Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
Hii ni dharau kwa Mwenyekiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hao ndio wtz mkuuHahahaha
Hivi Hawa akina Kijazi wako wangapi huko serikalini ?
Tanapa
Ikulu
Hali ya hewa
Kote huko nadhani kuna Kijazi au nachanganya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafasi za kisiasa JK alikuwa anaacha watu mikoa au wilaya zinakaa wazi hata mwaka mzima, usitufanye hatujuikiongozi wa serikali hatakiwi kujihusisha na siasa hujui hilo? Akishajitosa siasa anapoteza uhalali wa kuwa ofisi ya serikali .Chukulia hao wangekuwa ni Chadema au CUF wameenda kutia nia CHadema au CUF wakiwa wafanyakazi wa serikali si watu wangepiga kelele kuwa waondoke kwenye nafasi zao
Nchi hii ajira hamna sasa mtu aridhike na alipo au aachie wengine sio huku anataka na huku alikotaka anataka huo ni ulafi
Sasa kama hata hizo kura za maoni zenyewe hazitoshi tu kuwa mgombea,, hadi itegemee tena na yeye ameamkaje!! Kuna nini hapo?!! Kama amewakata kwa kukusudia, hata huko walikokwenda hawatapita kamwe!!!Hizo nafasi hazina uhakika, ubunge ni uhakika miaka 5
Wataenda upinzaniSasa kama hata hizo kura za maoni zenyewe hazitoshi tu kuwa mgombea,, hadi itegemee tena na yeye ameamkaje!! Kuna nini hapo?!! Kama amewakata kwa kukusudia, hata huko walikokwenda hawatapita kamwe!!!
Kitila Mkumbo anaweza kuongea tu,kufanya vitu hawezi, nakumbuka kabla hajachaguliwa alikuwa anakosoa sana serikali,baada ya kuteuliwa hakuonyesha jipya lolote.Prof. Kitila mkumbo ametia Nia wapi?? Mbona sijapata habari zake!
Au ndio imetosha wanakuja wenye ccm Yao.
Ni matumizi tu mabaya ya kodi zetu. Badala ya kuteua Wataalamu, unawateua Wanasiasa wenzako! Unategemea nini muda wa kufanya hiyo siasa utakapofika/utakapowadia? Ni lazima tu wakukimbie ili wakatafute malisho ya uhakika.
Na tutamshangaa sana Rais iwapo atawateua tena watu wa aina hii iwapo watashindwa kwenye mchakato wa kura za maoni ndani ya chama au hata kushindwa kabisa kwenye huo uchaguzi mkuu ujao.
Jini limeota mapembe, sasa linakula kwenye zizi la nyumbaniMimi naona mwenyekiti na yeye wangemzuia kugombea mimi naisi asingefika hapo alipo hii ni kuzuia demokrasia.
Prof. Kitila mkumbo ametia Nia wapi?? Mbona sijapata habari zake!
Au ndio imetosha wanakuja wenye ccm Yao.
Kwani amewazuia kufanya nini!!Magufuli aache watu wawe huru kufanya watakalo muhimu wasimuharibie kazi, huwezi kumfungia mtu ndani kama mbuzi, sio siku zote mtu afanye unalotaka wewe tu, huu nao ni udikteta.
Kwa muendelezo huu ataendelea kuteua wapya kila siku, vyema ajifunze kuheshimu taratibu alizozikuta, asitake kubadilisha kila kitu.
UbungoProf. Kitila mkumbo ametia Nia wapi?? Mbona sijapata habari zake!
Au ndio imetosha wanakuja wenye ccm Yao.
Ubungo boss.Prof. Kitila mkumbo ametia Nia wapi?? Mbona sijapata habari zake!
Au ndio imetosha wanakuja wenye ccm Yao.
Mkuu kati ya hao mimi pia nimemshangaa huyu katambi, vijana wana papara sana mwisho watajiharibia kbs ndoto zao kisiasaKatambi kapata Ubosi kiulaini kabisa.
Anatafuta nini tena ?
Au ndio hao waliozaliwa mwaka 1982 ?
Enzi za Mwalimu, ilikuwa ukitaka kuingia kwenye siasa, unajiuzulu (mwenyewe) kwanza kwenye kazi yakoVijana waoumbavu hawa.. enzi za mwalimu wangelambwa viboko
Hizi Ni dharau kwa mwenyekiti wao, kwamba pamoja na angalizo alilolitoa bado wanamuona si lolote si chochote.
Ngoja tuone Kama Mwenyekiti wao atawalamba miguu kwa kuruhusu uteuzi wao, maana alishawapiga ban wasithubutu
Enzi za Mwalimu, ilikuwa ukitaka kuingia kwenye siasa, unajiuzulu (mwenyewe) kwanza kwenye kazi yako
Huyo Mwenyekiti si na yeye angeridhika na uwaziri aliokuwa nao? Kwa nini alitafuta cheo cha juu na akakipata? Acha watu watimize ambitions zao!Kwa mawazo yangu wapo watakaoshindwa na atakuja kuwapa tena vyeo mbeleni