Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujenga hoja ni pale kunapokuwa na logic watu washawishike. Ukiona unajenga hoja kutetea dhuluma na uzandiki, hiyo sio kujenga hoja bali ni kuhubiri ghiliba. Unapimaje ujengaji hoja huku chama kikitumia nguvu ya madaraka ya urais kutangazwa washindi? Toka Polepole amekuwa kwenye nafsi hiyo chini ya Magufuli, ni uchaguzi upi umeemdeshwa kihalali useme ushindi wao ni wa ushawishi wa hoja? Ama unatuona tuna uwezo mdogo wa kupima mambo?
Huyu anachukua nafasi ya mwakyembeView attachment 1637307
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1637284
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 1637307
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1637284
Jafo na polepole wana future kubwa sana ktk siasa ya tz....kati yao kuna mmoja anaweza fika nafasi za juu kabisa za uongozi wa nchi hii...rais au waziri mkuu..Hivi nani aliye mchorea ramani ya kisiasa Mr polepole? Kama masikhara anazidi kupasua anga kisiasa. Jafo akae mguu sawa.
Wazir wa habar,sanaa na mchezo huyooo .View attachment 1637307
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Humphrey Polepole ni Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bi. Riziki Said Lulida kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge Wateule hao wataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1637284
Polepole atakuwa waziri
Aha sawa polepole nipigie basi namimi chapuo kwa mwenyekiti wetu wachamaNilisimamia na Nilahakikisha wasimimizi wa uchaguzi na wasaidiz wao wanaingia na vibegi siku ya kupiga kura
Hiyo ndio njia niliyotumia
barafuyamotoJafo na polepole wana future kubwa sana ktk siasa ya tz....kati yao kuna mmoja anaweza fika nafasi za juu kabisa za uongozi wa nchi hii...
Mark my words!
Nikuambie tu,ninamfahamu Magufuli tangia akiwa nobody,nimesoma,uwezo ninao. Sema mimi sio mwanasiasa. Na kwenye eneo langu la kazi mimi ndo Chief wa service. Iam happy where iam.Ningetaka vyeo vya kisiasa ningeshapata longtime.Kwa vigezo vipi labda, kama ni kwa kujipendekeza hapo sawa. Lakini kama ni kujipendekeza mstari nao ni mrefu sana, maana mpaka Paskali Mayalla yuko kwenye mstari, unapataje ww kwa mfano?
Aman ya MOYO...unafikiri kuishi kinafiki NI kazi ndogo?pesa utapata,but hautakuwa na AMANI..NI KAMA PESA YA KUUA MTOTOUnafiki wake una faida kwa bank akaunti zake, sie waadalifu faida yake nini
Majaliwa mmeshamtosa?Jafo na polepole wana future kubwa sana ktk siasa ya tz....kati yao kuna mmoja anaweza fika nafasi za juu kabisa za uongozi wa nchi hii...
Mark my words!
Si ni waziri mkuu tena? Au ulikua unatakaje?Majaliwa mmeshamtosa?