Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Bora mheshimiwa rais Magufuli anaendesha nchi akiwa Ikulu ya Chato, still Chato is in TZ kuna rais wa Congo alikuwa anaendesha nchi akiwa Paris na wananchi walikuwa hwapigi kelele za kijinga kama nyinyi,ukiwa rais unaweza endesha nchi hata ukiwa Guest House au Lodge mradi mambo yaende Tu.
Ujinga ndo Alama ya watanzania wengi,
 
Watu wanajifukizia tangu zamani
Kitu wanashindwa kuelewa watu ni kua daktari yoyote lazima aponde tiba asili mbele ya media sababu hazina utibitisho wa kisayansi wa kutibu japo anaweza akawa yeye mwenyewe anajifukiza ila ukiwa mbeke ya media huruhusiwi kusema hivo..kama serikali na uchawi
 
Safi sana rais wetu..
Kuna wale wenye nongwa. Yaani hawakubaliani hawataki hawapendi lazima wabishe na lazima waponde chochote rais wetu akisema akishauri akisisitiza. Kwao ni nongwa. Hata kujifanya kusahau au kuponda hotuba yake ikifanyika chato. Trump akiifanya camp David hakuna kushangaa. Boris Johnson akiifanya nje ya downing street hakuna shida! Ila JPM ikitokea chato ni manung'uniko kama wana mimba?! 😬😡😠
 
redio,
Hizi nchi zetu haziendelei kwa sababu wajinga au ujinga bado ni changamoto kubwa sana.

Eithiopia, Ghana na nchi kadhaa Afrika zina miradi mikubwa sana kuliko ya kwetu ambayo tayari inafanya kazi lakini bado wanakopa. Wajinga kama nyie mnaamini sgr na stigliers yakikamilika basi hatutakopa tena, hii ni ishara kua bado wajinga mko wengi sana nchi hii. Na ujinga ni hatari kuliko ugonjwa. Eti tunakopa tujijengee uwezo, uliwahi kuona wapi? Miaka 60 ya uhuru bado unakopa kujenga uwezo?

Jambo la pili, Magufuli hajaanza yeye kulipa madeni, serikali zote zilizopita zimekopa na kulipa madeni. Kwa akili yako fupi unafhani yeye ndie ameanza kulipa Madeni. Mwinyi amelipa madeni ya Nyerere, Mkapa amelipa madeni ya Nyerere na Mwinyi, Kikwete kalipa ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa. Kikwete alikua nalipa zaidi ya Bilioni 500 kwa mwezi.

Mbaya zaidi wajinga wengi kama wewe ndio wapiga kura unategemea tutapata maendeleo kweli? Ile viscous circle of poverty haitaondoka.
 
Mimi ningekuwa ni Waziri Mkuu
Ningeshaandaa barua ya kujiuzulu
Majaliwa ni kiongozi asiye jiamini kabisa. Nadhani ni PM dhaifu kuliko wote waliopita.
Nilianza kuona udhaifu wake tokea wakati wa Korosho baada ya maamuzi yake ya maana kukataliwa kwa aibu hadharani na kisha zao kufa huku anashuhudia kisa kuogopa shangazi zake kupata kipigo.
Tokea Nyerere hadi JK hakuna aliyewahi kumjibu kwa dharau PM hadharani Ila sasa tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chige, Na hiyo idadi yetu ni ndogo kwa vile hatuchukui vipimo. Tungekuwa tunaendesha vipimo hali ingekuwa ya kutisha zaidi.

Wanao mtetea Jiwe sio kwa sababu za kisayansi Bali ushabiki wa kisiasa tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bursting,
Wewe ulienda shule kweli? Hujui kuna tofauti ya mkopo na msaada? Halafu kwani umelazimishwa kwenda kukopa? Kama ana riba kubwa si uache uende kwenye riba ndogo. Wajinga hii nchi bado wengi sana na mbaya zaidi ndio wapiga kura. Maendeleo tutaendelea kuyaona kwenye tv.
 
Ama kweli kukopa sherehe, kulipa matanga.
Kwani tulishikiwa fimbo kukopa?

Mimi naona tunalalama sana. Huwezi ukampangia mtu anaekudai kiwa akusamehe. Wewe ulivyokua unakopa ulikua umewehuka au?

Dawa ya deni ni kulipa tu.
Hivi si ni huyu huyu amekuwa akitamba kuwa nchi yake ni donor country na inaweza kuzikopesha hata nchi nyingine?

Vipi tena mtu hiyo huyo ambaye amekuwa akisema kuwa nchi yake ni tajiri sana yenye mapesa mengi ya kumwaga, Leo alie lie hadi awapigie magoti World Bank ili wamsamehe madeni??
 
Majaliwa ni kiongozi asiye jiamini kabisa. Nadhani ni PM dhaifu kuliko wote waliopita.
Nilianza kuona udhaifu wake tokea wakati wa Korosho baada ya maamuzi yake ya maana kukataliwa kwa aibu hadharani na kisha zao kufa huku anashuhudia kisa kuogopa shangazi zake kupata kipigo.
Tokea Nyerere hadi JK hakuna aliyewahi kumjibu kwa dharau PM hadharani Ila sasa tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aisee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado tumeomba mkopo wa CORONA IMF...........!!

Everyday is Saturday.....................😎
 
Pay attention to details
Kimsingi sikatai hata moja katika hayo uliyoandika kwenye bandiko lako, kasoro tu labda hilo neno ulilotumia "wanasiasa." Mimi sioni mwanasiasa hapo anayeyasema hayo uliyoorodhesha. Nakushauri utafute jina jingine linalolingana na tabia ya hawa unaowazungumzia hapa.

Lakini pamoja na yote hayo, msingi wa mada yangu upo palepale, kama umeelewa nilichoandika.
WaTanzania inatubidi tuondoe hofu kwa jambo lolote, kwani hofu ni mbaya. Hofu ni zaidi ya ugonjwa.

Bandiko lako halijakanusha ukweli wa hoja hiyo.
 
JokaKuu,
acheni ujinga nyie,Rais anafanya kazi popote ndani ya mipaka ya nchi hii,hakuna sehemu inaonyesha lazima awe ikulu ndio atoe taarifa fulani, dunia imebadilika na teknolojia imekua,nyie sijui ni watu wa aina gani,mnasikitisha sana sana sana,very disapointing!
idiots!
 
Duh...!, japo naunga mkono hoja, ila washauri Watanzania kwa kuwaambia ukweli kwenye scenario kama hiyo, wanamkaaje and waandae kwa the consequences za kumkataa ni nini kitawakuta!
P
Wewe unazidi kupingana na ushauri(?) (maelekezo) aliyotoa rais.
Hatuhitaji kuwa na hofu katika jambo lolote tunaloona ni la manufaa kwetu na nchi yetu.
Hofu ni mbaya zaidi ya gonjwa lolote.
Usipende kuwapotosha wananchi juu ya hili ambalo rais kalisemea kwa umakini kabisa.
 
Ngonja nikujibu upya. Sikujua kama ni wewe Fundi Mchundo. Yes Olny in Tanzania. Umeona Giuseppe kakimbia Ikulu kuu?Macron kakimbia ikulu ?Trump kakimbilia Florida ?Mseven kakimbia Kampala ?Uhuru je ?Huyu Rais wa kutuambia tujifukizie mfuke wa above 100'C?Tule vitunguu.
Again kakimbia Ikulu kuu kaenda kijijini sababu ya Coronavirus. 😥😥😥
Wewe ni mpumbavu kabisa na nimekudharau,kwani hao uliowataja ndio nini?aliyekwambia kuwa lazima awaige hao ni nani?

kwahiyo aina ya maisha unayoishi wewe unataka kila mtu aige? Siamini una ujinga wa wa chini kiasi hicho, so sad!

smh!
 
Back
Top Bottom