Mjikusanye muende mtaa wa ufipa mwenyekiti wenu awaweke lockdownRais yupo lockdown anawaambia wananchi wake pigeni kazi. Alafu mazuzu yanashangilia. Kweli tunaangamia kwa upumbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda mwenyewe kapimweYe amekazania waliopona tuu.
Mbona hawatangazi idadi ya watu wanaofanyiwa vipimo?
Umesahau walipata ajali walale panapostahili, pengo lao linaonekanaMafundi mitambo wabobezi watakuwa Mlonganzila. Sasa hawa waliopo mitambo inawashinda.
Kabisa. IGP kapewa go a head. Kuwa makini kwenye magroup.Hii hotuba ya leo niko 50/50, kuna mahali nimeielewa na pengine sijaielewa.
Kitu muhimu tu cha kukumbushana na wapendwa wetu, tujichunge vitu tunavyoandika mitandaoni, na kwenye groups za WhatsApp.
Vita ya corona kwa namna moja ni kama inaelekezwa kwa watu wanaopinga au kukejeli hatua za serikali.
Unajua cheo cha huyu mzungumzaji mbali ya kuwa rais?Anataka kusemaje, mbona hiyo sekta ya jeshi la wananchi ni nzito sana kuzungumza nao huko ndani ndani chato
Sent using Jamii Forums mobile app
Inazidiwa na ya mkaka aliyekulockdown?
hilo joto linatosha kulainisha mifupa ya makongoro na unatafuna kama jojoNimecheka. Sasa mtu ujifukizie vapour above 100 itauua Coronavirus. Wanasayansi anaongea kitu ambacho hajakifanyia experiment.
My God wewe uko dunia gani management by objective haiko duniani ilishafutwa sasa hivi ni management by results kwa kutumia balance score card you are so outdated you stupid go back to schoolHii ndiyo tofauti kubwa kati ya MBWA na MBO. Yaani Management By Walking Around (MBWA) na Management By Objectives (MBO).
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtu kweli atabaki na ngozi? Au tumeona corona haitoshi sasa tunataka tuwachome kabisaMimi pia sijambo, namsikiliza scientist hapa anazungumzia vapour yenye above 100°C inavyoua corona.
mzee kajilockdown,anasikilizia tu huku nje kunaendajeKwani kuna ubaya gani akiongelea sebuleni kwake?
Yaani nilijiuliza huyu ni Rais ama ?Eti anashauri tujifukize kwa mvuke "Corona watakufa wenyewe",ngoja tusubiri hayo maelekezo ya namna ya kujifukiza kutoka wizarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna namna lazima watangaze, usipotangaza upewi msaadaTunakokwenda wizara ya afya wataogopa kutoa takwimu za wanaokufa na Coronavirus. Naona ushauri wa Mwigulu Nchemba umemgusa Rais.
Eti anashauri tujifukize kwa mvuke "Corona watakufa wenyewe",ngoja tusubiri hayo maelekezo ya namna ya kujifukiza kutoka wizarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi karne ya 17 naona...Jengo la umma vs Shambani Chato
mbona jiwe kasema never
Sasa itabidi wapike data. Hata mtu akifa kwa Coronavirus hatangazwi. Sasa kwa familia watasemaje ?Hakuna namna lazima watangaze, usipotangaza upewi msaada
Shida yako ni hotuba yake au sebule yake?..Chato kuna Ikulu ndogo?
..Butiama, Mkuranga, Lupaso, na Msoga hakuna ikulu ndogo.
..Ni kweli Mkapa alihutubia toka Uingereza. Lakini taifa lilikuwa linatambua kuwa anatibiwa. Na taifa halikuwa ktk hatari ya ugonjwa kama covid19.
..Jpm ana udhuru gani unaomlazimisha ahutubie taifa toka sebuleni, kijijini kwake?
Sio data hazikuwa sahihi wali skip za waliopona!!!!Wazee msio na haya wa bendera fuata upepo mmeanza kugeuka viuno angani kuanza kuunga mkono sasa kuwa data hazikuwa sahihi. Wakati baadhi ya watu wanalalamika data zinazotolewa sio halisi mliwazodoa mkiongozwa na mkuu wa mkoa wa Mzizima, sasa kama kawaida yenu jamaa kageuka na nyie ghafla mnageuka. Aibu sana hii, na ni kinyaa sana. .
Hebu kwa majasho yale yale na vibweka vile vile muulizeni mkuu anasema data ni za uongo, yeye kuna ndugu yake aliumwa akapona? Si mlikuwa mnasema anaebishia data aseme kama kuna ndugu yake aliumwa corona?