Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Mimi nafikiri mzee wa ‘Nnji’ hii, kwa lile beberu alilotoa pale Himo, apewe nafasi kwenye hivi ‘viti maalumu pia’!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nathubutu kusema, polepole anafaa kuandaliwa kuwa rais wa nchi hii au waziri mkuu..
Hutaki acha! Safari ya kumuandaa kuelekea huko imeanza
Naomba kufahamishwa zaidi juu ya Bi Riziki Said. Je aweza kuwa anaenda kutwaa nafasi ya Umi?
Na huyo Mama si alikuwa Mbunge Viti Maalum CUF 2015-2020 kumbe aliunga juhudi kimya kimya?
It's obvious! Kina Mondi watapata kijana mwenzao...Huenda akapewa uwaziri huyu
Wengi wa kutoka kule watafuata hata Pascal Mayalla (Njaa kwisha) safari hii hatakosa kwa kuunga mkono juhudi miaka 5 iliyopita. Mimi niliunga mkono juhudi ni wa huku sina changu!Yes, kakisaidia chama na kwa kuwa huu ndiyo muhula wa mwisho wa kwa Rais inabidi apewe shavu - si yeye tu kwa uzoefu wengine watafuata
Haziwatoshi wale 18Zimebaki nafasi 8 za uteuzi wa Wabunge.
Kwa nini?Nilitegema hii nafasi atapewa Hamisi Mwinjuma, Mwana FA. Kwakuwa kama kusoma kasoma, na alikuwa kwenye mfumo huo huko Basata na ni msanii pia
comment yangu imeambatana na sababu
Kwani yeye anateua wa vyeo vya kisiasa tu? Wakuu wa taasisi zote za kimamlaka ni wanasiasa?Nikuambie tu,ninamfahamu Magufuli tangia akiwa nobody,nimesoma,uwezo ninao. Sema mimi sio mwanasiasa. Na kwenye eneo langu la kazi mimi ndo Chief wa service. Iam happy where iam.Ningetaka vyeo vya kisiasa ningeshapata longtime.
Nilitegemea bashiru nae atakuwepo, labda bashiru mwenyewe hataki ila nae kafanya kazi kubwa sana mwaka huuYes, kakisaidia chama na kwa kuwa huu ndiyo muhula wa mwisho wa kwa Rais inabidi apewe shavu - si yeye tu kwa uzoefu wengine watafuata
Acha maskhara mkuu, ummy anarudi kwenye kitu chake cha enzi pale pale wizara ya afya.Naomba kufahamishwa zaidi juu ya Bi Riziki Said. Je aweza kuwa anaenda kutwaa nafasi ya Umi?
Mkuu unaelewa nini mtu akisema Ndugu Polepole ni mjengaji mzuri wa hoja? Sitaki kukupinga ila tu nikuambie ukitaka kuuona ujengaji hoja wa mtu yeyote achilia mbali Polepole jiweke neutral.
Ukiwa na upande wa kuegemea tu hutoweza hata kumkosoa mfuasi wako mwenyewe.
Ya kupanga wizi wa kura? Unafanya kazi kubwa kisha 2/3 ya wapiga kura hawajitokezi, au ndio mambo ya kuvikana vilemba vya ukoka?Nilitegemea bashiru nae atakuwepo, labda bashiru mwenyewe hataki ila nae kafanya kazi kubwa sana mwaka huu
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Naona baada ya Mchomvu "kulinda brandi" jukwaani Jamaa akaamua kusimamia show zote zilizobaki mwenyewe.Mara hii au kwa kuwa aliandaa ile concert mchomvu alipompiga mtama mbasha