Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Una uhakika au unabwabwaja tu??Hakuna biashara iliyofungwa zaidi ya baadhi ya makanisa na misikiti nani afunge apate hasara? Tunafanya biashara Kama kawaida sijui huko ulipo wewe unaposema biashara zimefungwa ni wapi
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk