Mayonene
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 1,595
- 1,419
Cecil Mwambe ana uwezo mkubwa wa kuiongoza Chadema!
Uje kwenye uchaguzi umpigie kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cecil Mwambe ana uwezo mkubwa wa kuiongoza Chadema!
Hanang!Jimbo gani kwa mfano?!
Ndiyo maana Mbowe anapigwa vita sn. CDM msifanye makosa maana rangi mmeshaonyeshwa mdogomdogo.
Mkutano wa chama cha WATU WASIOJULIKANA. Watoa roho za binadamu wenzao....Ni mjumbe wa mkutano mkuu!
Ndio pale mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani atakapounga mkono juhudi.Rais Magufuli amewalaumu wanaccm wa Ndanda kwa kumfanyia figisu Cecil Mwambe aliyekuwa anakubalika ndani ya CCM.
Mimi niligombea CCM nikasindikizwa na watu 41, na kiukweli mimi ndiye nilikuwa nakubalika, niwaombe WanaCCM msiwabanie watu ambao wanakubalika kwa wananchi, kwa sababu hata mimi sikubaniwa.
Rais Magufuli amemuahidi Cecil Mwambe kama atahamia CCM basi wanaccm wa Ndanda wasimkate tena kwenye kura za maoni.
Chanzo: TBC!
Mimi na Yericko Nyerere tutakuwepo kwenye mkutano wa uchaguzi!Uje kwenye uchaguzi umpigie kura.
Safi sana waambie na wenzakoMimi na Yericko Nyerere tutakuwepo kwenye mkutano wa uchaguzi!
Wenzangu akina Daudi Mchambuzi wanajua!Safi sana waambie na wenzako
Kichwa cha Pogba kimejaa upepo. Ndio maana kila kinywa kikifunguliwa kinatema ujinga na upumbavu mtupuHalafu watu wanaambiwa wajiandikishe kupiga kura, kama huko aliko hawezi kupewa ushirikiano hadi ajiunge ccm uchaguzi wa nini? Na mbona bado majimbo yanayoongozwa na ccm bado yanashida zilezile?
Makalio yenu! Shida ni mipango yenu ya kishetani huwa hamuwezi kuifanya kwa siri sasa huyo Mwambe akachukue tuu form ili kuichangia Chadema 5m basi inatosha lakini kuziona kura atazisikia kwenye ndotoNa ataupata.......sisi wajumbe tutamchagua!
Bora ukose Mali kuliko kukosa akili
La Mh SpeakerJimbo gani kwa mfano?!
Rais Magufuli amewalaumu wanaccm wa Ndanda kwa kumfanyia figisu Cecil Mwambe aliyekuwa anakubalika ndani ya CCM.
Mimi niligombea CCM nikasindikizwa na watu 41, na kiukweli mimi ndiye nilikuwa nakubalika, niwaombe WanaCCM msiwabanie watu ambao wanakubalika kwa wananchi, kwa sababu hata mimi sikubaniwa.
Rais Magufuli amemuahidi Cecil Mwambe kama atahamia CCM basi wanaccm wa Ndanda wasimkate tena kwenye kura za maoni.
Chanzo: TBC!