Rais Magufuli awateua Humphrey Polepole na Bi. Riziki Said Lulida kuwa wabunge wa Tanzania

Rais Magufuli awateua Humphrey Polepole na Bi. Riziki Said Lulida kuwa wabunge wa Tanzania

Maskini, sa inakuwaje wale viherehere wa humu? Kama Pascal namhurumia sana aisee!
 
Kujenga hoja ni pale kunapokuwa na logic watu washawishike. Ukiona unajenga hoja kutetea dhuluma na uzandiki, hiyo sio kujenga hoja bali ni kuhubiri ghiliba. Unapimaje ujengaji hoja huku chama kikitumia nguvu ya madaraka ya urais kutangazwa washindi? Toka Polepole amekuwa kwenye nafsi hiyo chini ya Magufuli, ni uchaguzi upi umeemdeshwa kihalali useme ushindi wao ni wa ushawishi wa hoja? Ama unatuona tuna uwezo mdogo wa kupima mambo?

Mkuu unaelewa nini mtu akisema Ndugu Polepole ni mjengaji mzuri wa hoja? Sitaki kukupinga ila tu nikuambie ukitaka kuuona ujengaji hoja wa mtu yeyote achilia mbali Polepole jiweke neutral.

Ukiwa na upande wa kuegemea tu hutoweza hata kumkosoa mfuasi wako mwenyewe.
 
View attachment 1637307

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

View attachment 1637284
Huyu anachukua nafasi ya mwakyembe
 
Mara paapi, kila mwezi 12m, 50m ya gari papo hapo, maposho kila kikao na maposho ya safari! Kudadeki...
Kweli bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi...
 
View attachment 1637307

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

View attachment 1637284
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hawa sijui wataapishiwa wapi au watafanya kama wale covid19
 
View attachment 1637307

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

View attachment 1637284
Wazir wa habar,sanaa na mchezo huyooo .
 
Nilisimamia na Nilahakikisha wasimimizi wa uchaguzi na wasaidiz wao wanaingia na vibegi siku ya kupiga kura

Hiyo ndio njia niliyotumia
Aha sawa polepole nipigie basi namimi chapuo kwa mwenyekiti wetu wachama
 
Kwa vigezo vipi labda, kama ni kwa kujipendekeza hapo sawa. Lakini kama ni kujipendekeza mstari nao ni mrefu sana, maana mpaka Paskali Mayalla yuko kwenye mstari, unapataje ww kwa mfano?
Nikuambie tu,ninamfahamu Magufuli tangia akiwa nobody,nimesoma,uwezo ninao. Sema mimi sio mwanasiasa. Na kwenye eneo langu la kazi mimi ndo Chief wa service. Iam happy where iam.Ningetaka vyeo vya kisiasa ningeshapata longtime.
 
Back
Top Bottom