Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Kweli nimejichanganyaNape hakuwa mbunge kipindi cha Kikwete, rejea vizuri kumbukumbu zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nimejichanganyaNape hakuwa mbunge kipindi cha Kikwete, rejea vizuri kumbukumbu zako
Kweli nimejichanganya
Huyu hafai 😂Makonda huenda akapewa uenezi
Kama ni msukuma unashangaa niniHuenda akapewa uwaziri huyu
Magufuli anatengeneza team bungeni ya kubadili katiba ili kuondoa ukomo. Pole pole anayajua sana kujenga hoja. Tuweke uongo pembeni.
Mara hii au kwa kuwa aliandaa ile concert mchomvu alipompiga mtama mbasha
Anajua kujenga hoja kwa wasikilizaji malofa lkn ukiwa na akili timamu unamuona anapiga makelele tu.Magufuli anatengeneza team bungeni ya kubadili katiba ili kuondoa ukomo. Pole pole anayajua sana kujenga hoja. Tuweke uongo pembeni.
Sasa malofa ndo majority. Na hapo ndo wanafanikiwa.Anajua kujenga hoja kwa wasikilizaji malofa lkn ukiwa na akili timamu unamuona anapiga makelele tu.
Polepole atakuwa waziri
Hivi katibu muenezi wa chama na kuwa mbunge, nani anakuwa na cheo kikubwa?Sawa mkuu, lakini pia hii CCM ya Magufuli ilipitisha sheria mpya ya mtu mmoja kofia moja kwahiyo nafasi hiyo inakuwa wazi automatically
Wadau taratibu zipi wadau?Akina mdee na wenzake waliapishwa kea mujibu wa taratibu na Sheria zipi?View attachment 1637307
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1637284