Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

Acheni uchizi. Mnajitekenyeka na kucheka wenyewe.

Hivi huyo mlopokaji wa mitandaoni mnadhani ni mtu mkubwa sana kiasi kwamba anaweza tisha dola.

Subirini muone kama sisimizi au nzi atathubutu kuandamana.

Ninyi endeleeni kupiga yowe Rais atazindua kila kitu yeye si ndo anatoa pesa.
 
HAKUTAKUWA NA MAANDAMANO YOYOTE MAANA M/MUNGU hawezi ruhusu mwanamke mchafu kama KIMAMBI asababishe vifo kwa wasio na hatia
 
Hello,

Pengine anayeelewa zaidi maana ya neno Kuzindua anisaidie. Nimekuwa nikifuatitia kwa uakribu sana pale kunapotangazwa kwamba kuna kuzindua mradi. Ninachotaka kufahamu, ni nini maana ya kuzindua miradi ambayo tayari imekuwa ikifanya kazi miaka mingi.

Kwa vyoyote vile, lazima kutakuwa na sababu za maana za kufanya haya matukio kwenye miradi inayoendelea. Lakini ninaomba, wale watangazaji pengine wajaribu kutofautisha ili tufahamu ni wakati gani kuna kuzindua kitu kipya au kufanya fanya hizo shughuli kwa kitu kilichopo tayari.

Ili tuweze kutofautisha, ninashauri neno Kuzindua,litumikwe kwenye miradi mipya. Lakini kwenye miradi endelevu, watumie neno "KUZIMUA MIRADI".

Ni hilo tu.
ETI KUZIMUA,,,wee jamaa wee umenichekeshaaa..mungu anakuonaa aisee
 
Acheni uchizi. Mnajitekenyeka na kucheka wenyewe.

Hivi huyo mlopokaji wa mitandaoni mnadhani ni mtu mkubwa sana kiasi kwamba anaweza tisha dola.

Subirini muone kama sisimizi au nzi atathubutu kuandamana.

Ninyi endeleeni kupiga yowe Rais atazindua kila kitu yeye si ndo anatoa pesa.
Eti rais anatoa pesa elimu ni kitu cha msingi sana.
 
Rais Magufuli naona yuko busy na uzinduzi Mara baada ya Da Mange kuhamasisha maandamano ya amani ya kupinga mambo ya ovyo yanayoendelea nchini chini ya utawala wa Magufuli

Baada ya kutishika na maandamano akaanza kufanya uzinduzi wa vitu ambavyo vilishazinduliwa ili mradi tu kuwahadaa watanzania kwamba serikali inafanya mambo mazuri hivyo msiandamane kuipinga

[emoji117]kazindua barabara ya zamani huko kahama
[emoji117] Akazindua SGR Dodoma

[emoji117] Akazindua tawi la bank Crdb Chato na Dom

[emoji117] Akazindua Rada na mapangaboi(Bombadia)

[emoji117] Akazindua mradi wa zamani wa Kinyerezi wa kufua umeme wa gesi

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka juice ka Sayona Mwanza

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka zamani ka Dawa

[emoji117] Na sasa anataka kuzindua kiukuta cha kuzunguka mererani

Ujue kuna vitu vingine vinatia aibu kuzindua vitu vidogo ambavyo waziri husika angeweza kwenda kuzindua mfano hii ya kuzindua ukuta

Lakini naona zindua zindua hii ni janja ya kuwapumbaza wajinga ili kupooza nguvu ya maandamano.

Ova.
Maandamano hayaleti ugali mezani by Askofu Cheyo!
 
Kwani umezuiliwa kuandamana wee nenda najua jioni yake utakua wapi na ukiwa ktk hali gani, mimi hata ndugu yangu akienda huko yakimpata ajipange maana najua kitakachofuata lawama tu hakuna kingine
 
Muache rais, anakuja Zanzibar kuzindua kioski cha Urojo hapa TRÁ Zanzibar opposite,,, mtasema sana
 
Acheni uchizi. Mnajitekenyeka na kucheka wenyewe.

Hivi huyo mlopokaji wa mitandaoni mnadhani ni mtu mkubwa sana kiasi kwamba anaweza tisha dola.

Subirini muone kama sisimizi au nzi atathubutu kuandamana.

Ninyi endeleeni kupiga yowe Rais atazindua kila kitu yeye si ndo anatoa pesa.
Hahahaha machizi kweli walahi!
 
Kajikundi kiduchu cha jana pale Kisutu kimesambaratishwa na polisi watano!
Alafu ndiyo wathubutu kuandamana!parthetic
 
Acheni uchizi. Mnajitekenyeka na kucheka wenyewe.

Hivi huyo mlopokaji wa mitandaoni mnadhani ni mtu mkubwa sana kiasi kwamba anaweza tisha dola.

Subirini muone kama sisimizi au nzi atathubutu kuandamana.

Ninyi endeleeni kupiga yowe Rais atazindua kila kitu yeye si ndo anatoa pesa.

Mkuu sipingi utetezi na vitisho vyako, ila hapo uliposema yeye ndio anatoa pesa umenitisha kidogo. Yeye ni tajiri namba ngapi hapa duniani? Sasa hizi kodi tunazolipa ni za nini wakati yeye ndio anatoa pesa za maendeleo? Au umetaka kusifia lakini unakosa maneno mujarabu usifie vipi?
 
HAKUTAKUWA NA MAANDAMANO YOYOTE MAANA M/MUNGU hawezi ruhusu mwanamke mchafu kama KIMAMBI asababishe vifo kwa wasio na hatia

Kumbuka kuna wanachafu ktk Biblia walifanikisha mpango wa Mungu. Rejea Kahaba wa Yeriko na wapelelezi wa Israel.

[HASHTAG]#Naunga[/HASHTAG] mkono maandamano ya amani
[HASHTAG]#serikali[/HASHTAG] itoe kibali na kuhakikisha ulinzi na usalama wa waandamanaji
 
HAKUTAKUWA NA MAANDAMANO YOYOTE MAANA M/MUNGU hawezi ruhusu mwanamke mchafu kama KIMAMBI asababishe vifo kwa wasio na hatia
Inaonyesha kabisa mpo tayari kuua, mtaua sana nyie mtakaoishi milele
 
Acheni uchizi. Mnajitekenyeka na kucheka wenyewe.

Hivi huyo mlopokaji wa mitandaoni mnadhani ni mtu mkubwa sana kiasi kwamba anaweza tisha dola.

Subirini muone kama sisimizi au nzi atathubutu kuandamana.

Ninyi endeleeni kupiga yowe Rais atazindua kila kitu yeye si ndo anatoa pesa.
Mropokaji msingekuwa mnamjadili kila mara na kuonya kuwa mtaua, ueni ndugu zenu sasa, kwani mnaishi mbinguni?
 
Kwani umezuiliwa kuandamana wee nenda najua jioni yake utakua wapi na ukiwa ktk hali gani, mimi hata ndugu yangu akienda huko yakimpata ajipange maana najua kitakachofuata lawama tu hakuna kingine
Ueni halafu muone, kutakuwa na sporadic ambush ambazo watu wataanza ishi na wasiwasi
 
Back
Top Bottom