Wewe jamaa acha uzuzu hiyo kodi nani anakupangia kiwango na ukiitoa inaenda wapi na nani anayeimba kila siku pesa ipo!!! Wewe unadhani unaposikia Serikali imesema unadhani anayesema ni nani? Kuna kitu kinaitwa serikali kama sio rais. Ukisikia serikali imepinduliwa unaelewa nini? Si rais alokuwepo kaondolewa madarakani.Raisi yeye ndo anatoa pesa?kweli ww jamaa noma kodi ya wananchi unasema pesa ya raisi.....hivi bado unakula kwa baba na mama?
Ushawahi sikia mtu anauliwa bila sababu, ikitokea ni bahati mbaya.Mropokaji msingekuwa mnamjadili kila mara na kuonya kuwa mtaua, ueni ndugu zenu sasa, kwani mnaishi mbinguni?
Mkuu sipingi utetezi na vitisho vyako, ila hapo uliposema yeye ndio anatoa pesa umenitisha kidogo. Yeye ni tajiri namba ngapi hapa duniani? Sasa hizi kodi tunazolipa ni za nini wakati yeye ndio anatoa pesa za maendeleo? Au umetaka kusifia lakini unakosa maneno mujarabu usifie vipi?
Wacha uwongo hakuna ni Megawati 180 tu na sio MW240 acheni kujipa ujiko kwanza mradi wenyewe ni ufisadi ndani nje serikali imepigwa na wajanja wa CCM takribani USD 100,000,000 halafu nyie washamba mnashangilia?
Hapana mkuu simaanishi kusifia, ila pesa ikishakusanya inaenda Serikalini. Kwani serikali ni nani mkuu kama sio rais? Anaweza kuamua afanye nini na hizo pesa kama tulivyoshuhudia awamu ilopita jamaa alikuwa akisafiri kila mwezi nje ya nchi. Kipindi cha Nyerere pia aliwekeza zaidi kwenye Ukombozi nchi za Afrika.
Hizi zana za Bunge ni zana tu lakini jamaa pale Magogoni akiamua kuwa mwizi anachota tu maana ana full control ya Hazina. Ndio maana nikasema anatoa pesa, hiyo hiyo kodi yako na yangu ndio pesa zake
Mawee, naanza kuingiwa na hofu. A giant project without feasibility study, EIA, etc!!!. Ee Mungu twaomba utunusuru na haya majanga.Haiwezekani hata kidogo ikawepo feasibility study iliyofanywa, I agree.
Kwanza Magufuli kasema hataki kusikia mradi unacheleweshwa kwa vile eti kibali cha mazingira kimekwama! Ina maana hataki mambo ya ma feasibility study. Huyo ni mtu ambae haoni kwamba raia wanaweza kufa kwa maamuzi yake.
Kasema leo mwenye uwezo wa ku invest kwenye nuclear energy aje afue umeme. Hapo hapo anakwambia hataki mradi uchelewe kwa kukosa kibali cha mazingira au cha Tanroads, kwamba wakipitisha Uranium barabarani sawa, wakichimba ovyo ikaingia kwenye mito sawa, kwenye hewa sawa! Hapo hamjafa na radioactive poisoning mikoa yenye Uranium production?
Hakika mkuu, katiba inampa mamlaka makuu mno mzee wa MagogoniKwa katiba letu bovu sawa sawa na kwa vyma vyetu vibovu pia!
Eti rais anatoa pesa elimu ni kitu cha msingi sana.
Hakuna tusi lolote hapo. Yeye kaonyesha pakuanzia, kama uko kwenye 'kitengo' kachimbue kunako Wizara husika na shirika husika ili mtoe ushauri sahihi. Mnataka mtafuniwe kila kitu?You have got nothing to share, nothing less nothing more. Nimekuomba tu kitu basic kabisa u disclose, kwamba umejua je tumepigwa $100,100,100? in relation to what as per regard. Unakuja na matusi mengii.
Suala sio wapo tayari kuua. Tatizo waandamanaji au wanaandamana kwa msukumo wa mtu anayeishi kwa malipo ya kutukana rais. Hivi wewe huyo Mange ahamasishe maandamano ya kumpinga rais wakati anashinda mitandaoni kumtusi rais halafu Jeshi la Polisi liwasindikize. Kama mimi ndio Rais nalala mbele na IGP kwa uzembe huo mkubwa.Inaonyesha kabisa mpo tayari kuua, mtaua sana nyie mtakaoishi milele
Tatizo mkuu umekaririshwa elimu ya kujua kuongea kiingereza na kuvaa majoho chuo kikuu ndo elimu. Ni sawa na wale wanaoamini kuvaa shela ndio ndoa. Huu ni upumbavu wa hali ya juu sana. Kuna exposure ambayo pia ni elimu kubwa sana kushinda hata huo ujinga unaodhani ni elimu. Unapokuwa na exposure ndogo (limited exposure) katika mambo mbalimbali matatizo yake ndio hayo. Unabaki kudhani hizo theory na bookish ulizosoma darasani ndio kila kitu. Haujui hata kwanini vitabu vinakuwa na Editions kwa sababu vitu hubadilika na vitabu kupitwa na wakati. Haujiliuzi kwa nini vitabu hupitwa na wakati? Ni sababu kuna kitu kinachotangulia hiyo elimu and you need to update yourself ili uweze kuendana na changing situation.Eti rais anatoa pesa elimu ni kitu cha msingi sana.
unajua watawala wetu wanakosea, kufanya kitu fair wao hawajui, ni mwendo wa double standards, mfano tizama uchaguzi wa madiwani wapinzani walivyofanywa, tizama na uchaguzi huu walivyofanywa, masanduku ya kura yanaibiwa na yanarudishwa na wenyewe, angalia mauaji ya akwilina, wanaua wao kisha wanabambikizia kesi ati wapinzani walikuwa wanaandamana, wale pale walikuwa wanafata vibali vyao, ambavyo mliviatamia mpaka akwilina kufa mkavitoa saa 5 za usiku baada ya kusikia askari wenu wameua, manake hawa sio askari wa kulinda wananchi ni askari wa kulinda ccm, mbaya na kilichowaumiza wapinzani ni kuwa ccm viapo wamepewa wiki kabla hawa wapinzani ati wasubiri siku 3 kabla, kweli inaingia akilini, wanapodai haki zao mnawaita ati ni wachochezi, wao ni wachochezi wa maendeleo na sio uchochezi wa kuua watu, kutesa, mbona haya mambo utawala uliopita hayakuwepo, ilikuwa ni nadra sana kusikia sasa ni hadharani, unadhani kama mbowe angeuwawa siku hiyo isingezungumzwa tena hiyo issue kama walivyofunika ya lisu, nahisi ile risasi hasa ilimlenga mbowe, nae ni kudra ya Mungu tu, lakini sasa hivi tungekuwa tunasema hayati mbowe, very sad indeedSuala sio wapo tayari kuua. Tatizo waandamanaji au wanaandamana kwa msukumo wa mtu anayeishi kwa malipo ya kutukana rais. Hivi wewe huyo Mange ahamasishe maandamano ya kumpinga rais wakati anashinda mitandaoni kumtusi rais halafu Jeshi la Polisi liwasindikize. Kama mimi ndio Rais nalala mbele na IGP kwa uzembe huo mkubwa.
Hakika mkuu watakuua ukithubutu kuandamana. hata ikiwa mimi ndio polisi miguu yako ni halali yangu hiyo tarehe 26, hauwezi kuniharibia ulaji wa watoto wangu
Wewe upo tayari kuandamana kutetea maslahi yako na ya Mange, Polisi nao wapo tayari kuua kutetea kitumbua cha watoto wao.
Pokea 7000Magufuli ni balaaa...So far he has done wonders so far no one to compare..Ni muda mfupi mno lakini hayafanani na maajabu aliyo yafanya
Kuna mambo ukiyaangalia mabayo imeishaifanyia nchi hii mpaka sasa unaweza stahajabu sana sema sisi binadamu tuna matatzo sana mostly watanzania wa mitandaoni
Chadema mkubali tu....2020 hamtakuwa na la kumsema magufuli juu ya utekelezaji wa aliyohaidi.....I believe mtakalo mnanga nalo ni ahadi ya million 50 kila kijiji hii ndio inaweza kuwa ajenda yenu kuu na kusema mlikuwa mnaonewa kuwekwa ndani....
Miundo mbinu safi...
Elimu mambo safi....
Madawa hospitalini mambo safi...
Rushwa safi...
Ujambazi wa kutumia silaha hata hatusikii zama hizi japokuwa tunaambia na ufipa maisha magumu.....
Rasilimali zetu safi...(na kesho kutwa anaenda kuzindua ahadi yake juu ya ukuta wa mererani)
Umeme siku hizi ni tofauti kabsa na awamu ya nne....
Nidhamu makazini safi....
Alihaidi kuleta ndege kaleta.....
Alihaidi kuhamia Dodoma anataimiza muda si mrefu.....
unajua watawala wetu wanakosea, kufanya kitu fair wao hawajui, ni mwendo wa double standards, mfano tizama uchaguzi wa madiwani wapinzani walivyofanywa, tizama na uchaguzi huu walivyofanywa, masanduku ya kura yanaibiwa na yanarudishwa na wenyewe, angalia mauaji ya akwilina, wanaua wao kisha wanabambikizia kesi ati wapinzani walikuwa wanaandamana, wale pale walikuwa wanafata vibali vyao, ambavyo mliviatamia mpaka akwilina kufa mkavitoa saa 5 za usiku baada ya kusikia askari wenu wameua, manake hawa sio askari wa kulinda wananchi ni askari wa kulinda ccm, mbaya na kilichowaumiza wapinzani ni kuwa ccm viapo wamepewa wiki kabla hawa wapinzani ati wasubiri siku 3 kabla, kweli inaingia akilini, wanapodai haki zao mnawaita ati ni wachochezi, wao ni wachochezi wa maendeleo na sio uchochezi wa kuua watu, kutesa, mbona haya mambo utawala uliopita hayakuwepo, ilikuwa ni nadra sana kusikia sasa ni hadharani, unadhani kama mbowe angeuwawa siku hiyo isingezungumzwa tena hiyo issue kama walivyofunika ya lisu, nahisi ile risasi hasa ilimlenga mbowe, nae ni kudra ya Mungu tu, lakini sasa hivi tungekuwa tunasema hayati mbowe, very sad indeed
Mkuu hilo ni hakika.
Tumerithi mfumo wa kikoloni na hatukuufanyia marekebisho. Jeshi linatii amri ya rais na linawajibika kwa rais. Dola Serikali ina nguvu nyingi inaweza kusumbua mihimili mingine. Huu mfumo utaendelea kwa muda mrefu lakini pia hata wanaodai mabadiliko wengi wao hawaaminiki wanatafuta jukwaa la kupandia lakini hawana nia ya dhati. Nasema hivo kwa kuwa ukifuatilia wafanyayo ni tofauti na wanayohubiri majukwaani.
Kwa hiyo kabla ya kubadili huu mfumo watu wakaidi wataumia na kitakachowaumiza ni ukaidi wao na kushindwa kuelewa wanashindana na mfumo wa utawala unaobebwa na katiba yetu.
Hapo solution mkuu ni kuwa na katiba ya wananchi inayowafanya watawala wawajibike kwa wananchi. Pia kuwe na sera na vipaombele vya taifa. Tuwe na mwelekeo mmoja kama taifa sio mwelekeo wa mtu. Maana kila kiongozi akija anakuwa na sera na mwelekeo wake sasa hii inarudisha nyuma maendeleo ya nchi. Hakuna mwendelezo.Sasa nini kifanyike ili kuondokana na hali iliyopo ?