Rais Magufuli: Cecil Mwambe moyo wake uko CCM, Chama kilifanya makosa makubwa kumfanyia figisu 2015

Rais Magufuli: Cecil Mwambe moyo wake uko CCM, Chama kilifanya makosa makubwa kumfanyia figisu 2015

Ufipa si ndipo Mkapa alisema kuna 'malofa' !
Inategemea weye unatafsiri vipi neno lofa hasa ukimuangalia aliyelitamka!Umewahi kusoma gazeti la Sani miaka hiyo?Ulikuwa unakiona na kukifananisha kibonzo cha Lodi Lofa na nani kati ya "mtamkaji" na "watamkiwa"?
 
Back
Top Bottom