M Mbalinga JF-Expert Member Joined Apr 9, 2010 Posts 1,716 Reaction score 1,373 Oct 16, 2019 #81 Oh kumbe ni mmoja wa watu waliokuja na mafuriko 2015?
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Oct 16, 2019 #82 Mbalinga said: Oh kumbe ni mmoja wa watu waliokuja na mafuriko 2015? Click to expand... Hili liwe fundisho kubwa iwe mwiko mtu aliyetoka CCM baada ya kutemwa kupewa nafasi ya kugombea ndani ya Chadema
Mbalinga said: Oh kumbe ni mmoja wa watu waliokuja na mafuriko 2015? Click to expand... Hili liwe fundisho kubwa iwe mwiko mtu aliyetoka CCM baada ya kutemwa kupewa nafasi ya kugombea ndani ya Chadema
bigmind JF-Expert Member Joined Oct 28, 2015 Posts 12,457 Reaction score 12,689 Oct 16, 2019 #83 johnthebaptist said: Jimbo gani kwa mfano?! Click to expand... Nadhani wewe ndiyo unafaa kuitwa ziro IQ.
johnthebaptist said: Jimbo gani kwa mfano?! Click to expand... Nadhani wewe ndiyo unafaa kuitwa ziro IQ.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Oct 16, 2019 Thread starter #84 bigmind said: Nadhani wewe ndiyo unafaa kuitwa ziro IQ. Click to expand... Umeshapanic bwashee mbwiga!
bigmind said: Nadhani wewe ndiyo unafaa kuitwa ziro IQ. Click to expand... Umeshapanic bwashee mbwiga!
kirumonjeta JF-Expert Member Joined Feb 9, 2008 Posts 3,966 Reaction score 1,965 Oct 16, 2019 #85 johnthebaptist said: Na ataupata.......sisi wajumbe tutamchagua! Click to expand... wajumbe wa CCM sio?? sawa mchagueni tu
johnthebaptist said: Na ataupata.......sisi wajumbe tutamchagua! Click to expand... wajumbe wa CCM sio?? sawa mchagueni tu
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 Oct 23, 2019 #86 Bandiwe said: Ufipa si ndipo Mkapa alisema kuna 'malofa' ! Click to expand... Inategemea weye unatafsiri vipi neno lofa hasa ukimuangalia aliyelitamka!Umewahi kusoma gazeti la Sani miaka hiyo?Ulikuwa unakiona na kukifananisha kibonzo cha Lodi Lofa na nani kati ya "mtamkaji" na "watamkiwa"?
Bandiwe said: Ufipa si ndipo Mkapa alisema kuna 'malofa' ! Click to expand... Inategemea weye unatafsiri vipi neno lofa hasa ukimuangalia aliyelitamka!Umewahi kusoma gazeti la Sani miaka hiyo?Ulikuwa unakiona na kukifananisha kibonzo cha Lodi Lofa na nani kati ya "mtamkaji" na "watamkiwa"?
LIMBOMAMBOMA JF-Expert Member Joined Oct 3, 2017 Posts 10,482 Reaction score 14,007 Oct 23, 2019 #87 Kwa statement hii........chadema watamwandama hatari