Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Ningekuwa mpiga kura huko Arusha nangoja ushahidi gani mwingine murua, tena matata kabisa wa kubadili maamuzi ya wapi nipigie kura kama sio hiyo kauli kuhusu RC alifukuzwa au hakufukuzwa!
 
kldfjifjiv dkdskdsfif klwqjkjieo wejknfjkefw
dskfekg lkkkl lkmwkj jm kdmklsjkfd kdfnfijewin;eowjgeer
fd;eglr
3p-5489fmfknewiuirhej
fb.;dllopip klejeoiuoi43i3pk4elfd;krepoirewpo
df']p[epoe
Wakati mwingine tunalazimika kuandika maneno yasiyo eleweka ili tusieleweke na majamaa.
 
Magufuli anadhani anawazidi watanzania wote akili wakati ni mbulura tu.
 
Eti pole tz! Pole wewe tz iache hivi hivi.

Kwa akili yako ulifikiri kinx Gambo wamefukuzwa?

Ndio maana tukiwaambia acheni kushobokoea mambo yanayotokea ccm hamsikii. Matokeo yake kama hivi kina Membe wanawachezesha kwata.
Daaah! Hapa unadhihirisha uongo wa jamaa ukihisi unamtetea
 
Huyu jamaa ni misheni town
IMG_20201023_193853.jpg
 
2018" Sijawahi fika Uraya wara Marekani na sina mpango wa kwenda"

2020 "Masters nirifanyia uraya Salford pale na Marekani na Canada nirifika mpaka niripewa kuwa co-chairman"

Cc:Tanzania ya Viwonder& Matokeo Chanya
Mbona 'Uraya'. Kikwete alituweza walahi.
 
Hakyanani baba Muongo aisee.😂😂😂😂
Magufuli siyo muongo bali something is very wrong in his upstairs! Ni zaidi ya uongo. Hivi hamshangai mtu anajiiya ni Phd holder halafu anakuwa na matendo ya kishamba namna hii? Lugha yenyewe aliyotumia kusoma ya kiingereza haijui! Huyu jamaa ni janga. Anatumia upole wa watanzania kufanya apendavyo.
 
Ana Pihechi dii.

Ndio kipimo cha akili Tanzania.

Labda sisi ndio hatuna akili ya kuelewa anachokisema.

Wenye pihechi dii wenzie wamemuelewa vizuri sana.
Tuna Rais muongo kuliko Uongo wenyewe. Kichwani ni zero kabisa. Sasa anafikiri watu wote wana ubongo kama wake. Aache kutufananisha na wale Vilaza wake Polepole na yule Murundi mwenziye.
 
Sounds so selfish [emoji58][emoji58] ,kumbe huko ccm Kama mwenyekiti hamuelewani haupati nyadhifa hata Kama wajumbe wamekupitisha anakukatia yeye binafsi na hamna mtu atakutetea
 
Kwa hiyo Magufuli ndiye mjumbe mkuu wa kupitisha na kukata watu?

Na kama kumpitisha mtu ni kutomchukia, kutompitisha ni kumchukia?

Maana katika kujibu swali hili kazua swali jingine.

Wale ambao hajawapitisha kama kina Bashite na Adadi Rajabu, tena kwa Adadi Rajabu alikuwa incumbent, hao anawachukia?
Anamchukia Kangi,Chenge ,Mwakyembe na wengineo [emoji23][emoji23]

Huyu mzee ana shida kubwa sana ya ubinafsi
 
Anamchukia Kangi,Chenge ,Mwakyembe na wengineo [emoji23][emoji23]

Huyu mzee ana shida kubwa sana ya ubinafsi
Itakuwa wamembwenga sana alivyokuwa mtoto, sasa analipiza kisasi.Kutesa kwa zamu.

Hasara za kumbwenga mtoto mmoja tunalipia taifa zima.
 
Ukiachana na uongo wa Meko wa mchana kweupe, hivi huyo Gambo aliyeshindwa kuiokoa Arusha akiwa mkuu wa mkoa mzima leo aweze akiwa mbunge wa kajimbo kamoja?
Strategically jimbo la Arusha linatakiwa na CCM na inawezekana alipewa ukuu wa mkoa kama maandalizi ya kuja kuchukua Jimbo who knows... Siasa ni mikakati iwe ni kwa njia chafu au safi itategemea mazingira.. ukiwa umesoma political science utanielewa kwa haraka.... Chadema wanapaswa kulijua hilo na nitashangaa ikiwa hawakulitamhua mapema.
 
Strategically jimbo la Arusha linatakiwa na CCM na inawezekana alipewa ukuu wa mkoa kama maandalizi ya kuja kuchukua Jimbo who knows... Siasa ni mikakati iwe ni kwa njia chafu au safi itategemea mazingira.. ukiwa umesoma political science utanielewa kwa haraka.... Chadema wanapaswa kulijua hilo na nitashangaa ikiwa hawakulitamhua mapema.

Yah najaribu kukuelewa, unazungumza kitaalam ila ccm ni washamba na wanajua wamekataliwa na wapiga kura sehemu nyingi sana.

Hawana mkakati wowote wa maana wa kushinda uchaguzi kwa process ya free n fair election isipokuwa kwa wizi na matumizi ya mabavu.
 
Back
Top Bottom