Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Wala hata haishitui wala kushangaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri nini?Itabidi kusubiri hadi kikao kijacho cha bunge
Habari, utamaduni, sanaa na michezo!Waziri wa Michezo
Ahahhahahahahah afu ukiangalia vizuri Mbasha alinasa kwenye waya za SpikaMara hii au kwa kuwa aliandaa ile concert mchomvu alipompiga mtama mbasha
Nilitegema hii nafasi atapewa Hamisi Mwinjuma, Mwana FA. Kwakuwa kama kusoma kasoma, na alikuwa kwenye mfumo huo huko Basata na ni msanii piaHabari, utamaduni, sanaa na michezo!
Unafiki wake una faida kwa bank akaunti zake, sie waadalifu faida yake niniPolepole unafiki umemfikisha hapo
Teuzi za siku hizi ni "personal" zaidi.Kama walevi na wana propaganda wanapata kuna jipya hapo? Acha tule magimbi tukisubiri muujiza wa saruji kushuka bei.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1637284