Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

USA wakiwekeza mradi mkubwa hivyo tujue maamuzi mengine ya nchi watupangia. Sharti la ushoga hatutaliepuka.

Tujiridhishe kwa nini wachague eneo hilo? Mahusiano yetu na USA lazima tuyachukulie kwa tahadhari kubwa sana. Mali wameshaumizwa tayari. Angalia wanavyo mshadadia Lissu. Walimchagua Nyalandu kipindi cha nyuma kuwa ndiye wanamtaka awe rais.
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Harafu ujiko atachunua Nani?any way nasikitika Kama Kuna watu bado Wana Imani na magu
 
USA wakiwekeza mradi mkubwa hivyo tujue maamuzi mengine ya nchi watupangia. Sharti la ushoga hatutaliepuka.

Tujiridhishe kwa nini wachague eneo hilo? Mahusiano yetu na USA lazima tuyachukulie kwa tahadhari kubwa sana. Mali wameshaumizwa tayari. Angalia wanavyo mshadadia Lissu. Walimchagua Nyalandu kipindi cha nyuma kuwa ndiye wanamtaka awe rais.
unashadadia ushoga !! wewe ni shoga??

Hapa tunaongelea BUSEGA YETU mijitu mingine sihasa tuuuu
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Wazo lake ni zuri na nafikiri alilliwakilisha sehemu husika ,assume Masele ni marehemu ,je ingekuaje ?,kama anaipenda nchi yake na ni mzalendo wa kweli akabidhi mpango kazi serikalini
 
Honestly hata Mimi nilishngaa
But hata kama sio Simiyu basi popote wachague..Arusha au selous..au Dar popote
Idea hii tukiweza tutakua mbali sana..

Naona South Africa Wana advantage juu yetu
Nilishangaa kusikia Dubai wali shindwana na Disneyland..

Mkuu $10b au ulisikia/kusoma vibaya? Nadhani hatujawahi kuwa na mradi wa pesa hizo hapa nchini, labda bandari ya bagamoyo kama ingefanikiwa. Na ilikuwa iwe mradi wa nini? Nahisi zilikuwa story za kitapeli. Mradi wa pesa kama hiyo hapa kwetu unaweza kutekelezwa tu iwapo mwenye hilo wazo ni rais.
 
unashadadia ushoga !! wewe ni shoga??

Hapa tunaongelea BUSEGA YETU mijitu mingine sihasa tuuuu

Tunazunguzia mambo ya msingi acha kuleta mizaha. Mradi ambao karibia ni mara mbili ya akiba ya fedha za kigeni uwekezwe na Wamarekani Watu ambao haki za bibadsmu kwao ni pamoja na ushoga, uhuru usio na mipaka wala staha wala heshima, kwa jina la liberty,. Kumbuka Wanajeshi waliofanya mapinduzi Mali asilimia kubwa wamepewa mafunzo USA. Nchi ambayo inawashwa washwa na mambo yetu ya ndani, ina mamluki tayari humu yuko mmoja anaandamana na huyu mgombea wao anaitwa Daudi Mjumbe sijui.

Such a huge investiment needs a proper government scrutinize. Sasa wewe unaingiza matusi kwenye mambo ya msingi kwa Taifa.
If you are not part of solution you are part of problem. Kazi yenu ni kubeza kila kitu serikali inachofanya.
 
Mkuu $10b au ulisikia/kusoma vibaya? Nadhani hatujawahi kuwa na mradi wa pesa hizo hapa nchini, labda bandari ya bagamoyo kama ingefanikiwa. Na ilikuwa iwe mradi wa nini? Nahisi zilikuwa story za kitapeli. Mradi wa pesa kama hiyo hapa kwetu unaweza kutekelezwa tu iwapo mwenye hilo wazo ni rais.

Huyo mkuu @earhtmover anaujua vizuri
Upo wizarani mkuu
Au pitia IPP media uone wameandika mradi WA TSH trillion 6...
So huu mradi upo kabisa RC Mtaka anaujua..
So swala hapa wala sio porojo..umekwama wizarani
.
 
Huyo mkuu @earhtmover anaujua vizuri
Upo wizarani mkuu
Au pitia IPP media uone wameandika mradi WA TSH trillion 6...
So huu mradi upo kabisa RC Mtaka anaujua..
So swala hapa wala sio porojo..umekwama wizarani
.

$10b ni trilioni 22 na sio trillioni 6 kaka. Hapa ndio nikawa na shaka na hiyo figure. Maana nakumbuka Greece uchumi wake ulikwama wakati fulani, na wakawa wanasaka $8b ili kuusisimua. Hivyo hiyo figure ikanitisha.
 
Wazo la Masele ni la kijinga sana Magufuli hana muda wa mwekezaji kuja kuwekeza mabembea

Watanzania wanatakiwa wachape kazi kama kauli mbiu inavyosema

Ujinga ni mzigo mzito sana. Sijui hata unafahamu kiasi cha uwekezaji na mapato ya disneyland. Ungeujua usingeona ni mabembea tu.

Ubaya ni kuamini kuwa entertainment sio kazi. Unaona kazi ni kulima, kubeba mizigo kichwani, bodaboda, mamantilie nk. Entertainment ni industry kubwa sana!!! Sana!! Unajua film festival ya Zanzibar huleta fedha kiasi gani??

Wonders shall never end! Duh!!
 
Mawazo mengine ni hadithi za Bulicheka, labda wajenge kwa ajili ya wabongo.
 
Back
Top Bottom