pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Baki na unayoona inafurahisha mtima wakoLeo tulikua na hotuba tatu na moja ilizimwa ili kukabiliana na korona, tukabaki na mbili moja toka kwa Rais kipenzi nyingine toka kwa field marshal waziri mkuu anaestahili kupandishwa cheo hatua mbili juu. Na zote zilizungumzia na kutoa takwimu kuhusu huu ugonjwa, wa kwanza alikua waziri mkuu akasema tua wagonjwa 284 saba wapo katika uangalizi maalum 10 wameaga dunia na 11 wamepona walobaki wanaendelea vizuri. Akaja Rais mwenyewe akasema waliopona wako 100 bila kutaja waliokufa na walio mahututi. Sasa twende na takwimu hipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chaguo ni la kwako wwView attachment 1427032View attachment 1427033
Its not over until its over...[emoji769]
Raisi wa Tanzania JPM amesema Tanzania inalipa bilioni 700 katika taasis mbalimbali duniani zilizoikopesha nchi yetu kila mwezi ikiwemo benki ya dunia inayolipwa bilioni 200 kila mwezi. Hii ina maana kwa mwaka hulipwa zaidi ya trillion 8.4 fedha ambazo ni zaidi ya mishahara yote wanayolipwa watumishi wa umma.
Kwa hili nani anabisha kuwa Tanzania siyo koloni la mabeberu? Tuna safari ndefu ndugu Watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu, naomba uni-tag manake naona MATAGA wanafanya sherehe ile mbaya kusikia Marekani watu wanaandamana bila kujua uhalisia wa hao wanaoandamana!!!Huyo CNN inaonesha majimbo yote 52 wanaandamana au?
Wewe umesha fanya?Jaribu kufanya ziara kwenye mochwari zetu ujionee
Jr[emoji769]
Eti misinformed!! Kipi kati ya nilivyotaja ambavyo huyo mungu mtu wako hajasema?!
Again, sina muda mchafu wa kumsikiliza Jiwe cuz' he doesn't have what it takes to have my attention!
Sorry to disappoint you!!!
Huyo CNN inaonesha majimbo yote 52 wanaandamana au?