Awafunguwe waislamu magerezani walibambikiziwa makesi ya kigaidiRais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anasambaza Upendo Kwa Watu Wote
Waliomchagua Ni Wote!!!
Sawa Sawa UstadhAwafunguwe waislamu magerezani walibambikiziwa makesi ya kigaidi
Kama Magufuli alifanya vile kwa upendo, Kwa nini wakati wa ujenzi wa lile kanisa hakwenda msikitini kuomba waislamu wachangie ujenzi wa hilo kanisa?Bro, naheshimu maoni yako. Lakni naona waislam wengi wanaweka dini mbele sana bila utu, ubinadamu, na nchi.
Hebu kwa criterions alizotumia huyu mtoa mada, je Diamond anafaa kutoa pesa za msikiti?
Kuna watu wanagapi pes wanazo haramu wamejenga misikiti na makanisa.
Kosa la raisi hapa ni lipi? Unajua muda mwingine ni bora kuwa na watu wachache kuliko wengi wajinga. Kudos to you my brethren brother.
Kampeni kabla ya wakatiKama Magufuli alifanya vile kwa upendo, Kwa nini wakati wa ujenzi wa lile kanisa hakwenda msikitini kuomba waislamu wachangie ujenzi wa hilo kanisa?
Anatafuta ushawishi wa kisiasa kupitia mgongo wa dini!Kampeni kabla ya wakati
Mimi sijasoma piaShemeji umesoma hilo andishi unipe summary?
Nahisi naanza kumwiga mdogo wako style ya kuandika.
Msingi wa medai ni kwamba huwezi changisha pesa za kujenga msikiti ukiwa kanisani. Ni haramu. Labda kwa mashekhe kama kuna al ahd yule shekh mpuuzi wa Mkoa wa dar ambaye anaweza kula hata nguruwe kumlidhisha NYAPARAInawezekana ni kweli sijaelewa aisee [emoji3][emoji3]
Sasa Naomba nisaidie kuelewa kwa kifupi hoja ya za msingi ni zipi ?
Je mleta mada msingi wa madai yake ni nini?
[emoji23] [emoji23]Nahisi siku akikutanishwa na Lissu anaweza akatimua mbio aisee! Maana hataamini kama ni Lissu yule yule aliyeshambuliwa kule Dodoma mchana kweupe wakati ule, au ni mzimu.
[emoji23] [emoji23]akimuona mtu yoyote anachechemea anapata mshtuko sana.
sijui kwa nini hata.
Kama kawaida yako siasa ndio kila kitu...nadhani tunazunguka-zunguka bila kwenda kwenye MSINGI/KIINI cha tatizo.
..mimi nadhani Jpm ni mwanasiasa asiye na hoja na haiba ya uongozi, hivyo amekuwa akitumia makanisa na misikiti kufanya siasa...
Kama kawaida yako siasa ndio kila kitu.
Unamsaidia vipi Alhaj ambaye anafanya kazi na Rais lakini ikifika ijumaa hana nyumba ya Ibada?.
Aendelee kuteseka kisa Rais akianzisha mchango wa msikiti kanisani itaonekana ni siasa?
Rais anampa Peter Tino tshs milioni tano anachangia ujenzi wa vyoo vya shule, atashindwa vipi kuchangia ujenzi wa msikiti?.
Kutangaza sadaka ya kumsaidia mtu mwingine ni kujipendekeza na kutafuta umaarufu kupitia shida za watu.UFAFANUZI KUHUSU MCHANGO WA FEDHA ULIOCHANGISHWA NA MH. RAIS KANISANI KWA AJILI YA UPANUZI WA MSIKITI.
MIMI NI MUISLAAM, NINAYEIFAHAMU DINI YANGU VIZURI KIASI KWA KUKAA DARASANI KUISOMA...
kuna wizi gani hapo ila tundu angechangisha hiyo ni sawa acheni jamani, mnyonge mnyongeni haki yake mpeniWewe CCM acha kutetea Majizi na Mafisadi nguli huko
Enzi za Mwalimu ni tofauti na za sasa. Kila mtu anayo hulka yenye kumtofautisha na mwingine...bwana mkubwa anatumia dini kama kichaka cha kufanya siasa.
..mbona Mwalimu Nyerere aliwapatia Waislamu wa Butiama msaada wa Msikiti lakini hatukumsikia akijitangaza kila mahali?
..yeye kila akisali anataka atangazwe.
Enzi za Mwalimu ni tofauti na za sasa. Kila mtu anayo hulka yenye kumtofautisha na mwingine.
Kwa mm mjinga kama wewe lisu ni nguli wa sheria. Sijawahi kumwona mbunge taahira kama lisu tangu bunge la enzi ya mkapa.Lissu ni Mwanaharakati makini, Ni Mwanasheria Nguli, ni Wakili Msomi, alikuwa ni Mbunge Machachari, Ni kiumbe jasiri! Hastahili kupaishwa na mtu yoyote yule! Anajipaisha mwenyewe.
Bwana Mkubwa ni rais wa nchi anaweza akaongea popote anapoona inafaa kwake kuongea...kila chama wakiamua kumuiga bwana mkubwa na kufanya siasa kwenye nyumba za ibada tutakuwa salama kweli?.
Bwana Mkubwa ni rais wa nchi anaweza akaongea popote anapoona inafaa kwake kuongea.
Anaweza akatoa agizo lolote hata akiwa ndani ya Bar au nyumbani kwa mtu yoyote.
Kama Magufuli alifanya vile kwa upendo, Kwa nini wakati wa ujenzi wa lile kanisa hakwenda msikitini kuomba waislamu wachangie ujenzi wa hilo kanisa?