanana. Huyu mwenye EFD na VAT registered wakifuata sheria watakuwa ghali kuliko hao ambao si VAT registerd na hawatauza.
6. Huduma nyingi za kibiashara hazina risiti. Kwa mfano wewe kama una duka, ukinunua bidhaa kariakoo, unazipeleka mbagala utakodi kirikuu. Ila mwenye kirikuu hatakupa risiti. How do you account for that transanction. Same kwa nyanya na nyama kama una hotel. au ukioanda dala dala kwenda kuchukua mzigo hupati risiti ya TRA.


Nini kifanyike.
1. Badala ya ku categorise wafanya biashara kwa volume ya mauzo hawa ndo wawe VAT register au la. Classification ifanywe kwa aina ya bidhaa. Kwa mfano bidhaa za kila siku ambazo zinauzwa kwa mangi maduka ya aina hiyo yasiwe VAT registered. Lakini bidhaa zingine zote bila kujali ukubwa wa biashara wawe VAT registered.

2. Mfumo wa EFD utoe uwezo wa kurekodi matumizi ya biashara. Ili jioni unapopeleka taarifa uingize na matumizi ya siku hiyo. Kwa mfano uweke manunuzi ya mzigo uliofanya siku hiyo, pamoja na matumizi mengi kama usafiri, vibarua etc.
3. Kodi ikokotolewe kutokana na hesabu za mfumo ulioboreshwa.
4. Kutoa elimu ya kutosha. Kuwe na mtihani kabisa, kabla mtu hajapata leseni ya biashara ihakikishwe kuwa amesoma nankuelewa mfumo wa kodi kulingana na aina ya biashara anayotaka kufanya. Elimu elimu elimu.
Tena kwa taarifa yako, mfanyabiashara mdogo bora aende tu akadiriwe kodi kutokana na mauzo atakayoyataja mwenyewe, lakini apeleke kitabu cha mauzo ni kiamaaa!!
 
Nina kibanda eneo fulani changamfu....leo nimeenda kukadiriwa TRA... Kibanda changu nalipia kodi 100,000 tra wananambia hiyo kodi haipo mtaa huo...kwaiyo nimekadiriwa kuwa kodi yangu ni 300,000 huku sio kweli....nalipa laki...kwahiyo kwa kipanda hicho napaswa kulipa mapato kwa mwaka 600,000 na kodi ya pango 360,000 jumla 960,000.... Kwanzia manager mpaka wasaidizi wake hawaja nielewa mpaka natoka pale..... Sasa hivi vilio tunapeleka kwa nani?
Pole sana
 
Rais Magufuli ameitaka TRA kuacha kuwabambikia kodi wafanyabiashara na badala yake watoe makadirio ya haki.

Rais Magufuli amesema tabia ya kubambika kodi inawafanya wafanyabiashara washindwe kulipa na kutafuta njia za kukwepa kabisa kulipa.
Rais Magufuli amesema baadhi ya watumishi wa TRA wamekuwa na tabia ya kutoa makadirio makubwa na baadae kuomba wapewe rushwa ili wayapunguze.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Na bado !
 




Ni matatizo ya pande mbili ukisikiliza hiyo clip kama wafanyabiashara wana michezo hiyo nchi za wenzetu asilimia kubwa ya hayo makosa aliyoorodhesha Sabaya sio ya fines za juu tu, jela inahusika na ukitoka ukisema uendelee na biashara elewa hesabu zako zinakuwa under close scrutiny ya HMRC (TRA wa UK) kwa miaka mitano mpaka ishirini.

Ni very serious offences wakati hapo kwenye huo mkutano wa Sabaya wafanyabiashara wanadhani ni maswala ya kucheka.
 
Uko sahihi. Simaanishi wafundishwe wawe wataalamu. Ila wafundishwe ili waone umuhimu wa kuwatumia wataalamu. Just wapate ABC kujua compliance ina hitaji nini na nini kwa juu juu.
Hili suala la kodi liingizwe ktk mitaala ya elimu kuanzia ngazi ya shule ya msingi liwe somo km masomo mengine. Kila mtu apate basic knowledge juu ya masuala ya kodi. Badala ya kuwepo clubs za kodi ambazo sion tija yk kwn hazilazimishi kujiunga nazo. Moja kati ya elimu muhimu na ioo applicable in our daily life ni kodi. Mfanyabiashara, mwekezaji, mjasiriamali na hata mwajiriwa anauhitaji wa elimu hii japo zile basics tu
 
Tena kwa taarifa yako, mfanyabiashara mdogo bora aende tu akadiriwe kodi kutokana na mauzo atakayoyataja mwenyewe, lakini apeleke kitabu cha mauzo ni kiamaaa!!
Ukiona hivyo basi ujue kuna mahali kitu hakijakaa sawa. Hasa kwenye mfumo wetu wa kodi.
 
Mi naona ris hayuko serious na hili kwani TRA hawashtuki hata kidogo badala yake wameendelea kutesa wafanyabiashara bila kujali kauri zake.

Baada ya kile kikao cha rais na wafanyabiashara nikajua Tra watabadirika lakini hakuna kilichofanyika.
Wanakuja na mbinu ya kuvunja record ya makusanyo ili kumpoza, nayeye anapozeka ,mchezo unaendelea.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mi naona ris hayuko serious na hili kwani TRA hawashtuki hata kidogo badala yake wameendelea kutesa wafanyabiashara bila kujali kauri zake.

Baada ya kile kikao cha rais na wafanyabiashara nikajua Tra watabadirika lakini hakuna kilichofanyika.
Wanakuja na mbinu ya kuvunja record ya makusanyo ili kumpoza, nayeye anapozeka ,mchezo unaendelea.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mkuu jitahidi matumizi ya R&L
 
Njaa inapotangulia mbele, hapo hakuna namna haki itatendeka. Ninachoogopa ni wao kukosa kabisa uoga kumaliza biashara za watu kwa kodi zisizolipika. That is extremely worrying trend.
Mpaka Rais anasema, anajua nini kinaendelea nyuma ya pazia. Tubadilike. Kuna wakati nahisi wataanza kushika hela za moto in bog numbers.
yeye ndiyo ana watuma wavuke malengo
 
Back
Top Bottom