Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

Nadhani umechanganya madesa The Boss, ni Antony Mtaka, RC wa Simiyu aliyekuwa analizungumzia hili, na idea ilikuwa wajenge hiyo park pembezoni mwa Serengeti national park. Masele huyu alikuwa busy na bunge la Afrika na 2015-2020 amevuma kwa mgogoro wake tu na Ndugai na wenzie huko kwenye bungo la Africa.
 
Nadhani umechanganya madesa The Boss, ni Antony Mtaka, RC wa Simiyu aliyekuwa analizungumzia hili, na idea ilikuwa wajenge hiyo park pembezoni mwa Serengeti national park. Masele huyu alikuwa busy na bunge la Afrika na 2015-2020 amevuma kwa mgogoro wake tu na Ndugai na wenzie huko kwenye bungo la Africa.


Mkuu naomba link ya hiyo habari
Kuna watu hapa wananiuliza nashindwa majibu
Please
 
Fafanua mkuu naona unaijua hii story vizuri
Mkuu Proposal yao imelenga Pori la akiba Kigereshi lipo ubavuni na Serengeti western Corridor pia ni karibu na ziwa Nyanza (Victoria).Ndani ya wilaya ya Busega na sehemu ya Dutwaa..eneo hilo lina lendscape nzuri sana kuna milima(Hills) yenye manzari nzuri tu
Tatizo liko huku jikoni kwetu ...na watunga sera wa Simiyu walikuwa kikwazo
Kenya watatufanyia UJASUSI kama ulivyo sema tukizubaa...Ngabu ameeleza hapo juu plan iko California ..na mimi nimeanza kujisogeza LAMADI
 
sele
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..

Hivi kampuni kubwa kama hiyo bado wanaweza kuwatumia raia binafsi wawapigie chapio kwenye deal kama hilo? Hasa baada ya saga la Barrick? I would have expected them to go through the Investment centre.
 
Mkuu Proposal yao imelenga Pori la akiba Kigereshi lipo ubavuni na Serengeti western Corridor pia ni karibu na ziwa Nyanza (Victoria).Ndani ya wilaya ya Busega na sehemu ya Dutwaa..eneo hilo lina lendscape nzuri sana kuna milima(Hills) yenye manzari nzuri tu
Tatizo liko huku jikoni kwetu ...na watunga sera wa Simiyu walikuwa kikwazo
Kenya watatufanyia UJASUSI kama ulivyo sema tukizubaa...Ngabu ameeleza hapo juu plan iko California ..na mimi nimeanza kujisogeza LAMADI
Hilo pori nalifahamu vizuri sana.

Actually nyumba yetu ipo pembeni mwa barabara iendayo huko na kuna kipindi walitaka kuibomoa ili wapate nafasi zaidi ya kujenga barabara ya lami kuelekea huko. Ila mpaka sasa sijasikia chochote kuhusiana na hilo.
 
Disneyland au Walt Disney Company?

Disneyland ni entertainment resort ambayo ipo Anaheim, California, sawa na Disney World iliyopo Florida.

Ni kampuni tanzu za Walt Disney Company....

Ingia ippmedia wanayo .Africa first pioneer theme park..inajengwa Simiyu kweli
 
Mkuu Proposal yao imelenga Pori la akiba Kigereshi lipo ubavuni na Serengeti western Corridor pia ni karibu na ziwa Nyanza (Victoria).Ndani ya wilaya ya Busega na sehemu ya Dutwaa..eneo hilo lina lendscape nzuri sana kuna milima(Hills) yenye manzari nzuri tu
Tatizo liko huku jikoni kwetu ...na watunga sera wa Simiyu walikuwa kikwazo
Kenya watatufanyia UJASUSI kama ulivyo sema tukizubaa...Ngabu ameeleza hapo juu plan iko California ..na mimi nimeanza kujisogeza LAMADI


Mkuu ombeni interventions ya Magufuli
Kenya wakituibia tutalia kama watoto
 
Nadhani umechanganya madesa The Boss, ni Antony Mtaka, RC wa Simiyu aliyekuwa analizungumzia hili, na idea ilikuwa wajenge hiyo park pembezoni mwa Serengeti national park. Masele huyu alikuwa busy na bunge la Afrika na 2015-2020 amevuma kwa mgogoro wake tu na Ndugai na wenzie huko kwenye bungo la Africa.


Mods naomba irekebishwe isomeke wazo la Anthony Mtaka..

Cookie Active @ paw
 
Kumbe ni Disneyland recreation park style ...... ....... ... Wabongo acheni upotoshaji!
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Tanzania ya sasa ni HAPA KAZI ya kisasi kwanza mengine baadae
 
Ulisimama wewe usiyefanya kazi. Kutwa kucha umo JF
Hujaweka kutukana na kujaza pumba .... .... .... .... khe he khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
atizo liko huku jikoni kwetu ...na watunga sera wa Simiyu walikuwa kikwazo
Kenya watatufanyia UJASUSI kama ulivyo sema tukizubaa...Ngabu ameeleza hapo juu plan iko California ..na mimi nimeanza kujisogeza LAMADI
Ebu fafanua namna huo mradi utakavyowanufaisha watanzania, wakati wa maandalizi ya utekelezaji wake, utekelezaji wenyewe, na undelezaji wake. Tumia takwimu kuimarisha ufafanuzi kwa kila hatua niliyoeleza.

Karibu.
 
Sasa Kama kaongea nao si awekeze ? Aende kituo Cha uwekezaji sio Ikulu
Wawejezaji wote huenda kituo Cha uwekezaji yeye Masele hajui hilo?
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Magu tatizo hapeni watu wenye brain IQ kubwa anataka watu wa kuwaburuza.
 
Back
Top Bottom