Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake



Duh basi hatari
 
Who do you know as invested $10billion in service/tourism industry in any Africa nation not just Tanzania?
 
Who do you know as invested $10billion in service/tourism industry in any Africa nation not just Tanzania?

Ungesoma thread yote ungejua kuna sehemu nimerekebisha ..
Walisema TSH trillion 6
 
Have you ever heard the concept of marketing scanning and how it’s done you got to have that knowledge before you know what to google kwenye swali nililo kuuliza.

Wenye kulielewa swali langu na ulichojibu watanielewa nikikwambia usiku mwema.

Ulitakiwa kuja na size ya watu wenye income inayoweza mudu bei za Disney, tutoke huko tuamie how many of those can access simiyu easily na kuendelea na mambo mengine mpaka tuitimushe kuna justification ya kuwekeza $10 billion.

Uwa nafurahi kujiamini kwenu yaani mtu anaweza mwambia mwenzake ana google vitu wakati yeye mwenyewe ata basic knowledge ya discipline husika hana.

Alamski.
 
Huu mradi unanikumbusha wale wakenya waliotuahidi kuwa watanunua korosho yetu yote. Senior Ministers wakaenda kuwapokea na press conference ikawekwa ya kutangaza kuwa tumepata wakombozi wa tatizo letu la soko la korosho! Wako wapi sasa? A cursory Google search ingewaumbua kuwa ni mamishen town wa Mombasa. Na huu ni hivyo hivyo. Hakuna mtu atawasiliana na Walt Disney Company kutafuta ukweli mpaka hapo tutakapo jikuta tunachekwa na ulimwengu na investor kutoka Singapore atakapotambulika kuwa ni kijana wa Mburahati aliyefungua kijiofisi Singapore!

Mradi wa Kigamboni Satellite City uko wapi? Zile satellite cities kibao zilizokuwa zijengwe Arusha ziko wapi? Mradi wa daraja wa kuunganisha Bara na Zanzibar uko wapi? Lakini bado hatujifunzi.

Amandla....
 
Ungesoma thread yote ungejua kuna sehemu nimerekebisha ..
Walisema TSH trillion 6
Kwako wewe hiyo hela ni ndogo, listen hakuna hiyo business viability kwa product za Disney ndani ya africa nina uhakika huko Simiyu a majority of its inhabitants can’t name even 10 Disney characters; halafu Disney ndio wapeleke theme park huko.

There is a lot of thought which goes into investment decision kuliko unavyojiaminisha.
 
$10b ni trilioni 22 na sio trillioni 6 kaka. Hapa ndio nikawa na shaka na hiyo figure. Maana nakumbuka Greece uchumi wake ulikwama wakati fulani, na wakawa wanasaka $8b ili kuusisimua. Hivyo hiyo figure ikanitisha.
Mwaka 2018 Tanzania ilikuwa na GDP ya 58 bilion USD.

Sasa 10 billion USD ni kama a sixth of that.

A sixth of GDP kwenye kamradi kamoja hata hakaeleweki ROI itakuwaje?
 
Again nakuuliza unafikiri soko walilo target ni watanzania?
Hawawezi weka theme park Kwa Ku target watalii?.
 
Again nakuuliza unafikiri soko walilo target ni watanzania?
Hawawezi weka theme park Kwa Ku target watalii?.
Watalii kutoka wapi? Kenya? Uganda? Rwanda? Zambia? Wote wachovu. Kutoka Ulaya? Waache kwenda Paris waje kwetu?

Amandla...
 
Again nakuuliza unafikiri soko walilo target ni watanzania?
Hawawezi weka theme park Kwa Ku target watalii?.
Average cost ya kuja kutalii Tanzania ni kama $2500 tuseme labda na Disney ni kama $1000 a family is buying day tickets.

Kutokana na data ulizonazo how many people kwa sasa wansokuja Tanzania wapo kwenye hilo kundi ($2500 per head * 4) for a family trip + $1000 of disney? Muulize mtu yeyote anaeshi ulaya atakwambia hiyo ni familia inayojiweza kweli.
 
Watalii kutoka wapi? Kenya? Uganda? Rwanda? Zambia? Wote wachovu. Kutoka Ulaya? Waache kwenda Paris waje kwetu?

Amandla...
Wanafikiria kwa namna ya built it and they will come. As if investment decision are that simple.
 
Average cost ya kuja kutalii Tanzania ni kama $2500 tuseme labda na Disney ni kama $1000 assuming a family is buying day tickets.

Kutokana na data ulizonazo how many people kwa sasa wansokuja Tanzania wapo kwenye hilo kundi $3500?
Again Una base current climate..
South Africa wanapokea watalii milioni 10.kila mwaka..
Disney yenyewe ni attraction ya kuvuta watalii zaidi ya milioni 10..
Why unauliza maswali based na data zilizopo?
 
Again Una base current climate..
South Africa wanapokea watalii milioni 10.kila mwaka..
Disney yenyewe ni attraction ya kuvuta watalii zaidi ya milioni 10..
Why unauliza maswali based na data zilizopo?
Because you use existing data to make business decision, market targeting and income projections.

Ndio maana ukitaka data za maana ukienda kwenye marketing research firms kuna data unaweza nunua mpaka $1000.

Usiku mwema
 
Japo kuwa siijui hiyo maana ya "utopolo" ila ninakutunuku kwa lugha yangu... " Wee jamaa lofindo kabisa"

Muombe Nyani akutafsirie kwa kutumia kwa kutumia kamusi ya kisukuma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unyelile, ntombanebhe [emoji23][emoji23]
 

Disney Land ni Bab kubwa, na Africa hatuna Disney Land I have been to Disneyland Paris and Orlando Florida I understand unachoomanisha wageni kutoka nchi mbali mbali Duniani uwa wanajaa kwenye hizo parks nikisema watu uwa wanajaa sijui nieleze nini labda nitolee mfano Taifa inavyojaa kwenye Mechi za Simba na yanga

Kama ni kweli sijui wanachelewesha nini, hiyo ilikua ni fursa sio ya kuiacha wala kuchelewesha hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…