Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Tulia tuwasikilize tuliowachangia. Kukusanya fedha kwa jambo jema kama kujenga msikiti ni heshima kubwa. Kila siku tunachangishana masherehe, ndoa, kula na kunywa pamoja kwa nini isiwe sehemu za kumuabudu Mungu?
 
MAKAFIRI wana riho nzuri sana , Mungu wao anaelekeza upendo kwa wengine na kutowaita wengine majina ya ajabu kama "kafiri" "najisi" "mfumo kyiiristu"
hawana makuu, wanasaidia upande wa pili ambao ni "wapagani"
 
Tulia tuwasikilize tuliowachangia. Kukusanya fedha kwa jambo jema kama kujenga msikiti ni heshima kubwa. Kila siku tunachangishana masherehe, ndoa, kula na kunywa pamoja kwa nini isiwe sehemu za kumuabudu Mungu?
tumekula fedha za makafiri, dah, najisi
 
Lissu ni Mwanaharakati makini, Ni Mwanasheria Nguli, ni Wakili Msomi, alikuwa ni Mbunge Machachari, Ni kiumbe jasiri! Hastahili kupaishwa na mtu yoyote yule! Anajipaisha mwenyewe.
Kwa mawazo yako mwajiri wewe Watanzania wengi hawawezi hata kumpa kazi ya kufagia, kajamaa kajinga sana wacha kaendelee kupumuliwa kisogoni. Ubunge wake umewasaidia nini wale waliomchagua? Analilia huruma tu huyo tumemzoea.
 
Mambo ya 2011 yanaingiaje hapa?halafu usimfananishe mbowe (dj) na Rais umekosea
Kwahiyo waislma wa 2011 walikuwa halali kukataa pesa zilizochangwa na waislam wenzao kisa tu aliyeongoza ni mbowe na waislam wa 2020 mnakubali pesa za wakristo (makafir kama mnavyowaita, huku zingine zikiwa zimepatikana kwa kuuza kitimoto) kisa tu zimechangishwa na Rais?
 
HUJAELEWA
 
HUJAELEWA
Ndio maana nataka kueleweshwa, je ilikuwa ni haramu mbowe kuchangisha michango ya kujenga msikiti kwenye swala la ijumaa, ila ni halali magufuli kuchangisha pesa ya kujenga msikitini tena kanisani?
 
Huu ni utaratibu wa kawaida sana. Na hili jambo sio geni. Lisipewe dhana ya kisiasa
 

Attachments

  • IMG_20200827_164844.png
    147.4 KB · Views: 2
Nimekumbuka jambo nikuongezee! Malaya (mzinifu) huondolewa haya. Miongoni mwa malaya wakubwa ni pesa kila mahali inalala inapita inatumika tofauti ni kwa waislam, pesa ina ina mipaka ya kukusanya, kuitafuta, kuitunza, hata kuitumia. Ukimkuta alie kinyume na uislamu inapasa wewe umwambie achunge hiyo mipaka ya umalaya wa pesa. Vinginevyo ndio hii shida wanasiasa wengi hawajui mipaka na wanaopasa kuwambia wachunge mipaka wapo kimya au nao ni wanasiasa hawajui umalaya wa pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…