MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
Mkopo haujawahi kuwa Msaada!Hushangai kuwa kwa nini nchi tajiri inaomba Msaada ?
Kumbuka pia huwezi kupata mkopo kama huwa uwezo wa kurudisha mkopo na riba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkopo haujawahi kuwa Msaada!Hushangai kuwa kwa nini nchi tajiri inaomba Msaada ?
Huwezi kupata mkopo kama sio tajiri ambaye unaweza kurudisha mkopo na riba!Rais anatuchanganya tu. Mara atuambie sisi ni matajiri. Tunajenga miradi kwa kodi za watanzania. Inakuwaje tena anasema kuhusu benki ya dunia tena ?
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Tutaendelea kutoa darasa ili kama watataka kuelewa basi wataelewa!Wafundishe mkuu! Hawajui mkopo na msaada!
Nguvu kubwa sana ni relative term!Mbona mnatumia nguvu kubwa sana kutaka mabeberu wawape hela wakati nyie ni matajiri? Mbona hamueleweki? Hata elimu tu lazima mkope? Mnakopa mnunue chaki na kujenga matundu ya vyoo? Serious?
Matajiri wote duniani wanakopa. Nchi tajiri zote zinakopa. Marekani na China zinakopa. Masikini hakopeshwi, anasaidiwa.Mbona mnatumia nguvu kubwa sana kutaka mabeberu wawape hela wakati nyie ni matajiri? Mbona hamueleweki? Hata elimu tu lazima mkope? Mnakopa mnunue chaki na kujenga matundu ya vyoo? Serious?
Mabeberu siyo?Pamoja na kujimwambafy kote atuwezi ishi bila wao
Ni mkopo mkuuHivi Tanzania sio tajiri tena? Nilitegemea Mh Rais aseme hatutegemei misaada kwa sababu sisi ni matajiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa anayenunua ndege kwa cash halafu anakopa hela ajenge matundu ya choo na kununua madawati. Hilo halikushangazi wewe?Matajiri wote duniani wanakopa. Nchi tajiri zote zinakopa. Marekani na China zinakopa. Masikini hakopeshwi, anasaidiwa.
Unashangaa mkopo kutumika kuboresha mazingira salama ya kujifunzia na nyenzo? Zipo nchi zinakopa ili kununua hifadhi ya chakula. Yaani zinakopa hela ya kula.
Sijui wengine mnatazamaje mambo!
Madawati ni muhimu lakini hayaingizi pesa ya haraka na hayaitangazi nchi kivyovyote. Hayana mchango kwa utalii na sekta ya biashara. Ni huduma isiyo na mrejesho wa fedha, tofauti na ndege au miundombinu.Nashangaa anayenunua ndege kwa cash halafu anakopa hela ajenge matundu ya choo na kununua madawati. Hilo halikushangazi wewe?
Wakati huo huo kutwa kujitapa yeye ni tajiri anatoa elimu bure? Kumbe anakopa ili atoe elimu bure😄😄
Hoja yako ni ipi hasa?Madawati ni muhimu lakini hayaingizi pesa ya haraka na hayaitangazi nchi kivyovyote. Hayana mchango kwa utalii na sekta ya biashara. Ni huduma isiyo na mrejesho wa fedha, tofauti na ndege au miundombinu.
Pesa ya mkopo ni yako kwa sababu utailipa. Kwahiyo kama anakopa ili atoe elimu bure, maana yake ametoa pesa yake/yetu haijalishi ameazima au la.
Huu mwaka una mambo! Victoire hivi ni wewe? Heri za mwaka mpya. Hakika leo akili za kuambiwa umechanganya na zako! Kumbe binti akili zako si zile za level ya akili ni nywele kila mtu anazo. Mbona taahira na machizi wana vichwa misitu lakini ndani ombwe? Leo tufurahi, Victoire wetu kumbe aweza kuwa pia Ingabire!Rais anatuchanganya tu. Mara atuambie sisi ni matajiri. Tunajenga miradi kwa kodi za watanzania. Inakuwaje tena anasema kuhusu benki ya dunia tena ?
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Yes naweza kuwa Ingabire kasoro mimi kamwe siwezi jitolea kama Ingabire alieacha familia yake Holland kwenda pambana na Kagame.Huu mwaka una mambo! Victoire hivi ni wewe? Heri za mwaka mpya. Hakika leo akili za kuambiwa umechanganya na zako! Kumbe binti akili zako si zile za level ya akili ni nywele kila mtu anazo. Mbona taahira na machizi wana vichwa misitu lakini ndani ombwe? Leo tufurahi, Victoire wetu kumbe aweza kuwa pia Ingabire!
Nilijua tu utakosa la kusema.Hoja yako ni ipi hasa?
Unaona kuna cha maana umeandika? Unatoa jibu jepesi kwa swali gumu halafu unajiona mjanjaNilijua tu utakosa la kusema.
Nani anapima huo ugumu na wepesi?Unaona kuna cha maana umeandika? Unatoa jibu jepesi kwa swali gumu halafu unajiona mjanja
Sawa na kununua prado then huna choo cha passport sizeNashangaa anayenunua ndege kwa cash halafu anakopa hela ajenge matundu ya choo na kununua madawati. Hilo halikushangazi wewe?
Wakati huo huo kutwa kujitapa yeye ni tajiri anatoa elimu bure? Kumbe anakopa ili atoe elimu bure😄😄