Rais Magufuli awateua Humphrey Polepole na Bi. Riziki Said Lulida kuwa wabunge wa Tanzania

Polepole waziri ajae. Tanzania kufanikiwa kisiasa ni rahisi sana. Yaani uwe mnafiki,.uwe CCM ,umsifie Magufuli at any cost. Utetee CCM at any cost.

Yaani ufanye propaganda zote kuwa Magufuli kafanya maajabu ya kuipaisha Tanzania ndani ya miaka mitano. Hongera Polepole.
 
Teuzi za siku hizi ni "personal" zaidi.Kama walevi na wana propaganda wanapata kuna jipya hapo? Acha tule magimbi tukisubiri muujiza wa saruji kushuka bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…