Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Ulikuwa makin sana 😂😂😂Ahahhahahahahah afu ukiangalia vizuri Mbasha alinasa kwenye waya za Spika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa makin sana 😂😂😂Ahahhahahahahah afu ukiangalia vizuri Mbasha alinasa kwenye waya za Spika
Makonda huenda akachukua nafasi ya Polepole ndani ya chama cha makanjanja.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1637284
Mwana FA asubiri kidogo tutaanza na Babu Tale!Nilitegema hii nafasi atapewa Hamisi Mwinjuma, Mwana FA. Kwakuwa kama kusoma kasoma, na alikuwa kwenye mfumo huo huko Basata na ni msanii pia
😂😂😂😂😂 polepole mbunge😂😂😂Wala hata haishitui wala kushangaza.
Hivi wewe kabila gani?utakufa maskiniAliemteua alishinda uraisi?
Hajui siasa huyo mwana FA.Ubunge kapewa unamtosha.Nilitegema hii nafasi atapewa Hamisi Mwinjuma, Mwana FA. Kwakuwa kama kusoma kasoma, na alikuwa kwenye mfumo huo huko Basata na ni msanii pia
Na asipoapishwa gereji akina halima watauzunika sanaNatoa tu ushauri kutokana na heshima kubwa ambayo komredi Polepole amekijengea chama basi ni vema siku atakayoapishwa na Spika tukio hilo lifanyike ukumbi wa Pius Msekwa.
Hongera komredi Polepole kwa kuteuliwa kuwa mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Dah ndugu yangu Mayalla inabidi aendelee kusubiri, Pasco tuendelee kupambana tu huku mtandaoni huwezi jua.
Aisee, na mimi ngoja nianze kusifu na kuabudu maana sasa hivi ni mtaji tosha sema nimechelewa kwakweliHajui siasa huyo mwana FA.Ubunge kapewa unamtosha.
Babu Tale? Mbona nasikia elimu yake ni darasa la saba? Sijawahi kusikia kama kuna waziri mwenye kiwango chini ya degree.Mwana FA asubiri kidogo tutaanza na Babu Tale!