Rais Magufuli awatumbua Kitila Mkumbo, Ole Sendeka na Katambi, awateua Jumanne Fhika, Dr. Aloyce Nzuki, Allan Kijazi, Josephat Paulo, Kemikimba

Hizi Ni dharau kwa mwenyekiti wao, kwamba pamoja na angalizo alilolitoa bado wanamuona si lolote si chochote.

Ngoja tuone Kama Mwenyekiti wao atawalamba miguu kwa kuruhusu uteuzi wao, maana alishawapiga ban wasithubutu
Hapana, siyo dharau. Angalau sasa naanza kuona kitu hapa, nilikuwa kabisa sielewi nini kinaendelea. Ni haya maswala ya watu wataalamu wa kufikiria, believe me!
 
Mimi naona mwenyekiti na yeye wangemzuia kugombea mimi naisi asingefika hapo alipo hii ni kuzuia demokrasia
Siwezi kushangaa, kampeni zake 2015 alisema kwny serikali yake mtu akiharibu sehemu moja kamwe hatahamishiwa sehemu nyingine atamfukuza tu.

Lakini tumeona kwa Mwigulu, Simbachawene, Kamishina Andengenye aliwaponda balaa wkt wa kuwatumbua ila baadae akawarudisha serikalini na kuwapa vyeo huku akisema ni wazalendo haswaa.
 
Nikukua sijui kwamba wewe ni katambi
 
Hahahaha, Mh Rais MTU wa huruma, ukiomba msamaha unasamehewa na kupewa shavu jingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point.. aliteua makada akidhani watamramba miguu
 
Kijazi wa TANAPA ameteuliwa kua Naibu katibu Wizara ya Mali asili huku akiendelea pia na u-boss wake pale PANAPA.

Hao ndio wenye nchi sasa,wanyonge walie na umaskini wao tu.
Hahahaha
Hivi Hawa akina Kijazi wako wangapi huko serikalini ?
Tanapa
Ikulu
Hali ya hewa
Kote huko nadhani kuna Kijazi au nachanganya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo Magufuli huwezi pimana naye ubavu.. ni mtata balaa.
 
Ukitumia akili vizuri, ubunge miaka 5 tu unatosha kutoka kimaisha. Mambo mengine ni stress tupu ndiyo maana watu wanaona isiwe tabu.
 
Magufuli amefanya madudu mengi yanayosababisha wengi tumpinge ili awe bora na akishindwa kujirekebisha aondoke au aondolewe. Lakini kwa hili namuunga mkono. Watu wamefanya Ubunge kama uenyekiti wa VICOBA!!!
 
Picha ndio kwanza linaaanza. Yani hii ni vita ya ndani kwa ndani kwanza kabla ya kwenda kushindana na upinzani. Mungu awasaidie wote na wakishindwa wasirudishwe na wasipewe vyeo tena hawana nidhamu kukiuka amri ya mheshimiwa Rais.
 
Hahahaha
Hivi Hawa akina Kijazi wako wangapi huko serikalini ?
Tanapa
Ikulu
Hali ya hewa
Kote huko nadhani kuna Kijazi au nachanganya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah Agness, Balozi, TANAPA ni kula maisha tu mzee baba.

Hao sasa wakisema tuko uchumi wa kati unawaelewa vizuri ila wale ndugu zangu dizaini za kina Le Mutuz nawaonea huruma tu hahah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…