Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Kwa mimi sioni cha ajabu hapo na hakuna utumbuaji wowote uliofanyika ni taratibu na kanuni zinafuatwa. Ukishatia nia kuutaka uongozi kwenye mhimili mwingine tofauti na uliokuwepo automatically unakuwa umeuacha uongozi ulionao kwenye mhimili wa kwanza hasa kwenye serikali. Hivyo lazima Rais ateue mwingine ili shughuli za serikali ziendelee kama kawaida kwa kuwa zenyewe huwa hazisimami.
Lakini pia ni kwa faida ya wagombea wengine ili kuwe na usawa wa kuzitafuta kura, isijetokea mtu akatumia madaraka ya ukuu wa mkoa, wilaya, ukurugenzi na vyeo vingine kujinufaisha kisiasa na kuwaamulia wananchi.
Ieleweke tu kwamba hakuna utumbuaji unaoendelea.
Lakini pia ni kwa faida ya wagombea wengine ili kuwe na usawa wa kuzitafuta kura, isijetokea mtu akatumia madaraka ya ukuu wa mkoa, wilaya, ukurugenzi na vyeo vingine kujinufaisha kisiasa na kuwaamulia wananchi.
Ieleweke tu kwamba hakuna utumbuaji unaoendelea.