Rais Magufuli awateua Humphrey Polepole na Bi. Riziki Said Lulida kuwa wabunge wa Tanzania

Labda Polepole atapewa uwaziri alafu ule ukatibu Uenezi na Itikadi atapewa Makonda
 
Uteuzi ujao itakuwa ni kina halima mdee kuwa naibu waziri
 
Huyu ni Waziri wa mambo ya ndani au mambo ya nje au waziri wa ulinzi ajae.
 
Sawa mkuu, lakini pia hii CCM ya Magufuli ilipitisha sheria mpya ya mtu mmoja kofia moja kwahiyo nafasi hiyo inakuwa wazi automatically
Hivi katibu muenezi wa chama na kuwa mbunge, nani anakuwa na cheo kikubwa?
 
Ataapishwa kama akina mhe Halima mdee.Hoja ya kuapisha gereji itakua imekufa
 
Wadau taratibu zipi wadau?Akina mdee na wenzake waliapishwa kea mujibu wa taratibu na Sheria zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…