Rais Magufuli awatumbua Kitila Mkumbo, Ole Sendeka na Katambi, awateua Jumanne Fhika, Dr. Aloyce Nzuki, Allan Kijazi, Josephat Paulo, Kemikimba

Rais Magufuli awatumbua Kitila Mkumbo, Ole Sendeka na Katambi, awateua Jumanne Fhika, Dr. Aloyce Nzuki, Allan Kijazi, Josephat Paulo, Kemikimba

kiongozi wa serikali hatakiwi kujihusisha na siasa hujui hilo? Akishajitosa siasa anapoteza uhalali wa kuwa ofisi ya serikali .Chukulia hao wangekuwa ni Chadema au CUF wameenda kutia nia CHadema au CUF wakiwa wafanyakazi wa serikali si watu wangepiga kelele kuwa waondoke kwenye nafasi zao

Nchi hii ajira hamna sasa mtu aridhike na alipo au aachie wengine sio huku anataka na huku alikotaka anataka huo ni ulafi
Nafasi za kisiasa JK alikuwa anaacha watu mikoa au wilaya zinakaa wazi hata mwaka mzima, usitufanye hatujui
 
Hizo nafasi hazina uhakika, ubunge ni uhakika miaka 5
Sasa kama hata hizo kura za maoni zenyewe hazitoshi tu kuwa mgombea,, hadi itegemee tena na yeye ameamkaje!! Kuna nini hapo?!! Kama amewakata kwa kukusudia, hata huko walikokwenda hawatapita kamwe!!!
 
Hapa ndo naamini huyu bwana hao watu wote amewatuma..kinachofanyika hapa ni usanii wa kisiasa na amewatuma hao vijana wagombee ili wamsaidie kupindua katiba.
 
Prof. Kitila mkumbo ametia Nia wapi?? Mbona sijapata habari zake!
Au ndio imetosha wanakuja wenye ccm Yao.
 
Prof. Kitila mkumbo ametia Nia wapi?? Mbona sijapata habari zake!
Au ndio imetosha wanakuja wenye ccm Yao.
Kitila Mkumbo anaweza kuongea tu,kufanya vitu hawezi, nakumbuka kabla hajachaguliwa alikuwa anakosoa sana serikali,baada ya kuteuliwa hakuonyesha jipya lolote.
 
Ni matumizi tu mabaya ya kodi zetu. Badala ya kuteua Wataalamu, unawateua Wanasiasa wenzako! Unategemea nini muda wa kufanya hiyo siasa utakapofika/utakapowadia? Ni lazima tu wakukimbie ili wakatafute malisho ya uhakika.

Na tutamshangaa sana Rais iwapo atawateua tena watu wa aina hii iwapo watashindwa kwenye mchakato wa kura za maoni ndani ya chama au hata kushindwa kabisa kwenye huo uchaguzi mkuu ujao.

Vyeo vya shukrani vinaachwa Sasa arudie Tena makosa yake kuwateuwa wanasiasa.
 
Magufuli aache watu wawe huru kufanya watakalo muhimu wasimuharibie kazi, huwezi kumfungia mtu ndani kama mbuzi, sio siku zote mtu afanye unalotaka wewe tu, huu nao ni udikteta.

Kwa muendelezo huu ataendelea kuteua wapya kila siku, vyema ajifunze kuheshimu taratibu alizozikuta, asitake kubadilisha kila kitu.
Kwani amewazuia kufanya nini!!

Nyie si ndiyo mnaolalamikia ajila!!

Ana kazi aache navwengine wapate kazi. Ameacha kazi wengine wanapewa kazi. Kosa la Magu likobwapi hapo
 
Hizi Ni dharau kwa mwenyekiti wao, kwamba pamoja na angalizo alilolitoa bado wanamuona si lolote si chochote.

Ngoja tuone Kama Mwenyekiti wao atawalamba miguu kwa kuruhusu uteuzi wao, maana alishawapiga ban wasithubutu


Kajifunze siasa, Hasa za ccm! Ccm nichama kikongwe africa, hasa baada ya jpm kuwa mwenyekiti wao.

Ukitaka kuamini hilo , angalia kiasi cha fedha kilichoingizwa ktk chama na watia nia. Zaidi ya 890ml.

Hizo pesa za form zinatosha kuperekesha upinzani pakubwa sana.

Hao unaodai wametumbuliwa, nakwamba wamemdharau mwenyekiti wao!! Ndio namba ambayo wapinzani watakuja kuisoma hapo baadae! Mdao huo mnabadilisha mziki na wachezaji hawapo.🙆‍♂️
 
Enzi za Mwalimu, ilikuwa ukitaka kuingia kwenye siasa, unajiuzulu (mwenyewe) kwanza kwenye kazi yako


Wewe umeona mbali kaka👍 ila hawa wanaopuyanga eti wametumbuliwa waache waje waisome namba.

Wangejipeleka wenyewe ungesikia wamejihudhuru nafasi zao.

Nimegundua watanzania wengi hatuijui siasa bali ni mashabiki tu.
 
Back
Top Bottom