KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,514
- 2,325
Ulisimama wewe usiyefanya kazi. Kutwa kucha umo JFMagufuli ana roho ya uharibifu!! Miaka 5 nchi ilisimama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisimama wewe usiyefanya kazi. Kutwa kucha umo JFMagufuli ana roho ya uharibifu!! Miaka 5 nchi ilisimama.
Nadhani umechanganya madesa The Boss, ni Antony Mtaka, RC wa Simiyu aliyekuwa analizungumzia hili, na idea ilikuwa wajenge hiyo park pembezoni mwa Serengeti national park. Masele huyu alikuwa busy na bunge la Afrika na 2015-2020 amevuma kwa mgogoro wake tu na Ndugai na wenzie huko kwenye bungo la Africa.
Mkuu Proposal yao imelenga Pori la akiba Kigereshi lipo ubavuni na Serengeti western Corridor pia ni karibu na ziwa Nyanza (Victoria).Ndani ya wilaya ya Busega na sehemu ya Dutwaa..eneo hilo lina lendscape nzuri sana kuna milima(Hills) yenye manzari nzuri tuFafanua mkuu naona unaijua hii story vizuri
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.
Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..
Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..
Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...
Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...
Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Hilo pori nalifahamu vizuri sana.Mkuu Proposal yao imelenga Pori la akiba Kigereshi lipo ubavuni na Serengeti western Corridor pia ni karibu na ziwa Nyanza (Victoria).Ndani ya wilaya ya Busega na sehemu ya Dutwaa..eneo hilo lina lendscape nzuri sana kuna milima(Hills) yenye manzari nzuri tu
Tatizo liko huku jikoni kwetu ...na watunga sera wa Simiyu walikuwa kikwazo
Kenya watatufanyia UJASUSI kama ulivyo sema tukizubaa...Ngabu ameeleza hapo juu plan iko California ..na mimi nimeanza kujisogeza LAMADI
Disneyland au Walt Disney Company?
Disneyland ni entertainment resort ambayo ipo Anaheim, California, sawa na Disney World iliyopo Florida.
Ni kampuni tanzu za Walt Disney Company....
Mkuu Proposal yao imelenga Pori la akiba Kigereshi lipo ubavuni na Serengeti western Corridor pia ni karibu na ziwa Nyanza (Victoria).Ndani ya wilaya ya Busega na sehemu ya Dutwaa..eneo hilo lina lendscape nzuri sana kuna milima(Hills) yenye manzari nzuri tu
Tatizo liko huku jikoni kwetu ...na watunga sera wa Simiyu walikuwa kikwazo
Kenya watatufanyia UJASUSI kama ulivyo sema tukizubaa...Ngabu ameeleza hapo juu plan iko California ..na mimi nimeanza kujisogeza LAMADI
Nadhani umechanganya madesa The Boss, ni Antony Mtaka, RC wa Simiyu aliyekuwa analizungumzia hili, na idea ilikuwa wajenge hiyo park pembezoni mwa Serengeti national park. Masele huyu alikuwa busy na bunge la Afrika na 2015-2020 amevuma kwa mgogoro wake tu na Ndugai na wenzie huko kwenye bungo la Africa.
Tanzania ya sasa ni HAPA KAZI ya kisasi kwanza mengine baadaeNilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.
Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..
Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..
Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...
Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...
Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Hujaweka kutukana na kujaza pumba .... .... .... .... khe he khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeUlisimama wewe usiyefanya kazi. Kutwa kucha umo JF
Ebu fafanua namna huo mradi utakavyowanufaisha watanzania, wakati wa maandalizi ya utekelezaji wake, utekelezaji wenyewe, na undelezaji wake. Tumia takwimu kuimarisha ufafanuzi kwa kila hatua niliyoeleza.atizo liko huku jikoni kwetu ...na watunga sera wa Simiyu walikuwa kikwazo
Kenya watatufanyia UJASUSI kama ulivyo sema tukizubaa...Ngabu ameeleza hapo juu plan iko California ..na mimi nimeanza kujisogeza LAMADI
🤣🤣🤣🤣Ulisimama wewe usiyefanya kazi. Kutwa kucha umo JF
Yes nimekosea nimeomba mods warekebishe
Magu tatizo hapeni watu wenye brain IQ kubwa anataka watu wa kuwaburuza.Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.
Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..
Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..
Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...
Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...
Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..