Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Hii hotuba ya leo niko 50/50, kuna mahali nimeielewa na pengine sijaielewa.

Kitu muhimu tu cha kukumbushana na wapendwa wetu, tujichunge vitu tunavyoandika mitandaoni, na kwenye groups za WhatsApp.

Vita ya corona kwa namna moja ni kama inaelekezwa kwa watu wanaopinga au kukejeli hatua za serikali.
Kabisa. IGP kapewa go a head. Kuwa makini kwenye magroup.
 
Hii ndiyo tofauti kubwa kati ya MBWA na MBO. Yaani Management By Walking Around (MBWA) na Management By Objectives (MBO).

Sent using Jamii Forums mobile app
My God wewe uko dunia gani management by objective haiko duniani ilishafutwa sasa hivi ni management by results kwa kutumia balance score card you are so outdated you stupid go back to school
 
Eti anashauri tujifukize kwa mvuke "Corona watakufa wenyewe",ngoja tusubiri hayo maelekezo ya namna ya kujifukiza kutoka wizarani

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo la kutoa ushauri bila kuangalia athari zake
Hajui kuwa wengine wataufuata hata kama wana matatizo ya kupumua?
Sidhani kama wataalamu watatoa huo ushauri


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
..Chato kuna Ikulu ndogo?

..Butiama, Mkuranga, Lupaso, na Msoga hakuna ikulu ndogo.

..Ni kweli Mkapa alihutubia toka Uingereza. Lakini taifa lilikuwa linatambua kuwa anatibiwa. Na taifa halikuwa ktk hatari ya ugonjwa kama covid19.

..Jpm ana udhuru gani unaomlazimisha ahutubie taifa toka sebuleni, kijijini kwake?
Shida yako ni hotuba yake au sebule yake?
 
Wazee msio na haya wa bendera fuata upepo mmeanza kugeuka viuno angani kuanza kuunga mkono sasa kuwa data hazikuwa sahihi. Wakati baadhi ya watu wanalalamika data zinazotolewa sio halisi mliwazodoa mkiongozwa na mkuu wa mkoa wa Mzizima, sasa kama kawaida yenu jamaa kageuka na nyie ghafla mnageuka. Aibu sana hii, na ni kinyaa sana. .

Hebu kwa majasho yale yale na vibweka vile vile muulizeni mkuu anasema data ni za uongo, yeye kuna ndugu yake aliumwa akapona? Si mlikuwa mnasema anaebishia data aseme kama kuna ndugu yake aliumwa corona?
Sio data hazikuwa sahihi wali skip za waliopona!!!!
 
Back
Top Bottom