Rais Magufuli: Cecil Mwambe moyo wake uko CCM, Chama kilifanya makosa makubwa kumfanyia figisu 2015

Rais Magufuli: Cecil Mwambe moyo wake uko CCM, Chama kilifanya makosa makubwa kumfanyia figisu 2015

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Magufuli amewalaumu wanaCCM wa Ndanda kwa kumfanyia figisu Cecil Mwambe aliyekuwa anakubalika ndani ya CCM.

Mimi niligombea CCM nikasindikizwa na watu 41, na kiukweli mimi ndiye nilikuwa nakubalika, niwaombe WanaCCM msiwabanie watu ambao wanakubalika kwa wananchi, kwa sababu hata mimi sikubaniwa.

Rais Magufuli amemuahidi Cecil Mwambe kama atahamia CCM basi wanaCCM wa Ndanda wasimkate tena kwenye kura za maoni.

11.jpeg
Chanzo: TBC!
 
Halafu watu wanaambiwa wajiandikishe kupiga kura, kama huko aliko hawezi kupewa ushirikiano hadi ajiunge ccm uchaguzi wa nini? Na mbona bado majimbo yanayoongozwa na ccm bado yanashida zilezile?
Jimbo gani kwa mfano?!
 
Mkuu ndio hivyo kwani hata hao cdm wana msimamo gani wakati walimpokea Lowassa miezi miwili kabla ya uchaguzi, na kumpa nafasi kubwa kabisa ya kugombea urais na hivi leo karudi zake ccm?
Ni kweli kabisa kamanda!
 
Rais Magufuli amewalaumu wanaccm wa Ndanda kwa kumfanyia figisu Cecil Mwambe aliyekuwa anakubalika ndani ya CCM.

Mimi niligombea CCM nikasindikizwa na watu 41, na kiukweli mimi ndiye nilikuwa nakubalika, niwaombe WanaCCM msiwabanie watu ambao wanakubalika kwa wananchi, kwa sababu hata mimi sikubaniwa.

Rais Magufuli amemuahidi Cecil Mwambe kama atahamia CCM basi wanaccm wa Ndanda wasimkate tena kwenye kura za maoni.

Chanzo: TBC!
Nimetoa bonge la tusi!
 
Back
Top Bottom