Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

According to hao matapeli kutoka Singapore mradi ulikuwa uanze mapema mwaka huu with an initial investment of 500 million US na ufunguliwe within 2 years. This is beyond unachoweza kuita kuwa kwenye drawing boards. Na ujue kuwa kwa Walt Disney any prospective project ina impact kwenye value ya shares zao na kuwaongezea uwezo wa kuinvest. Wasingekaa kimya mpaka August kwa mradi uliotakiwa ku take miezi sita iliyopita. International Matapeli wanatujua tunavyopenda sifa za kijinga na tusivyopenda kufanya due dilligence hivyo wanatuletea miradi kama hii ya Ali Nacha. This project stinks to the high heavens na tunatakiwa tuuepuke kama ukoma.

Amandla...


Duh basi hatari
 
Chief!

“Baba” unless uniambie uko na affiliations na hawa “DisneyWorld”, kamwe sitokuelewa!!

Kwamba wewe ndio “Fixer of last resorts!!!?”

Naomba niendelee kuwa Maamuma (mjinga) katika hoja yako!

Otherwise we have seen larger investors with larger investments katika nchi maskini kuliko JMT!!

I ain’t taking your point as the general view!
Who do you know as invested $10billion in service/tourism industry in any Africa nation not just Tanzania?
 
Who do you know as invested $10billion in service/tourism industry in any Africa nation not just Tanzania?

Ungesoma thread yote ungejua kuna sehemu nimerekebisha ..
Walisema TSH trillion 6
 
Chief it’s like this ;....

Tanzania contains some 20 percent of the species of Africa’s large mammal population, found across its reserves, conservation areas, marine parks, and 17 national parks, spread over an area of more than 42,000 square kilometres (16,000 sq mi) and forming approximately 38 percent of the country's territory.[1][2]

Wildlife resources of Tanzania are described as "without parallel in Africa" and "the prime game viewing country".

Serengeti National Park, the country's second largest national park area at 14,763 square kilometres (5,700 sq mi), is located in northern Tanzania and is famous for its extensive migratory herds of wildebeests and zebra while also having the reputation as one of the great natural wonders of the world.

The Ngorongoro Conservation Area, established in 1959, is a UNESCO World Heritage Site[3] and inhabited by the Maasai people.[4] Its Ngorongoro Crater is the largest intact caldera in the world.[5][6]

The national parks are also part of the wetlands of Tanzania.

The wild animals tend to be closer to the wetlands, particularly the water loving species such as the hippopotamus, waterbuck, common warthog, elephant, crocodile, sitatunga as well as water birds such as flamingoes and ducks.[7]

Hapo juu ni kwa mujibu wa “wikipedia “!


Niulize tu swali la kijinga?!? ;.....

Simiyu iko maeneo gani hapa Tz? And East Africa in general!?
Have you ever heard the concept of marketing scanning and how it’s done you got to have that knowledge before you know what to google kwenye swali nililo kuuliza.

Wenye kulielewa swali langu na ulichojibu watanielewa nikikwambia usiku mwema.

Ulitakiwa kuja na size ya watu wenye income inayoweza mudu bei za Disney, tutoke huko tuamie how many of those can access simiyu easily na kuendelea na mambo mengine mpaka tuitimushe kuna justification ya kuwekeza $10 billion.

Uwa nafurahi kujiamini kwenu yaani mtu anaweza mwambia mwenzake ana google vitu wakati yeye mwenyewe ata basic knowledge ya discipline husika hana.

Alamski.
 
Huu mradi unanikumbusha wale wakenya waliotuahidi kuwa watanunua korosho yetu yote. Senior Ministers wakaenda kuwapokea na press conference ikawekwa ya kutangaza kuwa tumepata wakombozi wa tatizo letu la soko la korosho! Wako wapi sasa? A cursory Google search ingewaumbua kuwa ni mamishen town wa Mombasa. Na huu ni hivyo hivyo. Hakuna mtu atawasiliana na Walt Disney Company kutafuta ukweli mpaka hapo tutakapo jikuta tunachekwa na ulimwengu na investor kutoka Singapore atakapotambulika kuwa ni kijana wa Mburahati aliyefungua kijiofisi Singapore!

Mradi wa Kigamboni Satellite City uko wapi? Zile satellite cities kibao zilizokuwa zijengwe Arusha ziko wapi? Mradi wa daraja wa kuunganisha Bara na Zanzibar uko wapi? Lakini bado hatujifunzi.

Amandla....
 
Ungesoma thread yote ungejua kuna sehemu nimerekebisha ..
Walisema TSH trillion 6
Kwako wewe hiyo hela ni ndogo, listen hakuna hiyo business viability kwa product za Disney ndani ya africa nina uhakika huko Simiyu a majority of its inhabitants can’t name even 10 Disney characters; halafu Disney ndio wapeleke theme park huko.

There is a lot of thought which goes into investment decision kuliko unavyojiaminisha.
 
$10b ni trilioni 22 na sio trillioni 6 kaka. Hapa ndio nikawa na shaka na hiyo figure. Maana nakumbuka Greece uchumi wake ulikwama wakati fulani, na wakawa wanasaka $8b ili kuusisimua. Hivyo hiyo figure ikanitisha.
Mwaka 2018 Tanzania ilikuwa na GDP ya 58 bilion USD.

Sasa 10 billion USD ni kama a sixth of that.

A sixth of GDP kwenye kamradi kamoja hata hakaeleweki ROI itakuwaje?
 
Kwako wewe hiyo hela ni ndogo, listen hakuna hiyo business viability kwa product za Disney ndani ya africa nina uhakika huko Simiyu a majority inhabitants can’t name even 10 Disney characters; halafu Disney ndio wapeleke theme park huko.

There is a lot of thought which goes into investment decision kuliko unavyojiaminisha.
Again nakuuliza unafikiri soko walilo target ni watanzania?
Hawawezi weka theme park Kwa Ku target watalii?.
 
Again nakuuliza unafikiri soko walilo target ni watanzania?
Hawawezi weka theme park Kwa Ku target watalii?.
Watalii kutoka wapi? Kenya? Uganda? Rwanda? Zambia? Wote wachovu. Kutoka Ulaya? Waache kwenda Paris waje kwetu?

Amandla...
 
Again nakuuliza unafikiri soko walilo target ni watanzania?
Hawawezi weka theme park Kwa Ku target watalii?.
Average cost ya kuja kutalii Tanzania ni kama $2500 tuseme labda na Disney ni kama $1000 a family is buying day tickets.

Kutokana na data ulizonazo how many people kwa sasa wansokuja Tanzania wapo kwenye hilo kundi ($2500 per head * 4) for a family trip + $1000 of disney? Muulize mtu yeyote anaeshi ulaya atakwambia hiyo ni familia inayojiweza kweli.
 
Watalii kutoka wapi? Kenya? Uganda? Rwanda? Zambia? Wote wachovu. Kutoka Ulaya? Waache kwenda Paris waje kwetu?

Amandla...
Wanafikiria kwa namna ya built it and they will come. As if investment decision are that simple.
 
Average cost ya kuja kutalii Tanzania ni kama $2500 tuseme labda na Disney ni kama $1000 assuming a family is buying day tickets.

Kutokana na data ulizonazo how many people kwa sasa wansokuja Tanzania wapo kwenye hilo kundi $3500?
Again Una base current climate..
South Africa wanapokea watalii milioni 10.kila mwaka..
Disney yenyewe ni attraction ya kuvuta watalii zaidi ya milioni 10..
Why unauliza maswali based na data zilizopo?
 
Again Una base current climate..
South Africa wanapokea watalii milioni 10.kila mwaka..
Disney yenyewe ni attraction ya kuvuta watalii zaidi ya milioni 10..
Why unauliza maswali based na data zilizopo?
Because you use existing data to make business decision, market targeting and income projections.

Ndio maana ukitaka data za maana ukienda kwenye marketing research firms kuna data unaweza nunua mpaka $1000.

Usiku mwema
 
Japo kuwa siijui hiyo maana ya "utopolo" ila ninakutunuku kwa lugha yangu... " Wee jamaa lofindo kabisa"

Muombe Nyani akutafsirie kwa kutumia kwa kutumia kamusi ya kisukuma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unyelile, ntombanebhe [emoji23][emoji23]
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..

Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..

Disney Land ni Bab kubwa, na Africa hatuna Disney Land I have been to Disneyland Paris and Orlando Florida I understand unachoomanisha wageni kutoka nchi mbali mbali Duniani uwa wanajaa kwenye hizo parks nikisema watu uwa wanajaa sijui nieleze nini labda nitolee mfano Taifa inavyojaa kwenye Mechi za Simba na yanga

Kama ni kweli sijui wanachelewesha nini, hiyo ilikua ni fursa sio ya kuiacha wala kuchelewesha hata kidogo
 
Back
Top Bottom