Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Kwa joto la 100'c si Pua itafanana kama mchemsho wa mbuzi wa pale kwa Mangi?
Aisee. Nimesoma vitu wameandika wakuu hapo naona kama wanamsingizia.

Nchi inapitia kipindi kigumu sana.
Eti watu watumie muarobaini, wajifukizie sijui dawa gani!
Na hii ya vapour ya 100 C si ndio hatari. Hivi boiling point ya maji si ndio hiyo ya 100 centigrade, sasa hapo mtu si unajipika kabisa.
Halafu fumigation inaeneza Corona kivipi? Enhe!
 
Jamaa wanasubiria wafu.
IMG_20200422_174007.jpeg
IMG_20200422_173911.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Chato ni kijijini kwa Magufuli.

..JK hakuwa kuzungumza toka Msoga.

..Mkapa hakuzungumza toka Lupaso.

..Mwinyi hakuzungumza toka Zanzibar au Mkuranga.

..Mwalimu Nyerere hakuwahi kuzungumza toka Butiama.

..Raisi anapaswa kuendesha shughuli zake toka IKULU, na siyo toka ktk nyumba yake binafsi. Serikali siyo KAMPUNI binafsi ya Raisi.
Usikariri kikubwa kazi inafanyika, na isitoshe katiba ndo mwongozo kama hakosei Kutoka kwenye katiba, au toa evidemce kutoka kwenye katiba kama anakosea hapo ndo nitakuelewa tofauti na hapo usikariri Mambo
 
Ngonja nikujibu upya. Sikujua kama ni wewe Fundi Mchundo. Yes Olny in Tanzania. Umeona Giuseppe kakimbia Ikulu kuu?Macron kakimbia ikulu ?Trump kakimbilia Florida ?Mseven kakimbia Kampala ?Uhuru je ?Huyu Rais wa kutuambia tujifukizie mfuke wa above 100'C?Tule vitunguu.
Again kakimbia Ikulu kuu kaenda kijijini sababu ya Coronavirus. 😥😥😥
Utadakwa ukanyee debe shauriyako
 
Rais John Magufuli ameitaka Wizara ya Afya itoe takwimu za kweli kuhusu maambukizi ya corona ikiwa ni pamoja na kutangaza takwimu sahihi za watu wanaopona ili kuondoa hofu kwa Watanzania.

Kwa mujibu wa Rais idadi ya watu waliopona ni ndogo kuliko hali halisi na kwamba, ana taarifa kuwa hadi wakati Waziri Mkuu alipotangaza idadi ya watu walioambukizwa, waliopoteza maisha na waliopona zaidi ya watu 100 walikuwa wamepona.
What's the meaning of internal communication? Ina maana hakuna mawasiliano kati ya watendaji na wakubwa wao?

Jr[emoji769]
 
Kwani hajatia hofu wananchi kwa madai yake labda ilisambazwa makusudi? Ni kawaida kwa mtu wa kawaida kufikiri korona ilisambazwa makusudi na wageni, je ni kawaida kwa kiongozi kuwa paranoid hadharani?

Mie pia nilifikiri korona itasambazwa na wazungu au wachina kabla haijaingia kwetu, lakini mie ni mtu wa kawaida mwenye paranoia, baada ya kufikiri nilipuuzia wazo hilo.
 
hizi siasa zitakuja kutuua kama kuku sisi, haya na mask mmeambiwa zina corona tembeeni midomo na pua wazi mfe kama kuku
 
Dar es salaam magari ya fumigation yalipita mitaani watu wakaamini wadudu wa Corona wanadhibitiwa kumbe ni mende na viroboto.

Iringa mkuu wa wilaya aliwataka wananchi wa mkoa huo wawakwepe watu wanaotoka Dar es salaam kama vile ukoma, kumbe siyo kila atokaye Dar ni muathirika.

Mwenyekiti wa Chadema alipendekeza lockdown kumbe hilo halitawezekana, Dar pekee ina watu zaidi ya milioni 6 ukiwafungia ndani watakula nini?

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na huu ndio ukweli mchungu

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwahiyo BASHITE ni mpuuzi?[emoji116]
IMG_20200422_181806_726.jpg




"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom