Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadhani watz wana vichwa vya panzi.Hili li ubongo likoje. Si alisema yeye mwenyewe amemfukuza kwa vile wanatunishiana misuli na DC
Aibu sana hii!Tujiulize huwa anadanganya manngapi?
Daaah! Hapa unadhihirisha uongo wa jamaa ukihisi unamteteaEti pole tz! Pole wewe tz iache hivi hivi.
Kwa akili yako ulifikiri kinx Gambo wamefukuzwa?
Ndio maana tukiwaambia acheni kushobokoea mambo yanayotokea ccm hamsikii. Matokeo yake kama hivi kina Membe wanawachezesha kwata.
Mbona 'Uraya'. Kikwete alituweza walahi.2018" Sijawahi fika Uraya wara Marekani na sina mpango wa kwenda"
2020 "Masters nirifanyia uraya Salford pale na Marekani na Canada nirifika mpaka niripewa kuwa co-chairman"
Cc:Tanzania ya Viwonder& Matokeo Chanya
njia ya muongo ni fupi😂😂Hili li ubongo likoje. Si alisema yeye mwenyewe amemfukuza kwa vile wanatunishiana misuli na DC
Magufuli siyo muongo bali something is very wrong in his upstairs! Ni zaidi ya uongo. Hivi hamshangai mtu anajiiya ni Phd holder halafu anakuwa na matendo ya kishamba namna hii? Lugha yenyewe aliyotumia kusoma ya kiingereza haijui! Huyu jamaa ni janga. Anatumia upole wa watanzania kufanya apendavyo.Hakyanani baba Muongo aisee.😂😂😂😂
Tuna Rais muongo kuliko Uongo wenyewe. Kichwani ni zero kabisa. Sasa anafikiri watu wote wana ubongo kama wake. Aache kutufananisha na wale Vilaza wake Polepole na yule Murundi mwenziye.
Anamchukia Kangi,Chenge ,Mwakyembe na wengineo [emoji23][emoji23]Kwa hiyo Magufuli ndiye mjumbe mkuu wa kupitisha na kukata watu?
Na kama kumpitisha mtu ni kutomchukia, kutompitisha ni kumchukia?
Maana katika kujibu swali hili kazua swali jingine.
Wale ambao hajawapitisha kama kina Bashite na Adadi Rajabu, tena kwa Adadi Rajabu alikuwa incumbent, hao anawachukia?
Nakumbuka maneno ya marehemu ruge ogopa sana technogy ni mbaya sana angalia mzee wetu anaumbuka hapaMuongo sana huyu mzee halafu msahaulifu.View attachment 1609479View attachment 1609480
Itakuwa wamembwenga sana alivyokuwa mtoto, sasa analipiza kisasi.Kutesa kwa zamu.Anamchukia Kangi,Chenge ,Mwakyembe na wengineo [emoji23][emoji23]
Huyu mzee ana shida kubwa sana ya ubinafsi
Strategically jimbo la Arusha linatakiwa na CCM na inawezekana alipewa ukuu wa mkoa kama maandalizi ya kuja kuchukua Jimbo who knows... Siasa ni mikakati iwe ni kwa njia chafu au safi itategemea mazingira.. ukiwa umesoma political science utanielewa kwa haraka.... Chadema wanapaswa kulijua hilo na nitashangaa ikiwa hawakulitamhua mapema.Ukiachana na uongo wa Meko wa mchana kweupe, hivi huyo Gambo aliyeshindwa kuiokoa Arusha akiwa mkuu wa mkoa mzima leo aweze akiwa mbunge wa kajimbo kamoja?
Strategically jimbo la Arusha linatakiwa na CCM na inawezekana alipewa ukuu wa mkoa kama maandalizi ya kuja kuchukua Jimbo who knows... Siasa ni mikakati iwe ni kwa njia chafu au safi itategemea mazingira.. ukiwa umesoma political science utanielewa kwa haraka.... Chadema wanapaswa kulijua hilo na nitashangaa ikiwa hawakulitamhua mapema.