Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

Tunazunguzia mambo ya msingi acha kuleta mizaha. Mradi ambao karibia ni mara mbili ya akiba ya fedha za kigeni uwekezwe na Wamarekani Watu ambao haki za bibadsmu kwao ni pamoja na ushoga, uhuru usio na mipaka wala staha wala heshima, kwa jina la liberty,. Kumbuka Wanajeshi waliofanya mapinduzi Mali asilimia kubwa wamepewa mafunzo USA. Nchi ambayo inawashwa washwa na mambo yetu ya ndani, ina mamluki tayari humu yuko mmoja anaandamana na huyu mgombea wao anaitwa Daudi Mjumbe sijui.

Such a huge investiment needs a proper government scrutinize. Sasa wewe unaingiza matusi kwenye mambo ya msingi kwa Taifa.
If you are not part of solution you are part of problem. Kazi yenu ni kubeza kila kitu serikali inachofanya.
Wakenya wakiona mchango wako huu WANASHANGILIA ... tell them we are moving
 
Ujinga ni mzigo mzito sana. Sijui hata unafahamu kiasi cha uwekezaji na mapato ya disneyland. Ungeujua usingeona ni mabembea tu.

Ubaya ni kuamini kuwa entertainment sio kazi. Unaona kazi ni kulima, kubeba mizigo kichwani, bodaboda, mamantilie nk. Entertainment ni industry kubwa sana!!! Sana!! Unajua film festival ya Zanzibar huleta fedha kiasi gani??

Wonders shall never end! Duh!!
Mkuu mhurumie
 
5A7B42F9-0D87-4418-B87A-0CE9FF187D08.jpeg


How Much Do Disneyland Tickets Cost? | Disneyland Resort

Mambo mengine embu tufikirie kidogo Disney waje kuwekeza Tanzania (au nchi yoyote Africa) kwa hela gani watu walizonazo yakuweza kufanya biashara mwaka mzima. Ticket tu zinaanzia $200 per head.
 
Kwa hiyo?
Vitu vingine uitaji kufikiria sana hawa watu marketing research ni sehemu kubwa ya investment decisions zao hakuna segment ya kuwekeza Disney Africa sio Tanzania tu.

Hata huko kwao uwezi kukuta ‘Ralph Lauren’ anafungua duka maeneo ambayo watu mishahara yao below 30K. Hayo maduka utakuta posh areas.

Disney yenyewe asilimia kubwa ya wateja wake ni middle class families za Europe na US sio walalahoi wakizungu.
 
Vitu vingine uitaji kufikiria sana hawa watu marketing research ni sehemu kubwa ya investment decisions zao hakuna segment ya kuwekeza Disney Africa sio Tanzania tu.

Hata huko kwao uwezi kukuta ‘Ralph Lauren’ anafungua duka maeneo ambayo watu mishahara yao below 30K.

Unaamini watakuja kujenga Kwa Ku target watanzania?
Kwahiyo Disneyland Paris target ni wafaransa?..

Why mnapenda ongea vitu hamvijui vizuri?
 
Unaamini watakuja kujenga Kwa Ku target watanzania?
Kwahiyo Disneyland Paris target ni wafaransa?..

Why mnapenda ongea vitu hamvijui vizuri?
Paris inawakazi 2.5 million na inapokea 30 million tourist. Ipo karibu na Germany, Italy, UK, Switzerland; raia wa nchi zote hizo kwenda na kurudi Paris on a day business trip ni jambo la kawaida.

Achilia mbali swala la kwenda kula wknd na kurudi jumatatu asubuhi straight to work.

In other words Paris strategically is Europe epicentre kwa segment wanayoitaka na aina ya wateja wenye uwezo.

Watu awakurupuki asubuhi tu na kujifanyia mambo, kama unavyofikiria.
 
Mkuu $10b au ulisikia/kusoma vibaya? Nadhani hatujawahi kuwa na mradi wa pesa hizo hapa nchini, labda bandari ya bagamoyo kama ingefanikiwa. Na ilikuwa iwe mradi wa nini? Nahisi zilikuwa story za kitapeli. Mradi wa pesa kama hiyo hapa kwetu unaweza kutekelezwa tu iwapo mwenye hilo wazo ni rais.

I beg to differ Chief!!

Jamani tusijidharau!!

Nakumbuka kauli pendwa ya Mwalimu JKN “Uwezo tunao, Nia tunayo, Nguvu kazi tunayo!”

Tujitoe kimasomaso tusonge mbele!! Inawezekana!
 
Paris inawakazi 2.5 million na inapokea 30 million tourist. Ipo karibu na Germany, Italy, UK, Switzerland; raia wa nchi zote hizo kwenda na kurudi Paris on a day business trip ni jambo la kawaida.

Achilia mbali swala la kwenda kula wknd na kurudi jumatatu asubuhi straight to work.

In other words Paris strategically is Europe epicentre kwa segment wanayoitaka na aina ya wateja wenye uwezo.

Watu awakurupuki asubuhi tu na kujifanyia mambo, kama unavyofikiria.

Wewe mbona unakurupuka?
Umeambiwa hili wazo ni ni langu?
Why uko bize kunijibu?Wakati hadi link zimetolewa humu?.

Why unaongea vitu hujui? Aliekwambia hao
Disney watakuja bila kufanya research nani?
Aliekwambia wao wana target watanzania nani?
Aliekwambia Tanzania haiwezi kupokea watalii zaidi ya waliopo sasa nani?

Punguza ujuaji
 
Huyo mkuu @earhtmover anaujua vizuri
Upo wizarani mkuu
Au pitia IPP media uone wameandika mradi WA TSH trillion 6...
So huu mradi upo kabisa RC Mtaka anaujua..
So swala hapa wala sio porojo..umekwama wizarani
.
Ukitaka ukweli wa kitu kama hiki hutaukuta IPP Media au Wizarani. Nenda kaangalie kwenye tovuti ya Walt Disney Company ambako bila shaka wangeiweka kama ipo kwenye mipango yao. Hamna kitu kama hicho. Aidha, inabidi ujiulize kwa nini mtalii atoke Marekani kuja kumuangalia Mickey Mouse na Donald Duck? Aje kute huku na familia yake na apoteze siku kama mbili kutembelea kitu ambacho amekiacha kwao badala ya kutumia muda huo kwenda Serengeti au Ngorongoro?
Huu mradi ni wa kitapeli kama ule ambao jamaa waliokuwa na kikampuni cha kufua nguo Marekani walivyotuuzia mitambo ya kufua umeme!

Hamna kitu hapa.

Amandla...
 
Tunazunguzia mambo ya msingi acha kuleta mizaha. Mradi ambao karibia ni mara mbili ya akiba ya fedha za kigeni uwekezwe na Wamarekani Watu ambao haki za bibadsmu kwao ni pamoja na ushoga, uhuru usio na mipaka wala staha wala heshima, kwa jina la liberty,. Kumbuka Wanajeshi waliofanya mapinduzi Mali asilimia kubwa wamepewa mafunzo USA. Nchi ambayo inawashwa washwa na mambo yetu ya ndani, ina mamluki tayari humu yuko mmoja anaandamana na huyu mgombea wao anaitwa Daudi Mjumbe sijui.

Such a huge investiment needs a proper government scrutinize. Sasa wewe unaingiza matusi kwenye mambo ya msingi kwa Taifa.
If you are not part of solution you are part of problem. Kazi yenu ni kubeza kila kitu serikali inachofanya.

Nakunukuu Chief;...

“Such a huge investment needs a ‘proper’ government scrutinization “ (nimesahihisha hapo mwisho)

Sasa Chief, tunarudi pale pale,......

Serikali haina budi kutengeza mifumo na misingi sahihi ya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuweka sheria rasmi na muhimu (non avoidable facts) kwa ajili ya wawekezaji bila kujali wanatoka wapi na masharti yao ni Yapi katika kuteka uwekezaji wao!

As a Citizen of the World, kila taifa lisimamie Sheria na kanuni za nchi yake (Taifa lake) bila kuyumba ama bila “kugawa” upendeleo!
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..

Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Ndizo athari za utawala wa sheria kutofuatwa. Mwanzoni mliona zinawafeva ila leo zinawakaba
 
Ukitaka ukweli wa kitu kama hiki hutaukuta IPP Media au Wizarani. Nenda kaangalie kwenye tovuti ya Walt Disney Company ambako bila shaka wangeiweka kama ipo kwenye mipango yao. Hamna kitu kama hicho. Aidha, inabidi ujiulize kwa nini mtalii atoke Marekani kuja kumuangalia Mickey Mouse na Donald Duck? Aje kute huku na familia yake na apoteze siku kama mbili kutembelea kitu ambacho amekiacha kwao badala ya kutumia muda huo kwenda Serengeti au Ngorongoro?
Huu mradi ni wa kitapeli kama ule ambao jamaa waliokuwa na kikampuni cha kufua nguo Marekani walivyotuuzia mitambo ya kufua umeme!

Hamna kitu hapa.

Amandla...

Hawawezi weka tangazo Kwa project ambayo iko Kwenye drawing boards
 
Wewe mbona unakurupuka?
Umeambiwa hili wazo ni ni langu?
Why uko bize kunijibu?Wakati hadi link zimetolewa humu?.

Why unaongea vitu hujui? Aliekwambia hao
Disney watakuja bila kufanya research nani?
Aliekwambia wao wana target watanzania nani?
Aliekwambia Tanzania haiwezi kupokea watalii zaidi ya waliopo sasa nani?

Punguza ujuaji
Wewe ndio umeanza kuni quote sio mimi.

Mie nimechangia post tu

Angalia kwanza annnual visitors wa Paris Disneyland on average ni karibu laki nane kwa mwezi.

Hawa watu wanataka outside dining many expect to find Michelin Star restaurants.
Kutembelea culture attraction
Theatres
Kwa sababu ni middle class wanategemea kulala at least 3 stars hotels
Wanategemea robust transportation system from point A to B
You got to understand your customers taste.

Ndio maana unaona huko mbugani hotel zao ni za hadhi kwa sababu mzungu anaekuja Tanzania most likely ana kazi nzuri huko kwao.

To name a few sio kwamba najifanya mjuaji it’s a reality check.
 
View attachment 1545268

How Much Do Disneyland Tickets Cost? | Disneyland Resort

Mambo mengine embu tufikirie kidogo Disney waje kuwekeza Tanzania (au nchi yoyote Africa) kwa hela gani watu walizonazo yakuweza kufanya biashara mwaka mzima. Ticket tu zinaanzia $200 per head.

Chief! Are you really serious??

Yani una quote bei za America na kuzifananisha na mradi unaoombwa kuwepo Simiyu??

Hebu google search Japan entrance into their “Japan Disney World””!

Halafu turudi hapa! Hivi kweli you think that these “Walt Disney” pips wamekurupuka kwamba they really want this area(Simiyu) for investments??
 
Back
Top Bottom