damper
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 773
- 835
Nyumbu hizi alama !!?? mtakuwa nazo kwa miaka mitano tena.Aliemteua alishinda uraisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbu hizi alama !!?? mtakuwa nazo kwa miaka mitano tena.Aliemteua alishinda uraisi?
Natoa tu ushauri kutokana na heshima kubwa ambayo komredi Polepole amekijengea chama basi ni vema siku atakayoapishwa na Spika tukio hilo lifanyike ukumbi wa Pius Msekwa.
Hongera komredi Polepole kwa kuteuliwa kuwa mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Wonder shall not endSafi sana, ndo wadau wa maendeleo waone demokrasia yetu ilibyopevuka. Yaani katibu mwenezi anakuwa mbunge wa kuteuliwa nafasi maalum za Rais zinazohtaji wataalamu.
Polepole waziri ajae. Tanzania kufanikiwa kisiasa ni rahisi sana. Yaani uwe mnafiki,uwe CCM ,umsifie Magufuli at any cost. Utetee CCM at any cost. Yaani ufanye propaganda zote kuwa Magufuli kafanya maajabu ya kuipaisha Tanzania ndani ya miaka mitano.Hongera Polepole.
Huyo riziki lulida,nani anamjua,atupe maelezo yake?View attachment 1637307
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1637284
mi huwa najiuliza watu kwanini wanamuhusudu bashite yani yule jamaa akiludishwa kelele zitaanza upyaaa na mzee hataki kuchafuka bashite ni mzigo kwanza vyeti vyake havijanyookaMakonda habari yake imeisha. Hana chake.
mzee aliwai kupumzika hapoHuyo riziki lulida,nani anamjua,atupe maelezo yake?
Alikuwa anajua kujenga hoja zamani, sasa hivi anachofanya ni uzandiki tu. Ukishakuwa biased huwezi kujenga hoja, maana utakuwa hutumii logic. Akitolewa kwenye ulaji ataweza kujenga hoja. Huwezi kujenga hoja huku chama chako 50%+ imetangazwa washindi kwa hila.Magufuli anatengeneza team bungeni ya kubadili katiba ili kuondoa ukomo. Pole pole anayajua sana kujenga hoja. Tuweke uongo pembeni.
Vipi elimu yake?mzee aliwai kupumzika hapo
kwani unazani polepole hajasoma we jamaa vpSafi sana, ndo wadau wa maendeleo waone demokrasia yetu ilibyopevuka. Yaani katibu mwenezi anakuwa mbunge wa kuteuliwa nafasi maalum za Rais zinazohtaji wataalamu.
Sasa anajenga hoja kutetea huu upande alipo. Majority wanamkubali.Alikuwa anajua kujenga hoja zamani, sasa hivi anachofanya ni uzandiki tu. Ukishakuwa biased huwezi kujenga hoja, maana utakuwa hutumii logic. Akitolewa kwenye ulaji ataweza kujenga hoja. Huwezi kujenga hoja huku chama chako 50%+ imetangazwa washindi kwa hila.
Mimi naipenda kazi yangu. Ningetaka uteuzi,ningeshateuliwa long time. Maana i know the rules of this game.
elimu haiitajiki kuwa mbunge cha muhim ujue kusoma na kuandika kama kibajajiVipi elimu yake?
Nimekutapeli nini ?Mimi nikitaka kitu huwa sishindwi. Ningetaka uteuzi kutoka kwa Magufuli ningeshaupa tokea 2015.Huna lolote, tapeli tu.
Kweli kabisa hakuna unachoshindwa!Nimekutapeli nini ?Mimi nikitaka kitu huwa sishindwi. Ningetaka uteuzi kutoka kwa Magufuli ningeshaupa tokea 2015.
Sio kweli,alikuwa mbunge wa wapi?Anaweza kuendelea kuishikilia kwani umesahau Nape alikuwa katibu muenezi na bado alikuwa mbunge kipindi cha kikwete