Mama yake Junior
Member
- Oct 17, 2020
- 17
- 26
Nakosa la kusema tu lkn tumuombee tu rais wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli jamaa yangu na sasa yameongezeka mpaka yanajisahaukldfjifjiv dkdskdsfif klwqjkjieo wejknfjkefw
dskfekg lkkkl lkmwkj jm kdmklsjkfd kdfnfijewin;eowjgeer
fd;eglr
3p-5489fmfknewiuirhej
fb.;dllopip klejeoiuoi43i3pk4elfd;krepoirewpo
df']p[epoe
Wakati mwingine tunalazimika kuandika maneno yasiyo eleweka ili tusieleweke na majamaa.
Jamaa muongo wa mchana kweuoeMagufuli muongo halafu hana kumbukumbu.
Leo anaweza kukuambia maendeleo hayajali vyama, halafu kesho akakwambia nileteeni Gwajima msiponiletea siwaletei maendeleo.
Ndo tafsiri yake ya moja kwa moja....one man showKwa hiyo Magufuli ndiye mjumbe mkuu wa kupitisha na kukata watu?
Na kama kumpitisha mtu ni kutomchukia, kutompitisha ni kumchukia?
Maana katika kujibu swali hili kazua swali jingine.
Wale ambao hajawapitisha kama kina Bashite na Adadi Rajabu, tena kwa Adadi Rajabu alikuwa incumbent, hao anawachukia?
Bora anayeumwa sleeping sicknessMagufuli sio muongo. Anachokifanya ni kujiona yeye ana akili nyingi kuliko watu wote na anaweza kuwaambia kitu chochote wakati wowote na watu wakamuamini na kumshangilia.
Anachofanya hiki ni zaidi ya uongo na wala sio usahaurifu. Huu ni ugonjwa
Huyu baba mnafiki sanaRais Magufuli amesema kuna watu wanadai anamchukia Mrisho Gambo na kwamba alimfukuza kazi ya mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hiyo siyo kweli..
Kuku anakula ulezi unampiga anakimbia ....gafla anarudi leo kashasahau anafikiri ulimfukuza janaanasahau fasta kama kuku
Akili zenu matope tu!Mmekosa hoja kabisa mnaishia kubwabwaja hovyo tu hapa!Yes, kama wewe unavyoaminishwa na kuharalishiwa ushoga - endeleeni maadamu hambebishani ujauzito
Huna akili timamu,mtu mmoja anakuwa na ndimi mbili!Yaani kweli ubongo wako ndio umeishia hapo?Wewe ni hasara!Tukuamini wewe au Rais aliyesema au? Nenda zako na uelewa wako!
Kura hazipigwi mitandaoni subiri tarehe 29 mchana moshi mweupe utakuwa unarindima pale jiji ,ccm tunajambo letu haujajua nguvu ya ccm bado ?atutaki malalamiko kuanzia tarehe 29Kama Mrisho Gambo atanyimwa kura na watu wa Arusha anapaswa kumlaumu Magufuli.
Kama kuna mtu anadhani Magufuli amemfanyia kampeni Gambo ukweli ni kwamba amemuharibia na wananchi wataamini hawa wote wawili ni waongo na matapeli watupu.
Lema anakwenda kuwamaliza na clip za nyuma halafu atawawekea hii ya leo, kura zitakapopigwa mtakumbuka maandishi yangu.
Huyu mzee sijui ana matatizo gani huwa sielewi kabisa.