Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Typical online trollNani anapima huo ugumu na wepesi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Typical online trollNani anapima huo ugumu na wepesi?
Mkopo haujawahi kuwa msaada!
Unakopeshwa tu kama una uwezo wa kulipa Mkopo pamoja na riba!
Hongera sana. Nimekupenda. Usijali sana hata hiyo unayoita kasoro yaweza toka. Kuacha familia nini? Waweza hata kuwa tayari kuacha dunia! Mwanzo mzuri wa kupigania haki kwa wote. ( Mark you not Lipumba style)?Yes naweza kuwa Ingabire kasoro mimi kamwe siwezi jitolea kama Ingabire alieacha familia yake Holland kwenda pambana na Kagame.
Huwezi kupata mkopo kama sio tajiri ambaye unaweza kurudisha mkopo na riba!
Ni kweli sisi ni matajiri ndio maana tunakopesheka!
Kama tungeweza kulipa basi tungekua na deni lisilokua, wewe deni linakua kila siku linakua alafu unajigamba eti una uwezo wa kulipa.Huu sio msaada bali ni mkopo!
Mkopo sio msaada kwa sababu huwezi kukopeshwa kama huwezi kulipa na riba!
Kwa akili yako unadhani utajiri ni pesa pekee!Kuweza kulipa deni hakumaanishi wewe ni tajiri bali ni kuaminika kuwa utajikusanya na umasikini wako na kulipa deni.
Unataka kuniambia wale wanaokopa dukani kwa mpemba unga wa ugali wanakopeshwa kwa vile ni matajiri na watalipa?
Acheni utani wenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona alisema sisi ni matajiri hatuhitaji misaada na tunaweza kuwa donor country
Kwa kukusaidia, pitia hii tovuti uone deni la taifa la Marekani na jinsi linavyokua/kuongezeka kila sekunde!Kama tungeweza kulipa basi tungekua na deni lisilokua, wewe deni linakua kila siku linakua alafu unajigamba eti una uwezo wa kulipa.
Nani amekuambia kuwa hazikuwa na uwezo wa kulipa? Kwani deni limeanza wakati wa serikali ya awamu ya tano?Anyway, tuna uwezo wa kulipa, kwani hizo serikali zilizopita hazikua na uwezo wa kulipa? Maana zilikua zinakopeshwa na hatukuwahi kusikia zikijigamba kama ya sasa ambayo kila siku unasikia tuna hela, hela zipo ila mikopo kila siku.
Kumbuka kama hujawahi kusikia haina maana hawajawahi kusema!Ni joja ya ajabu ku-justify deni letu na deni la Marekani.
Sijawahi kusikia marekani wakisema wana pesa za ndani, pesa zipo, alafu wanalilia mikopo.
Huu sio msaada bali ni mkopo!
Mkopo sio msaada kwa sababu huwezi kukopeshwa kama huwezi kulipa na riba!
mbona alisema sisi ni matajiri hatuhitaji misaada na tunaweza kuwa donor country
Una maanisha nini,kwamba tutarajie kuokotwa kwa miili mingine mto Ruvu?Mzee anasema, " watu wa aina hiyo hawawezi isha duniani "
Kumbuka hata kulazimishwa kubadili sera za kiuchumi kwa manufaa ya mkopeshaji anayeitwa IDA pia ni njia mojawapo ya kulipa riba ya mkopo!Mzee, IDA uwa wanatoa mkopo kwa wale wasio creditworthy. Ndiyo maana wanatoa hata mikopo yenye zero interest. Ndiyo maana IDA uwa inachukuliwa kama ‘a development agency au aid agency’ wing ya WB.
Unless, mkopo uwe umetoka IBRD, ambayo ni wing halisi ya kibenki ndani ya WB, pamoja na IFC.
hasiishie tu kumpuuza Zitto. Mwambie haache kufanya maamuzi ya matumizi ya pesa za watanganyika bila kuwashirikisha wabunge.Nakubaliana kwa 100% kwamba watu aina ya Zitto na wale wanaofanana nao ni wa kupuuzwa na hawastahili kujibiwa.
Zitto anafahamika kwa kutafuta kiki akitumia njia ya uzushi na kuparamia mambo asiyoyaelewa vizuri. Kujibishana na watu wa aina hii ni kuwapa promo ya bure ya kujulikana kuwa bado wapo.
Nakubaliana na Rais Magufuli kwa 100% kwamba hawa wazushi ni wa kupuuzwa ili tuweze kusonga mbele.
Maendeleo hayana vyama!