Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Kwa joto la 100'c si Pua itafanana kama mchemsho wa mbuzi wa pale kwa Mangi?
Aisee. Nimesoma vitu wameandika wakuu hapo naona kama wanamsingizia.

Nchi inapitia kipindi kigumu sana.
Eti watu watumie muarobaini, wajifukizie sijui dawa gani!
Na hii ya vapour ya 100 C si ndio hatari. Hivi boiling point ya maji si ndio hiyo ya 100 centigrade, sasa hapo mtu si unajipika kabisa.
Halafu fumigation inaeneza Corona kivipi? Enhe!
 
Usikariri kikubwa kazi inafanyika, na isitoshe katiba ndo mwongozo kama hakosei Kutoka kwenye katiba, au toa evidemce kutoka kwenye katiba kama anakosea hapo ndo nitakuelewa tofauti na hapo usikariri Mambo
 
Utadakwa ukanyee debe shauriyako
 
What's the meaning of internal communication? Ina maana hakuna mawasiliano kati ya watendaji na wakubwa wao?

Jr[emoji769]
 
hiki chuma kimenishinda tabia. lakini poa acha tupambane.
 
Kwani hajatia hofu wananchi kwa madai yake labda ilisambazwa makusudi? Ni kawaida kwa mtu wa kawaida kufikiri korona ilisambazwa makusudi na wageni, je ni kawaida kwa kiongozi kuwa paranoid hadharani?

Mie pia nilifikiri korona itasambazwa na wazungu au wachina kabla haijaingia kwetu, lakini mie ni mtu wa kawaida mwenye paranoia, baada ya kufikiri nilipuuzia wazo hilo.
 
hizi siasa zitakuja kutuua kama kuku sisi, haya na mask mmeambiwa zina corona tembeeni midomo na pua wazi mfe kama kuku
 
Dar es salaam magari ya fumigation yalipita mitaani watu wakaamini wadudu wa Corona wanadhibitiwa kumbe ni mende na viroboto.

Iringa mkuu wa wilaya aliwataka wananchi wa mkoa huo wawakwepe watu wanaotoka Dar es salaam kama vile ukoma, kumbe siyo kila atokaye Dar ni muathirika.

Mwenyekiti wa Chadema alipendekeza lockdown kumbe hilo halitawezekana, Dar pekee ina watu zaidi ya milioni 6 ukiwafungia ndani watakula nini?

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na huu ndio ukweli mchungu

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwahiyo BASHITE ni mpuuzi?[emoji116]



"Not everything is for everybody"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…